Waziri Mkenda: Marufuku wanafunzi kurudishwa nyumbani kisa ada

Waziri Mkenda: Marufuku wanafunzi kurudishwa nyumbani kisa ada

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Tunaenda kujenga Taifa la namna gani? Yaani Waziri wa Elimu anatoa tamko wanafunzi wasirudishwe nyumbani kwa kukosa ada hata kwa shule binafsi.

Sasa shule binafsi zitakidhi vipi mahitaji yake kama kununua vifaa vya kufundishia na kulipa mishahara walimu kama wazazi hawalipi ada?
Kazi ipo.
0765F8A0-274B-4653-97AE-42C3B4FD4CE8.jpeg
 
Tunaenda kujenga Taifa la namna gani? Yaani Waziri wa Elimu anatoa tamko wanafunzi wasirudishwe nyumbani kwa kukosa ada hata kwa shule binafsi.

Sasa shule binafsi zitakidhi vipi mahitaji yake kama kununua vifaa vya kufundishia na kulipa mishahara walimu kama wazazi hawalipi ada?
Kazi ipo.
View attachment 2474173
Aisee hii nchi ..!!?
 
Tunaenda kujenga Taifa la namna gani? Yaani Waziri wa Elimu anatoa tamko wanafunzi wasirudishwe nyumbani kwa kukosa ada hata kwa shule binafsi.

Sasa shule binafsi zitakidhi vipi mahitaji yake kama kununua vifaa vya kufundishia na kulipa mishahara walimu kama wazazi hawalipi ada?
Kazi ipo.
View attachment 2474173
Hivi hawa watu huwa wanafikilia kabla ya matamko haya? Kwa mfano mtoto anasoma boarding private school asilipe ada atakula nini hapo shuleni?? Kama Kuna Mzazi anaweza kuchukulia maanani hili tamko naye atakuwa hajitambui.Anthon Mtaka aliwahi kusema kitu Kwa wazazi.
 
Back
Top Bottom