DOKEZO Waziri Mkenda, tuondolee huyu Mwalimu mlawiti hapa Mbeya, sasa inatosha!

DOKEZO Waziri Mkenda, tuondolee huyu Mwalimu mlawiti hapa Mbeya, sasa inatosha!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam Wakuu,

Mbeya kuna mwalimu ambaye sina haja ya kumtaja sababu serikali inamjua. Yeye kazi yake ni kutembea na watoto wa kiume kinyume na maumbile. Taarifa zilishatolewa kila sehemu ila hatua hazichukuliwi pamoja na ushahidi.

Natumia nafasi hii kumuomba waziri wetu msikivu Prof. Mkenda, kwake ni jambo dogo.

Huyu mwalimu mwaka 2013 alibaka akalindwa.

Kwa sasa analawiti watoto wa shule na kesi ipo polisi lakini wakubwa zake wanamlinda na kesi haiendi mahakamani. Badala yake wamemuhamisha na kumshusha cheo hapa Mbeya DC.

Mimi huwa siongelei haya mambo JamiiForums ila imenilazimu. Watoto wetu tuwafiche wapi. Muondoeni serikalini, anatia aibu. Mlawiti huyu kila mtu serikalini anamjua.

Asante Mkenda.

=====

UPDATES:

*Mtuhumiwa anaitwa Mwalimu Tom.

*Kabla ya kushushwa cheo na kuhamishwa ili kumlinda alikuwa Mwalimu Mkuu Mkombozi shule ya Msingi.

*Aliwekewa mtego na Wazazi baada ya kukamatwa, akachukuliwa na Polisi wa Kituo Kikuu cha Polii Kanda Maalum Mbalizi, 29/08/2022, ambao baadaye Walimuachia kwa dhamana.

*Watoa taarifa sasa Wanatishwa, hata watoto alokamatwa nao Polisi haijawapeleka Hospitali kuwapima ili kupoteza Ushahidi

*Polisi walipewa rekoded yake ya Vido akifanya Uchafu huo.

*Sasa kahamishwa, hatujajua kapelekwa wapi.

TUMEKUSANYA TAARIFA ZA KUTOSHA HADI VIDEO ZAKE. ILA POLISI WANAMUONEA MUHALI

IMG_20220907_091242_308.jpg
 
figganigga mpaka kwa Mkenda. Ina maana mfumo mzima wa utawala Mbeya unamlinda huyo mlawiti?
Uzuri wa Mkenda hana huu upuuzi wa kulindana yeye kazikazi. Nimesikitika sana. Polisi ndo walitakiwa Wafanye hii kazi, ila wanakunywa bia na mtuhumiwa. Wanafunzi wetu tuwalindeje?

Nachelea kutaja jina wasidai tunachafuana..

Inawezekana Waziri au katibu Mkuu hajui, Mbeya ndogo, kila mtu anajua kuanzia Mkuu wa Wilaya. Mwalimu mwenyewe bazazi, akitajwa nawe utamjua. Anadai eti kitu kimesimama.
 
si umtaje kama ni kweli. haya mambo yamefika mpaka mbeya??
 
Salaam Wakuu,

Mbeya kuna Mwalimu ambaye sina haja ya kumtaja sababu Serikali inamjua. Yeye kazi yake ni kutembea na watoto wa kiume kinyume na maumbile. Taarifa zilishatolewa kila Sehemu ila hatua hazichukuliwi pamoja na ushahidi.

Natumia nafasi hii kumuomba Waziri wetu Msikivu Prof. Mkenda, kwake ni jambo dogo.

Huyu Mwalimu Mwaka 2013 alibaka akalindwa.

Kwa sasa analawiti watoto wa shule na kesi ipo Polisi lakini wakubwa zake wanamlinda na kesi haiendi Mahakamani. Badala yake wamemuhamisha na kumshusha cheo hapa Mbeya DC.

Mimi huwa siongelei haya mambo JamiiForums ila imenilazimu. Watoto wetu tuwafiche wapi. Muondoeni Serikalini, anatia aibu. Mlawiti huyu kila mtu Serikalini anamjua. Asante Mkenda.
View attachment 2348182
Yaan anawalawiti watoto wenu bado anatamba mtaani na hamumfanyi kitu?

Kuna walakini hapo hata km ni uoga sio kwa kiwango hicho kimepitiliza sana

Atokee mtu ajitolee muanga amuwaishe kuzimu sio kumchekea kiasi hicho mnataka namba ya watoto wenu wanaolawitiwa iwe kubwa sana au?
 
Uzuri wa Mkenda hana huu upuuzi wa kulindana yeye kazikazi. Ninesikitika sana. Polisi ndo walitakiwa Wafanye hii kazi, ila wanakunywa bia na mtuhumiwa. Wanafunzi wetu tuwalindeje?

Nachelea kutaja jina wasidai tunachafuana..

Inawezekana Waziri au katibu Mkuu hajui, Mbey ndogo, kila mtu anajua kuanzia Mkuu wa Wikaya. Mwalimu mwenyewe bazazi, akitajwa nawe utamjua. Anadai eti kitu kimesimama.
Mkuu mtu anayelawiti watoto ni mchafu wa laana tayari unaongelea kumchafua mara ngapi?
Mtaje hapa huyo mlawiti kuna wakubwa humu watamuona na faster atachukuliwa hatua.

Au chukueni hatua wenyewe kama mamlaka yameshindwa kutekeleza wajibu wao.
Huu ni uchafu, laana na dhambi mbaya sana ikiwemo kuharibu maisha ya hao watoto.
 
Mkuu mtu anayelawiti watoto ni mchafu wa laana tayari unaongelea kumchafua mara ngapi?
Mtaje hapa huyo mlawiti kuna wakubwa humu watamuona na faster atachukuliwa hatua.

Au chukueni hatua wenyewe kama mamlaka yameshindwa kutekeleza wajibu wao.
Huu ni uchafu, laana na dhambi mbaya sana ikiwemo kuharibu maisha ya hao watoto.
Najua Mkuu, ila nataka RPC ndo amtaje. Sababu taarifa anayo na ndo mwalimu pekee ana kezi ya Ulawiti kwa wanafunzi. Anajulikana. Kama hatua isipochukuliwa nitamtaja. Tuwapime kwa mara ya mwisho watendaji wa Raisi Samia
 
Taja jina kujifanya mnamficha jina mnazidisha tatizo, weka details zake zote hadharani mtu kama huyo sio wa kumkalia kimya
 
Salaam Wakuu,

Mbeya kuna mwalimu ambaye sina haja ya kumtaja sababu serikali inamjua. Yeye kazi yake ni kutembea na watoto wa kiume kinyume na maumbile. Taarifa zilishatolewa kila sehemu ila hatua hazichukuliwi pamoja na ushahidi.

Natumia nafasi hii kumuomba waziri wetu msikivu Prof. Mkenda, kwake ni jambo dogo.

Huyu mwalimu mwaka 2013 alibaka akalindwa.

Kwa sasa analawiti watoto wa shule na kesi ipo polisi lakini wakubwa zake wanamlinda na kesi haiendi mahakamani. Badala yake wamemuhamisha na kumshusha cheo hapa Mbeya DC.

Mimi huwa siongelei haya mambo JamiiForums ila imenilazimu. Watoto wetu tuwafiche wapi. Muondoeni serikalini, anatia aibu. Mlawiti huyu kila mtu serikalini anamjua.

Asante Mkenda.
View attachment 2348182
Hata wewe una matatizo. Kama huwezi kumtaja basi usingepost hapa. Au mnataka aendelee tu kuwalawiti watoto wenu? Figganiga umefeli.
 
Lakini yule kijana anauliza "utafanya wewe au nitafanya mimi?" Yule Mwalimu anajibu,"utafanya wewe."
Kwa hiyo it is not clear hapo nani passive na nani active.
 
Back
Top Bottom