DOKEZO Waziri Mkenda, tuondolee huyu Mwalimu mlawiti hapa Mbeya, sasa inatosha!

DOKEZO Waziri Mkenda, tuondolee huyu Mwalimu mlawiti hapa Mbeya, sasa inatosha!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
*Aliwekewa mtego na Wazazi baada ya kukamatwa, akachukuliwa na Polisi wa Kituo Kikuu cha Polii Kanda Maalum Mbalizi, 29/08/2022, ambao baadaye Walimuachia kwa dhamana.

NI WAKATI SAHIHI SASA, WAZAZI WACHUKUE SHERIA MIKONONI.
 
Salaam Wakuu,

Mbeya kuna mwalimu ambaye sina haja ya kumtaja sababu serikali inamjua. Yeye kazi yake ni kutembea na watoto wa kiume kinyume na maumbile. Taarifa zilishatolewa kila sehemu ila hatua hazichukuliwi pamoja na ushahidi.

Natumia nafasi hii kumuomba waziri wetu msikivu Prof. Mkenda, kwake ni jambo dogo.

Huyu mwalimu mwaka 2013 alibaka akalindwa.

Kwa sasa analawiti watoto wa shule na kesi ipo polisi lakini wakubwa zake wanamlinda na kesi haiendi mahakamani. Badala yake wamemuhamisha na kumshusha cheo hapa Mbeya DC.

Mimi huwa siongelei haya mambo JamiiForums ila imenilazimu. Watoto wetu tuwafiche wapi. Muondoeni serikalini, anatia aibu. Mlawiti huyu kila mtu serikalini anamjua.

Asante Mkenda.

=====

UPDATES:

*Mtuhumiwa anaitwa Mwalimu Tom.

*Kabla ya kushushwa cheo na kuhamishwa ili kumlinda alikuwa Mwalimu Mkuu Mkombozi shule ya Msingi.

*Aliwekewa mtego na Wazazi baada ya kukamatwa, akachukuliwa na Polisi wa Kituo Kikuu cha Polii Kanda Maalum Mbalizi, 29/08/2022, ambao baadaye Walimuachia kwa dhamana.

*Watoa taarifa sasa Wanatishwa, hata watoto alokamatwa nao Polisi haijawapeleka Hospitali kuwapima ili kupoteza Ushahidi

*Polisi walipewa rekoded yake ya Vido akifanya Uchafu huo.

*Sasa kahamishwa, hatujajua kapelekwa wapi.

TUMEKUSANYA TAARIFA ZA KUTOSHA HADI VIDEO ZAKE. ILA POLISI WANAMUONEA MUHALI
View attachment 2348182
View attachment 2348474
Hivi Mbeya hamna mobb justice? Kama mfumo rasmi wa haki hatufanyi kazi sheria mkononi Ina husika.
 
sijaelewa, yaani watu wengine wasumbue, halafu na mwalimu tu naye asumbue? kweli serikali hii?
 
Salaam Wakuu,

Mbeya kuna mwalimu ambaye sina haja ya kumtaja sababu serikali inamjua. Yeye kazi yake ni kutembea na watoto wa kiume kinyume na maumbile. Taarifa zilishatolewa kila sehemu ila hatua hazichukuliwi pamoja na ushahidi.

Natumia nafasi hii kumuomba waziri wetu msikivu Prof. Mkenda, kwake ni jambo dogo.

Huyu mwalimu mwaka 2013 alibaka akalindwa.

Kwa sasa analawiti watoto wa shule na kesi ipo polisi lakini wakubwa zake wanamlinda na kesi haiendi mahakamani. Badala yake wamemuhamisha na kumshusha cheo hapa Mbeya DC.

Mimi huwa siongelei haya mambo JamiiForums ila imenilazimu. Watoto wetu tuwafiche wapi. Muondoeni serikalini, anatia aibu. Mlawiti huyu kila mtu serikalini anamjua.

Asante Mkenda.

=====

UPDATES:

*Mtuhumiwa anaitwa Mwalimu Tom.

*Kabla ya kushushwa cheo na kuhamishwa ili kumlinda alikuwa Mwalimu Mkuu Mkombozi shule ya Msingi.

*Aliwekewa mtego na Wazazi baada ya kukamatwa, akachukuliwa na Polisi wa Kituo Kikuu cha Polii Kanda Maalum Mbalizi, 29/08/2022, ambao baadaye Walimuachia kwa dhamana.

*Watoa taarifa sasa Wanatishwa, hata watoto alokamatwa nao Polisi haijawapeleka Hospitali kuwapima ili kupoteza Ushahidi

*Polisi walipewa rekoded yake ya Vido akifanya Uchafu huo.

*Sasa kahamishwa, hatujajua kapelekwa wapi.

TUMEKUSANYA TAARIFA ZA KUTOSHA HADI VIDEO ZAKE. ILA POLISI WANAMUONEA MUHALI
View attachment 2348182
View attachment 2348474
HV kma una ushaid inasubiria mahakama mbna unampotezea muda mtu anaenda kuwapumulia watot zetu vizogoni kweli unashindwa kumdhru hata usiku urushe manati au jiwe limpige utaona Kama ataendeleea

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Tulitegemea uje ulete habar amekamatwa amefikishwa mahakaman na amehukumiwa... Ila sio kutuletea upuuzi huu, haiwezekani mamlaka zote zimshindwe huyo mtu ni wew au na wenzako ndio mnamlinda mnamuogopa...
Nenda ofisi za Uthibiti Ubora wa Shule (almaarufu Wakaguz wa shule) hawa wapo chini ya Wizara ya Elimu wanapokea taarifa kwa siri kubwa iwe ya kweli au ya uongo huanza kuifanyia kazi mapema wanaenda kuanza uchunguz na kufanya mahojiano ya siri kwa watu mbalimbali ktk mazingira tofaut tofaut na wakat tofaut, ofisi zao zipo kila Wilaya mara nyingi wapo jirani na ofisi za halmashauri... hawa wakisema mwl fulani au mratibu elimu kata fulani hafai hapohapo mkurugenz anamuondoa huyo mtu na taasisi ya nidham ya walimu (TSC) wanamfuta kazi huyo mwl bila hata ya kwenda nae mahakaman, Nasema tena nenda ofisi za Uthibiti Ubora wa Shule...
Au angesema kuwa yule mwalimu aliyemlawiti mwanafunzi Leo amaezikwa au amebakwa na kuingiziwa vitu vizito makalioni na kuvuja damu nyingi San hvyo yupo ktk ospitali fln . Ndio habari sas

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Salaam Wakuu,

Mbeya kuna mwalimu ambaye sina haja ya kumtaja sababu serikali inamjua. Yeye kazi yake ni kutembea na watoto wa kiume kinyume na maumbile. Taarifa zilishatolewa kila sehemu ila hatua hazichukuliwi pamoja na ushahidi.

Natumia nafasi hii kumuomba waziri wetu msikivu Prof. Mkenda, kwake ni jambo dogo.

Huyu mwalimu mwaka 2013 alibaka akalindwa.

Kwa sasa analawiti watoto wa shule na kesi ipo polisi lakini wakubwa zake wanamlinda na kesi haiendi mahakamani. Badala yake wamemuhamisha na kumshusha cheo hapa Mbeya DC.

Mimi huwa siongelei haya mambo JamiiForums ila imenilazimu. Watoto wetu tuwafiche wapi. Muondoeni serikalini, anatia aibu. Mlawiti huyu kila mtu serikalini anamjua.

Asante Mkenda.

=====

UPDATES:

*Mtuhumiwa anaitwa Mwalimu Tom.

*Kabla ya kushushwa cheo na kuhamishwa ili kumlinda alikuwa Mwalimu Mkuu Mkombozi shule ya Msingi.

*Aliwekewa mtego na Wazazi baada ya kukamatwa, akachukuliwa na Polisi wa Kituo Kikuu cha Polii Kanda Maalum Mbalizi, 29/08/2022, ambao baadaye Walimuachia kwa dhamana.

*Watoa taarifa sasa Wanatishwa, hata watoto alokamatwa nao Polisi haijawapeleka Hospitali kuwapima ili kupoteza Ushahidi

*Polisi walipewa rekoded yake ya Vido akifanya Uchafu huo.

*Sasa kahamishwa, hatujajua kapelekwa wapi.

TUMEKUSANYA TAARIFA ZA KUTOSHA HADI VIDEO ZAKE. ILA POLISI WANAMUONEA MUHALI
View attachment 2348182
View attachment 2348474
Asee mbona hatari😬
 
Tulitegemea uje ulete habar amekamatwa amefikishwa mahakaman na amehukumiwa... Ila sio kutuletea upuuzi huu, haiwezekani mamlaka zote zimshindwe huyo mtu ni wew au na wenzako ndio mnamlinda mnamuogopa...
Nenda ofisi za Uthibiti Ubora wa Shule (almaarufu Wakaguz wa shule) hawa wapo chini ya Wizara ya Elimu wanapokea taarifa kwa siri kubwa iwe ya kweli au ya uongo huanza kuifanyia kazi mapema wanaenda kuanza uchunguz na kufanya mahojiano ya siri kwa watu mbalimbali ktk mazingira tofaut tofaut na wakat tofaut, ofisi zao zipo kila Wilaya mara nyingi wapo jirani na ofisi za halmashauri... hawa wakisema mwl fulani au mratibu elimu kata fulani hafai hapohapo mkurugenz anamuondoa huyo mtu na taasisi ya nidham ya walimu (TSC) wanamfuta kazi huyo mwl bila hata ya kwenda nae mahakaman, Nasema tena nenda ofisi za Uthibiti Ubora wa Shule...
Sitetei uovu lakini Sheria hiyo ya TSc haipo hivyo,Hadi uthibitisho wa kimaandishi uwepo(kama ni jinai kuwe n'a hukumu ya mahakama) ni ngumu kumfukuza mtu bila uthibitisho
Wanachofanya ni kumsimisha kazi then uchunguzi unafanyika baada yauthibitisho ndio anachukuliwa hatua
Na ikitokea wakashindwa kuthibitisha anawageuzia kibao anawashtaki na kuwadai fidia,ndio maana hizo kesi za watumishi zina sintofahamu sababu ya
mlolongo mrefu
 
Salaam Wakuu,

Mbeya kuna mwalimu ambaye sina haja ya kumtaja sababu serikali inamjua. Yeye kazi yake ni kutembea na watoto wa kiume kinyume na maumbile. Taarifa zilishatolewa kila sehemu ila hatua hazichukuliwi pamoja na ushahidi.

Natumia nafasi hii kumuomba waziri wetu msikivu Prof. Mkenda, kwake ni jambo dogo.

Huyu mwalimu mwaka 2013 alibaka akalindwa.

Kwa sasa analawiti watoto wa shule na kesi ipo polisi lakini wakubwa zake wanamlinda na kesi haiendi mahakamani. Badala yake wamemuhamisha na kumshusha cheo hapa Mbeya DC.

Mimi huwa siongelei haya mambo JamiiForums ila imenilazimu. Watoto wetu tuwafiche wapi. Muondoeni serikalini, anatia aibu. Mlawiti huyu kila mtu serikalini anamjua.

Asante Mkenda.

=====

UPDATES:

*Mtuhumiwa anaitwa Mwalimu Tom.

*Kabla ya kushushwa cheo na kuhamishwa ili kumlinda alikuwa Mwalimu Mkuu Mkombozi shule ya Msingi.

*Aliwekewa mtego na Wazazi baada ya kukamatwa, akachukuliwa na Polisi wa Kituo Kikuu cha Polii Kanda Maalum Mbalizi, 29/08/2022, ambao baadaye Walimuachia kwa dhamana.

*Watoa taarifa sasa Wanatishwa, hata watoto alokamatwa nao Polisi haijawapeleka Hospitali kuwapima ili kupoteza Ushahidi

*Polisi walipewa rekoded yake ya Vido akifanya Uchafu huo.

*Sasa kahamishwa, hatujajua kapelekwa wapi.

TUMEKUSANYA TAARIFA ZA KUTOSHA HADI VIDEO ZAKE. ILA POLISI WANAMUONEA MUHALI
View attachment 2348182
View attachment 2348474
Huyu mpuuzi ni kumtafutia fitina tu kwa kumwita mwizi maeneo asiyofahamika qmmk
 
Mpaka Sasa mtoa mada hajataja jina la muhusiika Wala shule anayofundisha!

Kwa hiyo basi habari hii yaweza kuwa ya kupikwa 98%.
Watu wa Mbeya nnaowafahamu Mimi tena Mbalizi,mwalimu asingekuwepo.
 
Hii ndio bongo bwana, na huko arusha hali ikoje kwa sasa?
 
Salaam Wakuu,

Mbeya kuna mwalimu ambaye sina haja ya kumtaja sababu serikali inamjua. Yeye kazi yake ni kutembea na watoto wa kiume kinyume na maumbile. Taarifa zilishatolewa kila sehemu ila hatua hazichukuliwi pamoja na ushahidi.

Natumia nafasi hii kumuomba waziri wetu msikivu Prof. Mkenda, kwake ni jambo dogo.

Huyu mwalimu mwaka 2013 alibaka akalindwa.

Kwa sasa analawiti watoto wa shule na kesi ipo polisi lakini wakubwa zake wanamlinda na kesi haiendi mahakamani. Badala yake wamemuhamisha na kumshusha cheo hapa Mbeya DC.

Mimi huwa siongelei haya mambo JamiiForums ila imenilazimu. Watoto wetu tuwafiche wapi. Muondoeni serikalini, anatia aibu. Mlawiti huyu kila mtu serikalini anamjua.

Asante Mkenda.

=====

UPDATES:

*Mtuhumiwa anaitwa Mwalimu Tom.

*Kabla ya kushushwa cheo na kuhamishwa ili kumlinda alikuwa Mwalimu Mkuu Mkombozi shule ya Msingi.

*Aliwekewa mtego na Wazazi baada ya kukamatwa, akachukuliwa na Polisi wa Kituo Kikuu cha Polii Kanda Maalum Mbalizi, 29/08/2022, ambao baadaye Walimuachia kwa dhamana.

*Watoa taarifa sasa Wanatishwa, hata watoto alokamatwa nao Polisi haijawapeleka Hospitali kuwapima ili kupoteza Ushahidi

*Polisi walipewa rekoded yake ya Vido akifanya Uchafu huo.

*Sasa kahamishwa, hatujajua kapelekwa wapi.

TUMEKUSANYA TAARIFA ZA KUTOSHA HADI VIDEO ZAKE. ILA POLISI WANAMUONEA MUHALI
View attachment 2348182
View attachment 2348474
 
Back
Top Bottom