DOKEZO Waziri Mkenda, tuondolee huyu Mwalimu mlawiti hapa Mbeya, sasa inatosha!

DOKEZO Waziri Mkenda, tuondolee huyu Mwalimu mlawiti hapa Mbeya, sasa inatosha!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Weka jina ataacha akiona jina lipo mtandaoni, asipoacha huyo atakuwa ni shetani
 
Salaam Wakuu,

Mbeya kuna mwalimu ambaye sina haja ya kumtaja sababu serikali inamjua. Yeye kazi yake ni kutembea na watoto wa kiume kinyume na maumbile. Taarifa zilishatolewa kila sehemu ila hatua hazichukuliwi pamoja na ushahidi.

Natumia nafasi hii kumuomba waziri wetu msikivu Prof. Mkenda, kwake ni jambo dogo.

Huyu mwalimu mwaka 2013 alibaka akalindwa.

Kwa sasa analawiti watoto wa shule na kesi ipo polisi lakini wakubwa zake wanamlinda na kesi haiendi mahakamani. Badala yake wamemuhamisha na kumshusha cheo hapa Mbeya DC.

Mimi huwa siongelei haya mambo JamiiForums ila imenilazimu. Watoto wetu tuwafiche wapi. Muondoeni serikalini, anatia aibu. Mlawiti huyu kila mtu serikalini anamjua.

Asante Mkenda.

=====

UPDATES:

*Mtuhumiwa anaitwa Mwalimu Tom.

*Kabla ya kushushwa cheo na kuhamishwa ili kumlinda alikuwa Mwalimu Mkuu Mkombozi shule ya Msingi.

*Aliwekewa mtego na Wazazi baada ya kukamatwa, akachukuliwa na Polisi wa Kituo Kikuu cha Polii Kanda Maalum Mbalizi, 29/08/2022, ambao baadaye Walimuachia kwa dhamana.

*Watoa taarifa sasa Wanatishwa, hata watoto alokamatwa nao Polisi haijawapeleka Hospitali kuwapima ili kupoteza Ushahidi

*Polisi walipewa rekoded yake ya Vido akifanya Uchafu huo.

*Sasa kahamishwa, hatujajua kapelekwa wapi.
View attachment 2348182
Wazazi mnamuogopa? Angeshakufa
 
Au we jamaa na wewe ni member nini wa huyo jamaa, sema tu Kuna mahala mmetofautiana ndiyo maana unaogopa kumtaja asije akakutaja na wewe? Please taja jina lake fasta na kabla ya saa 6 mchana Leo utapata mrejesho wa kilichojiri juu yake. Sisi wengine hatupendi upuuuzi 100%.
 
Salaam Wakuu,

Mbeya kuna mwalimu ambaye sina haja ya kumtaja sababu serikali inamjua. Yeye kazi yake ni kutembea na watoto wa kiume kinyume na maumbile. Taarifa zilishatolewa kila sehemu ila hatua hazichukuliwi pamoja na ushahidi.

Natumia nafasi hii kumuomba waziri wetu msikivu Prof. Mkenda, kwake ni jambo dogo.

Huyu mwalimu mwaka 2013 alibaka akalindwa.

Kwa sasa analawiti watoto wa shule na kesi ipo polisi lakini wakubwa zake wanamlinda na kesi haiendi mahakamani. Badala yake wamemuhamisha na kumshusha cheo hapa Mbeya DC.

Mimi huwa siongelei haya mambo JamiiForums ila imenilazimu. Watoto wetu tuwafiche wapi. Muondoeni serikalini, anatia aibu. Mlawiti huyu kila mtu serikalini anamjua.

Asante Mkenda.

=====

UPDATES:

*Mtuhumiwa anaitwa Mwalimu Tom.

*Kabla ya kushushwa cheo na kuhamishwa ili kumlinda alikuwa Mwalimu Mkuu Mkombozi shule ya Msingi.

*Aliwekewa mtego na Wazazi baada ya kukamatwa, akachukuliwa na Polisi wa Kituo Kikuu cha Polii Kanda Maalum Mbalizi, 29/08/2022, ambao baadaye Walimuachia kwa dhamana.

*Watoa taarifa sasa Wanatishwa, hata watoto alokamatwa nao Polisi haijawapeleka Hospitali kuwapima ili kupoteza Ushahidi

*Polisi walipewa rekoded yake ya Vido akifanya Uchafu huo.

*Sasa kahamishwa, hatujajua kapelekwa wapi.
View attachment 2348182
Mmeshindwa kumkamata na kumvunja kiuno?
 
Huyu fala ni kureverse reaction tu
Anataka kutuharibia vijana wetu wa umalila kavu sana huyu jamaa.
 
Kichefu chefu walahi!
Huyo anyongwe tu walahi [emoji35]
 
Wewe mwenyewe unawirawira unashindwa kumtaja. Unategemea nani achukue hatua! Mnafuga ujinga ujinga wenyewe
 
Mkimchekea atawalawiti ninyi watu wazima.
Maana atakuwa ameshachoka taste za watoto.
Imagine alianza kubaka mabinti 2013 akaja kuanza kulawiti watoto wa kiume hadi leo anaendelea.
 
Hiy
Salaam Wakuu,

Mbeya kuna mwalimu ambaye sina haja ya kumtaja sababu serikali inamjua. Yeye kazi yake ni kutembea na watoto wa kiume kinyume na maumbile. Taarifa zilishatolewa kila sehemu ila hatua hazichukuliwi pamoja na ushahidi.

Natumia nafasi hii kumuomba waziri wetu msikivu Prof. Mkenda, kwake ni jambo dogo.

Huyu mwalimu mwaka 2013 alibaka akalindwa.

Kwa sasa analawiti watoto wa shule na kesi ipo polisi lakini wakubwa zake wanamlinda na kesi haiendi mahakamani. Badala yake wamemuhamisha na kumshusha cheo hapa Mbeya DC.

Mimi huwa siongelei haya mambo JamiiForums ila imenilazimu. Watoto wetu tuwafiche wapi. Muondoeni serikalini, anatia aibu. Mlawiti huyu kila mtu serikalini anamjua.

Asante Mkenda.

=====

UPDATES:

*Mtuhumiwa anaitwa Mwalimu Tom.

*Kabla ya kushushwa cheo na kuhamishwa ili kumlinda alikuwa Mwalimu Mkuu Mkombozi shule ya Msingi.

*Aliwekewa mtego na Wazazi baada ya kukamatwa, akachukuliwa na Polisi wa Kituo Kikuu cha Polii Kanda Maalum Mbalizi, 29/08/2022, ambao baadaye Walimuachia kwa dhamana.

*Watoa taarifa sasa Wanatishwa, hata watoto alokamatwa nao Polisi haijawapeleka Hospitali kuwapima ili kupoteza Ushahidi

*Polisi walipewa rekoded yake ya Vido akifanya Uchafu huo.

*Sasa kahamishwa, hatujajua kapelekwa wapi.

TUMEKUSANYA TAARIFA ZA KUTOSHA HADI VIDEO ZAKE. ILA POLISI WANAMUONEA MUHALI
View attachment 2348182
View attachment 2348474
Hii ya chini mbona ni picha sio vidio?
 
Salaam Wakuu,

Mbeya kuna mwalimu ambaye sina haja ya kumtaja sababu serikali inamjua. Yeye kazi yake ni kutembea na watoto wa kiume kinyume na maumbile. Taarifa zilishatolewa kila sehemu ila hatua hazichukuliwi pamoja na ushahidi.

Natumia nafasi hii kumuomba waziri wetu msikivu Prof. Mkenda, kwake ni jambo dogo.

Huyu mwalimu mwaka 2013 alibaka akalindwa.

Kwa sasa analawiti watoto wa shule na kesi ipo polisi lakini wakubwa zake wanamlinda na kesi haiendi mahakamani. Badala yake wamemuhamisha na kumshusha cheo hapa Mbeya DC.

Mimi huwa siongelei haya mambo JamiiForums ila imenilazimu. Watoto wetu tuwafiche wapi. Muondoeni serikalini, anatia aibu. Mlawiti huyu kila mtu serikalini anamjua.

Asante Mkenda.

=====

UPDATES:

*Mtuhumiwa anaitwa Mwalimu Tom.

*Kabla ya kushushwa cheo na kuhamishwa ili kumlinda alikuwa Mwalimu Mkuu Mkombozi shule ya Msingi.

*Aliwekewa mtego na Wazazi baada ya kukamatwa, akachukuliwa na Polisi wa Kituo Kikuu cha Polii Kanda Maalum Mbalizi, 29/08/2022, ambao baadaye Walimuachia kwa dhamana.

*Watoa taarifa sasa Wanatishwa, hata watoto alokamatwa nao Polisi haijawapeleka Hospitali kuwapima ili kupoteza Ushahidi

*Polisi walipewa rekoded yake ya Vido akifanya Uchafu huo.

*Sasa kahamishwa, hatujajua kapelekwa wapi.

TUMEKUSANYA TAARIFA ZA KUTOSHA HADI VIDEO ZAKE. ILA POLISI WANAMUONEA MUHALI
View attachment 2348182
View attachment 2348474
Mnatia mashaka sana watu wa mbeya, hata kama kumpiga kuchukua sheria mmshindwa wazer hakuna huko wakamaliza kesi mapema??
 
Nyie mnashida mnashindwa nini kumfumua na yeye mnalia lia hapa tafuta njema zimle linda yani mtu anaharibi watoto wenu mnasubilia polisi nonsense.
 
Back
Top Bottom