DOKEZO Waziri Mkenda, tuondolee huyu Mwalimu mlawiti hapa Mbeya, sasa inatosha!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Weka jina ataacha akiona jina lipo mtandaoni, asipoacha huyo atakuwa ni shetani
 
Wazazi mnamuogopa? Angeshakufa
 
Au we jamaa na wewe ni member nini wa huyo jamaa, sema tu Kuna mahala mmetofautiana ndiyo maana unaogopa kumtaja asije akakutaja na wewe? Please taja jina lake fasta na kabla ya saa 6 mchana Leo utapata mrejesho wa kilichojiri juu yake. Sisi wengine hatupendi upuuuzi 100%.
 
Mmeshindwa kumkamata na kumvunja kiuno?
 
Naona unaificha jinai kwa mtu ambaye hana soni...
 
Huyu fala ni kureverse reaction tu
Anataka kutuharibia vijana wetu wa umalila kavu sana huyu jamaa.
 
Kichefu chefu walahi!
Huyo anyongwe tu walahi [emoji35]
 
Wewe mwenyewe unawirawira unashindwa kumtaja. Unategemea nani achukue hatua! Mnafuga ujinga ujinga wenyewe
 
Mkimchekea atawalawiti ninyi watu wazima.
Maana atakuwa ameshachoka taste za watoto.
Imagine alianza kubaka mabinti 2013 akaja kuanza kulawiti watoto wa kiume hadi leo anaendelea.
 
Hiy
Hii ya chini mbona ni picha sio vidio?
 
Mnatia mashaka sana watu wa mbeya, hata kama kumpiga kuchukua sheria mmshindwa wazer hakuna huko wakamaliza kesi mapema??
 
Nyie mnashida mnashindwa nini kumfumua na yeye mnalia lia hapa tafuta njema zimle linda yani mtu anaharibi watoto wenu mnasubilia polisi nonsense.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…