Waziri Mkuu aagiza Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kutopewa mradi huku akimtaka Mtendaji Mkuu kujitathmini

 
Acheni utani, yaani hiyo floor moja ya nne na paa moja la jengo la kuhifadhia vifaa ndio vina account ongezeko la karibu mara tatu???!!!!! Huyo QS aliesahau kuingiza hizo item kwenye BOQ kachukuliwa hatua gani for such negliegence?
Ukute ni Eng ww unasema QS. Hakun mtathimini majenzi mjinga kama huyo. Kilichotokea walifanya Lumpsum kwasabab ya muda
 
Mkuu hii TBA kupewa mradi bila tenda ndio force account
 
.”

Waziri Mkuu ameagiza mkandarasi atakayepatikana ahakikishe mradi wa ujenzi huo unakamilika katika kipindi cha miezi sita kuanzia sasa na lijengwe kwa kutumia mfumo wa force account.
Yani utumie mkandarasi alafu utumie force account?
 
Katika miradi ya ujenzi Kuna kitu wataalam wanaita variation. Lakini sijawahi ona variation ambayo inashusha BoQ kuwa ndogo. Siku zote huwa naona variation ambayo inafanya BoQ kuwa kubwa.

Kwasababu Variation inatokana na change of scope nafikiri umenielewa. Change hii mara nyingi anayesababisha ni client au washauri wake inapelekea kazi material nguvu kazi na muda kuongezeka hii huongeza gharama

Kwa hiyo ni wajibu Qs na PM wamradi kupitia hizi variation na kuhakikisha price haukuwa exaggerated pia kupunguza maelekezo kwa contractor yatakayopeleka gharamaa hizi iuibuka

Lakini client au washauri wake wanaweza kufanya Value Engineering ilikupunguza gharama za ujenzi
 
Acheni utani, yaani hiyo floor moja ya nne na paa moja la jengo la kuhifadhia vifaa ndio vina account ongezeko la karibu mara tatu???!!!!! Huyo QS aliesahau kuingiza hizo item kwenye BOQ kachukuliwa hatua gani for such negliegence?
Hawa TBA hutoa makisio madogo yasiyo na uhalisia ili kuitoa kabisa sekta binafsi kwenye hili eneo; ushindani halali ni muhimu kila eneo.
 

Kuna mtu ameelewa kilichoandikwa hapo kwenye bold anieleweshe na mimi ngumbaru? Inawezekanaje jengo la ghorofa nane (8) likakosa ghorofa ya nne (4)?
 
Pepo anatoa Pepo mwenzake.
Serikali inajidanganya kwenye mambo mengi sana, Majaliwa anajua hilo ila JIWE NI KICHWA NGUMU.
MAJENGO yote wanapewa TBA, kwa nidhamu ya woga wakaamua kufanya quotation za chini, sasa wameingia field hali ni nyingine.
JIWE ameua ushindani, hakuna maana ya kuwa na makampuni binafsi huku FCC wakiwa wamekaa kimya.
 
Mi ningeshauri hiyo kandarasi apewe yule nguli aliyetujengea Hostel za Choo Kikuu kwa robo gharama
 
Kuna mtu ameelewa kilichoandikwa hapo kwenye bold anieleweshe na mimi ngumbaru? Inawezekanaje jengo la ghorofa nane (8) likakosa ghorofa ya nne (4)?
limekosekana kwenye quotation , yaani msanifu alipigia mahesabu ila akairuka hiyo ghorofa, nafikiri alikuwa amelewa
 
Kwa faida ya wengi, Nini maana ya Force Account???
 
Mbona mnapenda kujidai mnajua wakati hamjui? Toka lini TBA akawa mkandarasi? Unaelewa maana ya mkandarasi?
 
Mbona mnapenda kujidai mnajua wakati hamjui? Toka lini TBA akawa mkandarasi? Unaelewa maana ya mkandarasi?
TBA nafanya kila kitu, wacha ujinga wewe, usiwe kama mwakyembe digrii nne anazidiwa na ROMA darasa la 7 B kupambanua mambo
 
Mkuu Class A contractor ikoje hii kwenye mfumo wa CRB? Maana wao wana Class I, II, III -VII.

Hiyo Class A vipi wameanzisha utaratibu mpya wa kusajiri kampuni?
Huyo jamaa ni kichwa maji achana nae.
 
Roma sio class 7, ni degree holder. Ficha ujinga wako.
ROMA [LASABA B] katunukiwa BSC COMP SCIENCE
A-LEVEL PCM

MWAKYEMBE: HKL[KOMBI ZA WAMAMA ]na SHAHADA 4 , nyingi za kupigia selfie na wadada wadogo na kusifia,
 
Wanatoa gharama ndogo kumfurahisha fulani kama kawaida halafu wanadai wamesahau kuorodhesha baadhi? Hapo hakuna kutumbua kwani wahusika ni wapendwa.
Kwa wenye kumbukumbu, hivi TBA si ndio walijenga hostel za UDSM kwa bllion 10!?
Na je, hili jengo la NEC waliloahidi kulijenga kwa hizo billion 10, kimwonekano na kiukubwa linalingana na hostel!? Msaada tafadhali kwa wajuzi wa haya mambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…