TBA wana lack compitent Engineers,QS na Architects,kuna wakati tuliwashauri watumie Consultant Firms na wao wabaki kama Coordinators wakakataa.
Na tuliwashauri wapewe ruhusa ya kuajili Professionals au kuunda vikosi kazi kutoka kwenye Consulting firms na labour force kutoka JKT au kutumia contractor labour based contract wakakataa.
Ni ngumu sana mtu mmoja kufanya kila kitu (design,quantities,construction na supervision).
Nashauri kabla ya kuwatowatumia katika ujenzi wa miradi yote waendelee na miradi michache kama pilot ya kuwapima.
Lakini pia Serikali itazame upya ushiriki wa sekta binafsi katika majenzi hasa washauri kwani ndio walimu/mentors wa wanafunzi/graduates,hivyo ushiriki wao ni muhimu kuandaa wataalamu wa kesho.
Thamani ya pesa katika miradi husika itaonekana kwa kuzingatia kuwa quality control & assurance ya kazi itakuwa valid w.r.t gharama za ujenzi,muda na scope ya kazi kwa kuzingatia kuwa teamworks ni kutoka entity tofauti na hivyo kusaidia kwa karibu check & balance na kujisahihisha mapema kama kuna kosa.