Waziri Mkuu aagiza Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kutopewa mradi huku akimtaka Mtendaji Mkuu kujitathmini

Waziri Mkuu aagiza Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kutopewa mradi huku akimtaka Mtendaji Mkuu kujitathmini

TBA walipojenga yale majengo mabovu watu walisema mkasema ni wivu yale majengo ni imara ila yamepumua tu, mkamsweka ndani mtoa taarifa na picha mkamtesa, mkaja mkaziba PUA za majengo sasa saijui yameacha kupumua ndio yamekuwa imara zaidi? Kuna siku yataporomoka mtasema ni kawaida, watu wa hovyo hufanya ya hovyo, yaani kutokamilika kwa wakati na garama kuongezeka ni kosa kubwa kuliko yale majengo yanayo hatarisha uhai wa wanafunzi? Aibu yenu!.
 
Kuna Accounting Officers waligoma kuwapa Kandarasi TBA kwa kigezo kuwa hawana uwezo wakatuhumiwa kuwa ni wapenda Rushwa ndio sababu wamegoma kutoa kandarasi hiyo na wakasimamishwa kazi

Leo ‘..Wazalendo ‘ wa awamu ya Tano wana rudia yale yale waliyokuwa wanapinga

Jee BOQ za Jwtz zinaendana na gharama halisi za Ujenzi wanaofanya Mara zote
 
Kwa wenye kumbukumbu, hivi TBA si ndio walijenga hostel za UDSM kwa bllion 10!?
Na je, hili jengo la NEC waliloahidi kulijenga kwa hizo billion 10, kimwonekano na kiukubwa linalingana na hostel!? Msaada tafadhali kwa wajuzi wa haya mambo.


Maswali ya kichochezi hayaruhusiwi Sheikh

Utapotea kama yule Muuza Alqasous wa Tunduru
 
TBA wana lack compitent Engineers,QS na Architects,kuna wakati tuliwashauri watumie Consultant Firms na wao wabaki kama Coordinators wakakataa.
Na tuliwashauri wapewe ruhusa ya kuajili Professionals au kuunda vikosi kazi kutoka kwenye Consulting firms na labour force kutoka JKT au kutumia contractor labour based contract wakakataa.
Ni ngumu sana mtu mmoja kufanya kila kitu (design,quantities,construction na supervision).
Nashauri kabla ya kuwatowatumia katika ujenzi wa miradi yote waendelee na miradi michache kama pilot ya kuwapima.
Lakini pia Serikali itazame upya ushiriki wa sekta binafsi katika majenzi hasa washauri kwani ndio walimu/mentors wa wanafunzi/graduates,hivyo ushiriki wao ni muhimu kuandaa wataalamu wa kesho.
Thamani ya pesa katika miradi husika itaonekana kwa kuzingatia kuwa quality control & assurance ya kazi itakuwa valid w.r.t gharama za ujenzi,muda na scope ya kazi kwa kuzingatia kuwa teamworks ni kutoka entity tofauti na hivyo kusaidia kwa karibu check & balance na kujisahihisha mapema kama kuna kosa.
...tunakwama wapi!? ....ni kwenye stereo type perception, "sekta binafsi ni wezi na wababaishaji"!
Lakini miradi ya ujenzi ni mambo complex na suluhisho lake linakuwa kwenye mikataba. Ndio maana mkandarasi akimaliza mradi kunakuwa na provisional period ya kukabidhi projerct.
Naamini kama ingeitishwa open tender na yakajitokeza makampuni kama 17 na miongoni mwao wa chini akatoa quotation ya billion 10 na mwingine akatoa billion 33 then wakaitwa kuzitolea maelezo kabla ya award, naamini mwenye project angepata kuelewa ni nani mbabaishaji na ni nani atafanya kazi. Sijui tender board ya NEC pamoja na PPRA wanasimama wapia katika hili.
 
Kwa wenye kumbukumbu, hivi TBA si ndio walijenga hostel za UDSM kwa bllion 10!?
Na je, hili jengo la NEC waliloahidi kulijenga kwa hizo billion 10, kimwonekano na kiukubwa linalingana na hostel!? Msaada tafadhali kwa wajuzi wa haya mambo.
Ukubwa sio kigezo pekee kuna quality na time constraints nazi zinachangia gharama kuwa kubwa, ukijua scope, quality, time unaweza kuestimate na kucompare gharama za majengo.
 
...tunakwama wapi!? ....ni kwenye stereo type perception, "sekta binafsi ni wezi na wababaishaji"!
Lakini miradi ya ujenzi ni mambo complex na suluhisho lake linakuwa kwenye mikataba. Ndio maana mkandarasi akimaliza mradi kunakuwa na provisional period ya kukabidhi projerct.
Naamini kama ingeitishwa open tender na yakajitokeza makampuni kama 17 na miongoni mwao wa chini akatoa quotation ya billion 10 na mwingine akatoa billion 33 then wakaitwa kuzitolea maelezo kabla ya award, naamini mwenye project angepata kuelewa ni nani mbabaishaji na ni nani atafanya kazi. Sijui tender board ya NEC pamoja na PPRA wanasimama wapia katika hili.
Ndio maana sekta binafsi baada ya kushortlist watatu au wawili inakuwepi interview then ndio award. Sasa PPRA wanachukua lowest then wanamuita kwajili na negotiation na sio interview hii ni mbaya kidogo
 
Pale UDSM zilienda zaidi ya 40bil
Kwa wenye kumbukumbu, hivi TBA si ndio walijenga hostel za UDSM kwa bllion 10!?
Na je, hili jengo la NEC waliloahidi kulijenga kwa hizo billion 10, kimwonekano na kiukubwa linalingana na hostel!? Msaada tafadhali kwa wajuzi wa haya mambo.
 
...tunakwama wapi!? ....ni kwenye stereo type perception, "sekta binafsi ni wezi na wababaishaji"!
Lakini miradi ya ujenzi ni mambo complex na suluhisho lake linakuwa kwenye mikataba. Ndio maana mkandarasi akimaliza mradi kunakuwa na provisional period ya kukabidhi projerct.
Naamini kama ingeitishwa open tender na yakajitokeza makampuni kama 17 na miongoni mwao wa chini akatoa quotation ya billion 10 na mwingine akatoa billion 33 then wakaitwa kuzitolea maelezo kabla ya award, naamini mwenye project angepata kuelewa ni nani mbabaishaji na ni nani atafanya kazi. Sijui tender board ya NEC pamoja na PPRA wanasimama wapia katika hili.
Tatizo labda ni kuwapatia TBA majukumu ambayo mengine yako chini ya uwezo walionao.
Kuhusu tenda board sidhani kama PPRA walihusishwa na client au kuwa consulted na TBA.
Muhimu ni kuangalia upya sekta ya ujenzi kwa mapana yake na kutatua changamoto zilizopo na zijazo.
 
Me nafikir TBA ivunjwe, iunganishwe ndani ya NHC
Shughul zote zinazofanywa na TBA , NHC anafanya
Chamsing iunganishwe then section ya Building Construction ndani ya NHC iongezewe nguvu.
 
Back
Top Bottom