Waziri Mkuu aelezea ubadhirifu wa mamilioni uliofanywa Bohari ya Dawa (MSD), asema ataenda akiongozana na Polisi na TAKUKURU

Waliposema kula kulingana na urefu wa kamba yako wslisahau kuwa kamba nyingine ni za nailoni, hizi zinavutika, kama mashine inauzwa shs 20,000,000/= ikinunuliwa kwa shs 100,000,000/= simbaya kulingana na kamba ya nailoni inayovutika.
 
Unasema uongo. Magufuli alikua hakosolewi humu? Au umejiunga na jf leo?
 
taarifa za CAG katika TPA, TANROADS na Wizara ya Ujenzi.
Taarifa za CAG sio kwamba mchakato umefika mwisho ,Bali anaibua hoja alizoziona alafu ,zinaanza kujibiwa baada ya Bunge kuzijadili, serikali wanazijibu zote ,hapo Sasa ikitokea mapungufu ndio ndio inaweza kusema kweli zimeibiwa
 

Tumpe Urais huyu mwamba. Anawashulikia wahalifu, hawambembelezi.
 
Hao si wamepelekewa mkurugenzi mpya hivi karibuni tu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…