Waziri Mkuu anafanya kazi za Tanzania ama za Tanganyika?

Waziri Mkuu anafanya kazi za Tanzania ama za Tanganyika?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Wazanzibari wakati fulani wakisema kuwa Tanganyika imevaa koti la Muungano huwa nawaelewa.

Hivi Waziri Mkuu huwa anafanya kazi za Tanzania ama huwa anafanya kazi za Tanganyika ndani ya Tanzania?

Protokali inasemaje kuhusu Rais wa Zanzibar na Waziri Mkuu. Jee Waziri Mkuu anawajibika kwa Rais wa Zanzibar?

Katiba ya Zanzibar inatambua uwepo wa Waziri Mkuu wa Tanzania. Na inawezekana Waziri Mkuu akawa ni Mzanzibari?

Mamlaka ya Waziri Mkuu Kwa Zanzibar yakoje. Jee Waziri Mkuu anaweza kutoa maelekezo kwa wakuu wa mikoa na Wilaya wa Zanzibar na wakalazimika kuyatekeleza?

Waziri Mkuu kuitwa wa Serikali ya Muungano Tanzania, jee mamlaka yake yanaakisi utanzania ama utanganyika?
 
Hivi hao watanganyika wanaweza kuzidi mia1 kweli kwa idadi ya waliopo mpaka sasa gentleman?🐒
 
Wazanzibari wakati fulani wakisema kuwa Tanganyika imevaa koti la Muungano huwa nawaelewa.

Hivi Waziri Mkuu huwa anafanya kazi za Tanzania ama huwa anafanya kazi za Tanganyika ndani ya Tanzania?

Protokali inasemaje kuhusu Rais wa Zanzibar na Waziri Mkuu. Jee Waziri Mkuu anawajibika kwa Rais wa Zanzibar?

Katiba ya Zanzibar inatambua uwepo wa Waziri Mkuu wa Tanzania. Na inawezekana Waziri Mkuu akawa ni Mzanzibari?

Mamlaka ya Waziri Mkuu Kwa Zanzibar yakoje. Jee Waziri Mkuu anaweza kutoa maelekezo kwa wakuu wa mikoa na Wilaya wa Zanzibar na wakalazimika kuyatekeleza?

Waziri Mkuu kuitwa wa Serikali ya Muungano Tanzania, jee mamlaka yake yanaakisi utanzania ama utanganyika?
Lini umemuona hata akifanya ziara huko zenji?
 
 
Muungano wetu ni wa kipekee. Zanzibar ina mamlaka yake ya kiaina.

Rais wa Tanzania akiwa Zanzibar huwa chini ya Rais wa Zanzibar kivitendo (kumb. protokali katika shughuli za kiserikali zinazofanyika Zanzibar).
 
sasa mnajijosha na kujitesa kwanini na hakuna mahali mnaenda?🤣
Yesu alikuwa na mitume 12 leo hii ukristo umeenea Dunia nzima na zaidi ya watu bilioni 2 ni wakristo ulimwenguni pote.

Mtume Muhammad (SWA) alikuwa na masahaba wasiozidi kumi na leo hii uislamu una wafuasi zaidi ya bilioni 2.

Hao watanganyika wachache Wana hoja zinazokubaliwa na wasio watanganyika. Usiwadharau.
 
Back
Top Bottom