Yesu alikuwa na mitume 12 leo hii ukristo umeenea Dunia nzima na zaidi ya watu bilioni 2 ni wakristo ulimwenguni pote.
Mtume Muhammad (SWA) alikuwa na masahaba wasiozidi kumi na leo hii uislamu una wafuasi zaidi ya bilioni 2.
Hao watanganyika wachache Wana hoja zinazokubaliwa na wasio watanganyika. Usiwadharau.