Waziri Mkuu anafanya kazi za Tanzania ama za Tanganyika?

Under chapter two part (iii) Article 51 to 58 of the constitution of the united republic of Tanzania elaborates on the establishment of prime minister's office, Article 52 discusses the function and duties of the prime minister emphasis the roles on leading government business in Parliament

But also I chapter Five Article:102and 123 of the constitution of the united republic of Tanzania Wich reference the reveal of the revolutionary government of Zanzibar
 
ghafla umekua apostle 🤣

siwadharau hata kidogo, kwasabb hawapo, na ikiwa wapo basi ni wachache sana na ni wadhaifu mno.

ningependelea walau wajengewe angalau jengo dogo la pamoja waishi humu pamoja kutokana na uchache wao, wakisimulia watu mbalimbali juu ya ilivykua hiyo Tanganyika na kwanini hawakufanya chochote wakati huo, na wakati huu wameshachoka tayari ndio wanakuja na kimbelembele cha kudai kitu ambacho hakipo, kimebaki ni historia tu 🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…