HOMOSAPIEN
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 745
- 273
Nj b jn bnhbnn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji51] [emoji51] [emoji51] huyu bwana Mshana anazushiwa mengi Kwa kweli. KILA MTU Ana mdefine afikiriacho.. Hahaha wengine agent WA ibilisi wengine mtabiri... NAJIFUNZA KITU KWAMBA KAMWE HUWEZI KUMKATAZA MTU KUFIKIRITatizo mtoa mada ni mtu wa mazingaumbee.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji81] [emoji81]
Kumbe haka kasheria kana faida wakati mwingineNdo maana ile sheria inataka waandishi wawe na degree
Sure!....mental captivity under Babylon is not something easy to get free from.They are under total control
Isichukuliwe kama dhihaka! Isichukuliwe kama maskhara na furahisha genge! Bali ikupe fikra fikirishi ya huko tunakoelekea na dhana nzima ya kubana matumizi ...
Hii breaking news imeniacha na maswali mengi
Wanaokoa milioni 10 ili wakahonge wabunge bunge linalokuja?
Hii style ya kubana matumizi ni kichekesho sana mwaka Huu......
wenda hata mafuta yameanza kukata serikalini.
swissme
Kivipi wakati huyo mwandishi yupo chini ya WAPO Radio?Umekosea ungesema kamuulize huyo mwandishi aliyeripoti! Siku nyingine ukitaka kuchagiza chagiza kwa werevu
mwengeso naiheshimu mno reply yako lakini tafadhali sana nakuomba urudie nilichoandika soma taratibu kwa tuo, anglia jinsi nilivyoanza na nilivyohitimisha sina tatizo hata chembe na waziri mkuu bali mwandishi na hao wananchi aliowahojimshana jr una heshima kubwa humu JF kuweka bandiko kama hilo na kulizungumzia kwa ushabiki wa kisiasa.
Kuna ajabu gani kwa Waziri Mkuu kwenda ofisini kwa miguu! Unadakia ya waandishi wa habari, ambao taaluma huiweka pembeni na kuandika yawajao kichwani!
Huwa unaweka bandiko zenye kufanyiwa tafiti, lakini hili la leo umebugi. Yawezekana yale unayosifiwa ni "copy & paste" kutoka mitandaoni!
Nawe technically unaeleweka kwa kuleta yanayojiri kwenye vijiwe humu jamvini. Utacheka sana kwa kujichekesha, kwa kuwa hujui ni kwa nini Waziri Mkuu ameamua kwenda ofisini kwa miguu.
swissme hutobadilika kwa kupenda kudakia hoja na usijenge hoja yako mwenyewe yenye uzito stahili. Ati 'hata mafura yameanza kukata serikalini'!
wenda=huendawenda hata mafuta yameanza kukata serikalini.
swissme
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Wewe kama si mkwepakodi basi utakuwa mwizi...hakuna jingine