Waziri Mkuu awataka Wananchi kujilinda na Magonjwa kwa kunawa mikono na kuvaa Barakoa

Waziri Mkuu awataka Wananchi kujilinda na Magonjwa kwa kunawa mikono na kuvaa Barakoa

Mheshimiwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa leo anewataka watanzania kuchukua hatua za kujikinga na magonjwa mbalimbali kwa kuvaa barakoa.

Amesema ni vyema watanzania wakavaa barakoa wanazotengeneza wenyewe ikiwa ni pamoja na kushona vitambaa vyao ili kujiepusha na zile zinazotoka nje zinazoweza kuwa sio nzuri kiafya.

My Take.
Naona sasa watanzania wote kwa umoja wetu tumeshajua Corona ipo, na sasa kilichobaki ni kuchukua hatua za kujilinda.
Lakini kwa nn anaongea kimafumbo? Halafu mbona net, chanjo za polio, tetenasi, ndui zinatoka nje na watanzania hawajapata madhara? Kwa nn anadhani barakoa za nje zina madhara?
 
Mheshimiwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa leo anewataka watanzania kuchukua hatua za kujikinga na magonjwa mbalimbali kwa kuvaa barakoa.

Amesema ni vyema watanzania wakavaa barakoa wanazotengeneza wenyewe ikiwa ni pamoja na kushona vitambaa vyao ili kujiepusha na zile zinazotoka nje zinazoweza kuwa sio nzuri kiafya.

My Take.
Naona sasa watanzania wote kwa umoja wetu tumeshajua Corona ipo, na sasa kilichobaki ni kuchukua hatua za kujilinda.
Wewe na akili zako ulikuwa unafikiri hakuna Covid-19 wakati wageni wanatua kila siku kwenye viwanja vyetu vya ndege? Ujinga ni mzigo.
 
Mheshimiwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa leo anewataka watanzania kuchukua hatua za kujikinga na magonjwa mbalimbali kwa kuvaa barakoa.

Amesema ni vyema watanzania wakavaa barakoa wanazotengeneza wenyewe ikiwa ni pamoja na kushona vitambaa vyao ili kujiepusha na zile zinazotoka nje zinazoweza kuwa sio nzuri kiafya.

My Take.
Naona sasa watanzania wote kwa umoja wetu tumeshajua Corona ipo, na sasa kilichobaki ni kuchukua hatua za kujilinda.
Ni jambo jema!
 
Wewe na akili zako ulikuwa unafikiri hakuna Covid-19 wakati wageni wanatua kila siku kwenye viwanja vyetu vya ndege? Ujinga ni mzigo.
Tena wale “wanaokimbia” kwao ambapo covid19 lilikuwa limetamalaki...
 
20 February 2021
Korogwe, Tanzania

"Vaeni barakoa, hatujakataza kuvaa barakoa" waziri mkuu akimuwakilisha Raisi MAGUFULI msiba wa Kijazi

 
Huyu jamaal inaelekea huwa haambiwi VITU vyote na lijiwe kumbuka alivyohangaikia Jimbo kupita Bila kupingwa inaonekana jiwe hakumwambia usiogope tutaiba kura na tume ya uchafuzi
 
anayekagua ubora wa bidhaa zinazoingia nchini Tanzania ni nani ?
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Watanzania wana jukumu kubwa la kumuenzi Balozi John Kijazi kwa kutenda yale yote mema aliyokuwa akitenda.

Aidha, amesema jukumu jingine ni kuendelea kuiombea familia yake, hasa katika kipindi hiki kigumu.

Akitoa salamu za serikali kwenye mazishi ya Balozi John Kijazi amewashukuru viongozi wa dini kwa kuendelea kuliombea Taifa kama ambavyo Rais Dkt. Magufuli alihimiza jana, na kwamba jana Waislamu walitimiza, leo Wasabato na kesho anaamini wengine wataendelea.

Amesema serikali inawapenda wananchi wake na inaendelea kufuatilia magonjwa yote, lakini wananchi waendelee kuchukua tahadhari ikiwemo kunawa mikono, kutumia vitakasa mikono na kuvaa barakoa.

Kuhusu ugonjwa wa Corona amesema inafahamika kwamba hii ni vita na imeanzia kwa wakubwa na bado inaendelea, hivyo ni vyema wananchi wakajiridhisha na vitu wanavyotumia ikiwemo barakoa, kama ambavyo Rais Magufuli amewahi kutahadharisha

TBC online

Kwani mkulu mwenyewe ‘keshabatilisha kauli yake kuwa hakuna korona?
 
Wewe kama unasubiri matamko y serikali ndio uchukue tahadhari basi utasubiri sana..kimsingi hali ni mbaya..! Watu tujiongeze!
Waache kukusanya kodi kama hawawezi kutoa miongozo
 
Wengine "walisurvive kwenye serikali hii kwasababu ya Kijazi "by JPM
 
Back
Top Bottom