Hila hii nchi watu wanaitafuna hii ndo standi ya billion 4Leo kituo kipya cha mabasi Nzega Mjini mkoani Tabora kimezinduliwa rasmi na Mh Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
Ujenzi wa kituo hiki cha mabasi umegharimu shiling Bilion 4.327.
Tabora wamepata stend ya kisasa waitunze sasaView attachment 3269102
Daaaa haýo ma frame kubaoo ndio bil hizo zote ? Khaaaaa hayaa wajinga ndio waliwaoooLeo kituo kipya cha mabasi Nzega Mjini mkoani Tabora kimezinduliwa rasmi na Mh Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
Ujenzi wa kituo hiki cha mabasi umegharimu shiling Bilion 4.327.
Tabora wamepata stend ya kisasa waitunze sasaView attachment 3269102
Sisiem hawana huruma na raia
Duh ila ccm wanatukomesha kwakweliLeo kituo kipya cha mabasi Nzega Mjini mkoani Tabora kimezinduliwa rasmi na Mh Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
Ujenzi wa kituo hiki cha mabasi umegharimu shiling Bilion 4.327.
Tabora wamepata stend ya kisasa waitunze sasaView attachment 3269102
🤣🤣🤣 VETA haikwepekiuwanja uliozungushwa fremu ni bilioni 4.Tuacheni utani na yeye waziri mkuu anaitajika veta kusoma ili kutofautisha bilioni na matofali pamoja na vifaa vya ujenzi
Wewe naye kwenye vitu serious unajaza mamisemo yako yasiyo kichwa wala miguu.Misemo ya wanafalsafa wa Afrika
- “Mpaka simba wawe na wanahistoria wao wenyewe, historia ya uwindaji daima itamtukuza wawindaji.” – Chinua Achebe
- “Elimu ni silaha yenye nguvu zaidi ambayo unaweza kutumia kubadilisha ulimwengu.” – Nelson Mandela
- “Mimi sio Mwafrika kwa sababu nilizaliwa Afrika, lakini kwa sababu Afrika ilizaliwa ndani yangu.” – Kwame Nkrumah
- “Mkono unaozama chini ya chungu utakula konokono mkubwa zaidi.” – Wole Soyinka
- “Ikiwa hupendi hadithi ya mtu, andika yako mwenyewe”- Chinua Achebe
- “Tishio kubwa zaidi kwa uhuru ni kutokuwepo kwa ukosoaji.” – Wole Soyinka
- “Ukitaka kujua nchi, soma waandishi wake.” – Aminatta Forna
- “Hakuna kitu kisichotulia zaidi kuliko watu wenye mamlaka.” ― Dinaw Mengestu
- “Hali ya wanawake katika taifa ndiyo kipimo halisi cha maendeleo yake.” – Ngũgĩ wa Thiong’o
- “Elimu ni pasipoti yetu kwa siku zijazo, kwa maana kesho ni ya watu wanaoitayarisha leo.” – Maulana Karenga
- “Hisia ni za Kiafrika, sababu ni za Kigiriki.” – Leopold Sedar Senghor
- “Utukufu mkuu katika kuishi haupo katika kuanguka kamwe, bali katika kuinuka kila tunapoanguka.” – Nelson Mandela
Hiyo ndio stand ya kisasa ya shilingi bilioni 4? CCM muogopeni Mungu basi.Leo kituo kipya cha mabasi Nzega Mjini mkoani Tabora kimezinduliwa rasmi na Mh Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
Ujenzi wa kituo hiki cha mabasi umegharimu shiling Bilion 4.327.
Tabora wamepata stend ya kisasa waitunze sasaView attachment 3269102