Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Kuna angalau gani hapo?Angalao kuliko lile soko la Bilioni 5.9 ambalo ni upigaji wa wazi kabisa wa fedha za kodi ya Mtanzania.
Hii nchi inaliwa aisee na hawa wapuuzi CCM
Hiyo stand hardly Milioni 150.