Waziri Mkuu: Dodoma kufumuka msongamano wa magari

Waziri Mkuu: Dodoma kufumuka msongamano wa magari

Wana JF,

...
Hizi barabara zitawasaidia ambao hawataki kupita Dodoma mjini hasa Maroli kuuzunguka mji na kutokusabisha foleni za magari pamoja na zenyewe pia kuingia kwenye foleni za magari kama ulivyo mji wa Dar es salaam.

...
Wazo la ring-road zuri mkuu Sikonge.

Kwenye maelezo yako hapo naona labda unamaanisha pia kuwepo kwa Highway ya ukweli, with at least two, preferably three-lanes one way; no stops; no traffic lights; no level-crossing; with exit and entrance ramps; avoids passing through major towns; probably a toll-road.

Inahitajika angalau highway moja ya hivyo ya moja kwa moja kutoka Dar-Pwani-Morogoro-Dodoma lakini inayokwepa all major settlements. Ikiwezekana inapita porini tu, isitumie barabara zilizoko. Kiasi kwamba muda wa Dar Dodoma unakuwa masaa matatu maximum kwa barabara. Kutokana na wingi wa magari yatakayokuwa yakisafiri baina ya miji hii mikubwa, such a highway is inevitable.

It is not a question of whether we can afford to have it. It is a question of whether we can afford not to have it.

Ikijengwa mapema, au hata tu kutenga eneo itakapopita, itakuwa ni vema sana.
 
View attachment 594959
(Photo: Public Domain Public Domain Pictures - Free Stock Photos)

This is what I'm talking about. Hapo unaweka speed limit ya 130km/h.
635 Dallas


i635e_i35e_cross_section_map-lbj.png
 
Here's my contribution. Not all big cities have deployed rings. Besides, when it comes to reducing the traffic congestion, the size of the ring or the numbers of lanes in the ring matters. For example, if you have a two lane ring, you could end up having the same traffic problem as before the introduction of the ring, or even worse. Ask yourself this question. Would drivers prefer to drive in highly congested ring? I don't think so. This is because rings are longer and consume a good amount of gasoline to go around them. Additionally, they are expensive to build and maintain. Whenever population grows, you have to expand the width of the ring.

Don't get be wrong. I am not suggesting that rings shouldn't be deployed in Tanzania cities. They should be. However, other variables for good planning of cities and transportation should be taken into consideration as well. Take for example streets and roads that connects neighbors within cities. Do we have them? Do you know a street which connect Tandale and Mwananyamala? Why adjacent neighbors aren't connected.

Furthermore, robust mass transit have been an integral part of big cities. Here I am talking commuter trains and metro trains. Do you think trains could reduce traffic congestion?
 
Back
Top Bottom