Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,339
Umeona eeeh?!Amekwepa mtego mkubwa sana. Naona Majaliwa ni Smart sana upstairs!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona eeeh?!Amekwepa mtego mkubwa sana. Naona Majaliwa ni Smart sana upstairs!
Nimeona mkuu.Umeona eeeh?!
Ya Mkapa ilimfikisha Mrema mahakamani pamoja na shs 900mil.Hi ni kweli au Ni stori za kwenye gahawa, maana nimeanza kuisikia hi stori muda mrefu sana
Mwanamke ni mwanamke hata awe mke wa Pope fatilia kizazaa cha Lucy Kibaki na mmeweSimfahamu, ila napinga huo msemo 'mwanamke ni mwanamke'
Mweza wa Kiongozi nae ni Kiongozi indirectly kwenye swala la kimaadili.naunga mkono hoja, sheria hiyo inaruhusu watumishi wa umma tuu, zawadi hiyo ni kwa mke wa Majaliwa, wake wa viongozi sio watumishi wa umma.
P
Mnataka kutuletea tena Dikteta?Majaliwa for President !
Hebu nipe code kidogo!Mwanamke ni mwanamke hata awe mke wa Pope fatilia kizazaa cha Lucy Kibaki na mmewe
hujui anatakiwa kufuata mkristo?
2035 ni too far, hii ni awamu ya kwanza ya Mama, awamu ya pili ni 2025, hivyo 2030 there would have been a chance, tatizo ni zamu yetu!.
Majaliwa is good but very unfortunately the curse ya PM never to be a president of this country!.
P
Hakuna katiba ya namna hiyo mkuuHii awamu navyojuwa ni ya marehemu kwa maana ni awamu ya mkristo kwa miaka yake 10 mpaka 2025.. 2025-2040 ni muislamu. Ndivyo katiba inasema
Kama nimekosea nisahihishe kiongozi
Please tusianze!.Huyu mama hata akiongoza miaka 100 sawa tuu,
Kumwogopa Mungu ni Jambo jema sana.Kipindi cha Mzee Mkapa, Mkapa akiwa Rais na Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi waliwahi kupewa dhahabu na GGM! Mkapa alipewa tofali na Magufuli koreo,sasa sijui waliyapeleka wapi hawa watu
HaweziHuyu mama hata akiongoza miaka 100 sawa tuu,