Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,155
- 34,303
Kama hivyo sawa.Atamnunulia kwa mshahara wake ambayo itakuwa na thamani zaidi ya hiyo zawadi.
Ila wengine wetu wangetaka ile ile na ingine juu ya mume.
Yaani tungesema kabisa tunanunuliwaje na watu wa nje. Na wewe tununulie.