Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Yapi?Majaliwa bado ana yale mambo ya zama zile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yapi?Majaliwa bado ana yale mambo ya zama zile
Kwani inawezekana kweli mama PM hakuwa na mkufu wa dhahabu au tanzanite? Au ina maana PM hawezi kumnunulia my wife wake mkufu wa tanzanite? Ni vizuri viongozi wa wananchi wanapoepuka mitego ya wazi ya wafanyabiashara.Unless it was staged, sisi wanawake tunajijua vizuri sana.
😁😁😁😁
Hakuna rangi Mheshimiwa ataacha kuona. 🤭🤭🤣🤣
Huyo ni mke wa Waziri wa nchi, hana sifa za nyie wanawake njaa kali! Ukiwa mkubwa lazima uchague bhana, unafikiri hao wakuu wanaoa oa tu kwa kuokoteza vitu vya ajabu ajabu kama nyie[emoji23][emoji23][emoji23]Unless it was staged, sisi wanawake tunajijua vizuri sana.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hakuna rangi Mheshimiwa ataacha kuona. [emoji2960][emoji2960][emoji1787][emoji1787]
Atamnunulia kwa mshahara wake ambayo itakuwa na thamani zaidi ya hiyo zawadi.Unless it was staged, sisi wanawake tunajijua vizuri sana.
😁😁😁😁
Hakuna rangi Mheshimiwa ataacha kuona. 🤭🤭🤣🤣
Unless it was staged, sisi wanawake tunajijua vizuri sana.
😁😁😁😁
Hakuna rangi Mheshimiwa ataacha kuona. 🤭🤭🤣🤣
Huyo ni mke wa Waziri wa nchi, sio kama hao vinuka mkojo akina Mwajuma mnaowaokoteza huko mitaani, huyo amelelewa, ana hela na yuko very smart. Hawezi kufanya upuuzi ambao 'mademu' wenye njaa ndio hufanya.Atamnunulia kwa mshahara wake ambayo itakuwa na thamani zaidi ya hiyo zawadi.
Duh. Yaani Mke wa Waziri Mkuu anavaa mkufu wenye thamani ya bweni Zima ... Hiyo si itakuwa zaidi ya 40 million....!!? Au bei ya bweni ni Tshs ngapi? Kweli watu wana jeuri.
MAJALIWA AAGIZA CHENI YA MKE WAKE IUZWE.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameishukuru kampuni ya Tanzanite Forever Lapidary (T) LTD ya mkoani Manyara,kwa kumzawadia mkewe, Mama Mary Majaliwa mkufu wa Tanzanite.
Hata hivyo,Waziri Mkuu ameagiza mkufu huo uuzwe, ili ipatikane fedha,itakayosaidia kujenga bweni la wanafunzi katika moja ya shule zilizopo wilayani Simanjiro.
Waziri Mkuu amehitimisha Ziara yake ya Siku nne, Mkoani Manyara.
Source: Watetezi TV
Ameogopa yasimkute yaliyomkuta Mkapa na kiroba cha dhahabu.
MAJALIWA AAGIZA CHENI YA MKE WAKE IUZWE.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameishukuru kampuni ya Tanzanite Forever Lapidary (T) LTD ya mkoani Manyara,kwa kumzawadia mkewe, Mama Mary Majaliwa mkufu wa Tanzanite.
Hata hivyo,Waziri Mkuu ameagiza mkufu huo uuzwe, ili ipatikane fedha,itakayosaidia kujenga bweni la wanafunzi katika moja ya shule zilizopo wilayani Simanjiro.
Waziri Mkuu amehitimisha Ziara yake ya Siku nne, Mkoani Manyara.
Source: Watetezi TV
PM yuko makini bana,kwa miaka hiyo aliyokalia hicho kiti huwez kumshikisha yai bovu kirahis rahis hvy😄😄aaayaaah!
Liuzen nyny wenyew na tusikie mmejenga bweni za watot wenu. Na tutahtaji kujua value for money ipo....!
Bwege snaa nyieee
Hi ni kweli au Ni stori za kwenye gahawa, maana nimeanza kuisikia hi stori muda mrefu sanaKipindi cha Mzee Mkapa, Mkapa akiwa Rais na Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi waliwahi kupewa dhahabu na GGM! Mkapa alipewa tofali na Magufuli koreo,sasa sijui waliyapeleka wapi hawa watu
Zawadi wanazopewa viongozi ni za kwao au mali ya ofisi?Kipindi cha Mzee Mkapa, Mkapa akiwa Rais na Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi waliwahi kupewa dhahabu na GGM! Mkapa alipewa tofali na Magufuli koreo,sasa sijui waliyapeleka wapi hawa watu
Hizi kampeni za 2025 zimemgharimu Ndugai cheo cha Uspika....acha kumsagia Majaliwa kunguni.Safi Sana PM wetu, hakika wee ni mzalendo wa kweli, ubarikiwe Sana!!
Majaliwa for presidency
nyerere legacyVery nice hii ni njia nzuri sana ya kuacha legacy katika jamii kupanga ni kuchagua. Hongera Mh.