The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Samia anasema anajenga uchumi.
Nani msimamizi wake mkuu?
Majaliwa? Au Mpango?
Tofauti ya awamu ya tano na sita kiuchumi ni ipi?
Centralisation ni moja ya mambo yalioua uchumi why decentralisation haifanyiki?
Why mawaziri bado wanaimarisha centralisation?
Mashirika yanaendeshwa na Utumishi.
Na Mawaziri wakurugenzi wote ni Rubber stamps.
Makusanyo yote serikali kuu.
Halafu wanapangiwa bajeti ambayo haitoshi.
Kwanini decentralisation haifanyiki kwa haraka? Tunaua uchumi huku bado tunasema tunafufua uchumi?
Nani msimamizi wake mkuu?
Majaliwa? Au Mpango?
Tofauti ya awamu ya tano na sita kiuchumi ni ipi?
Centralisation ni moja ya mambo yalioua uchumi why decentralisation haifanyiki?
Why mawaziri bado wanaimarisha centralisation?
Mashirika yanaendeshwa na Utumishi.
Na Mawaziri wakurugenzi wote ni Rubber stamps.
Makusanyo yote serikali kuu.
Halafu wanapangiwa bajeti ambayo haitoshi.
Kwanini decentralisation haifanyiki kwa haraka? Tunaua uchumi huku bado tunasema tunafufua uchumi?