Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anasimamia nini?

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anasimamia nini?

Bwana yule aliyetangulia ndo aliua halmashauri, wengine ni mwendo wa kudemka na ngoma waliyoikuta....

Sasa nachoshangaa why hawafanyi reverse ya haraka ukue uchumi?
 
centralisation ni mfumo wa kidikteta uliotumika karne za 18 hadi 19 - yaani mapato yote ya nchi yanakusanywa sehemu moja then ni mtu mmoja tu ndiyo anayefanya allocation na ndiyo anayekuwa kauli ya mwisho.

Huu mfumo katu hauwezi kuisogeza nchi mbele.

Kinacho nishangaza alieleta hii mambo ya Karne za 18 keshakufa..
Why hawa waliopo wasi reverse kwa haraka?
Uchumi unashindwa Ku recover kwa haraka
 
Mimi nauliza tu, why Raisi, Makamu wa Raisi na waziri mkuu at the same time?

Naamini kuna nafasi hapo haihitajiki, ni basi tu!
Vyeo vya kisiasa hivyo vinavyotafuna Kodi za wananchi. "Président in waiting" hata kama aliyeko madarakani atamaliza mihura yote.
 
Hoja yangu wala sio kufukuza mtu.

Hoja yangu hapa Nani anaesimamia hiyo kujenga uchumi?

Na kama moja ya mambo yalioumiza uchumi ni centralisation why centralisation inaendelea?Nani anaetakiwa kusimamia decentralisation?
Centralization ni suala la sheria na Katiba. Tanzania kwa kiasi kikubwa hasa linapokuja suala la fedha iko extremely centralized. Msimamizi wa yote ni Chama Tawala. Hadi kibadili Sera au Chama chenye Sera nyingine kiingie madarakani.
 
Samia anasema anajenga uchumi.

Nani msimamizi wake mkuu?

Majaliwa? Au Mpango?

Tofauti ya awamu ya tano na sita kiuchumi ni ipi?

Centralisation ni moja ya mambo yalioua uchumi why decentralisation haifanyiki?

Why mawaziri bado wanaimarisha centralisation?

Mashirika yanaendeshwa na Utumishi.

Na Mawaziri wakurugenzi wote ni Rubber stamps.

Makusanyo yote serikali kuu.

Halafu wanapangiwa bajeti ambayo haitoshi.

Kwanini decentralisation haifanyiki kwa haraka? Tunaua uchumi huku bado tunasema tunafufua uchumi?

ni ngumu kuelewa ccm wameamua kutumia hesabu za magazijuto [emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
Sababu katiba ya sasa haina vipengele vikali vya kuwawajibisha hao wanaokiuka katiba yenyewe, na hapo ndo umuhimu wa kuipitia upya katiba ya sasa ....
Wala huelewi katiba ni nini. Katiba ni muongozo jinsi nchi iendeshwe. Inawezesha kuundwa sheria mbalimbali sio yenyewe ndio inaelezea kila kitu unachofikiria wewe.
 
Centralization ni suala la sheria na Katiba. Tanzania kwa kiasi kikubwa hasa linapokuja suala la fedha iko extremely centralized. Msimamizi wa yote ni Chama Tawala. Hadi kibadili Sera au Chama chenye Sera nyingine kiingie madarakani.

Kwa hiyo Mkapa na Mwinyi na JK
Walikuwa wanavunja katiba kwa Ku decentralisation?..
Mkapa kajenga independent institutions nyingi sana...hiyo yote alikosea??
 
Back
Top Bottom