Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anasimamia nini?

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anasimamia nini?

centralisation ni mfumo wa kidikteta uliotumika karne za 18 hadi 19 - yaani mapato yote ya nchi yanakusanywa sehemu moja then ni mtu mmoja tu ndiyo anayefanya allocation na ndiyo anayekuwa kauli ya mwisho.

Huu mfumo katu hauwezi kuisogeza nchi mbele.
Ni mfumo onezi na usio na tija una jenga watu badala ya mifumo
 
Samia anasema anajenga uchumi.

Nani msimamizi wake mkuu?

Majaliwa? Au Mpango?

Tofauti ya awamu ya tano na sita kiuchumi ni ipi?

Centralisation ni moja ya mambo yalioua uchumi why decentralisation haifanyiki?

Why mawaziri bado wanaimarisha centralisation?

Mashirika yanaendeshwa na Utumishi.

Na Mawaziri wakurugenzi wote ni Rubber stamps.

Makusanyo yote serikali kuu.

Halafu wanapangiwa bajeti ambayo haitoshi.

Kwanini decentralisation haifanyiki kwa haraka? Tunaua uchumi huku bado tunasema tunafufua uchumi?
Hawa unaowaleleza haya sijui kama hizo akili wanazo.
 
Majaliwa kiufupi hana anachojua ni kama jibwa flani hivi linasubiri likishasakiziwa likamate kama halijasakiziwa kitu linalala linakoromaaaaa kimsingi hamna mtu pale , ni jamaa asiye na msimamo unajua alivyo kuwa ana behave wakati wa mwenda zake na sasahivi yaani
 
Samia anasema anajenga uchumi.

Nani msimamizi wake mkuu?

Majaliwa? Au Mpango?

Tofauti ya awamu ya tano na sita kiuchumi ni ipi?

Centralisation ni moja ya mambo yalioua uchumi why decentralisation haifanyiki?

Why mawaziri bado wanaimarisha centralisation?

Mashirika yanaendeshwa na Utumishi.

Na Mawaziri wakurugenzi wote ni Rubber stamps.

Makusanyo yote serikali kuu.

Halafu wanapangiwa bajeti ambayo haitoshi.

Kwanini decentralisation haifanyiki kwa haraka? Tunaua uchumi huku bado tunasema tunafufua uchumi?
Decentralisation ndio una maana gani? Au unategemea serikali ya ccm iondoe regulation?.. Yaani udhibiti wa uchumi? Hiyo ndio silaya yake iloyobaki kuhakikisha haki na usawa kwenye uchumi. Unataka wawekezaji na wafanyabiashara wafanye watakavyo dhidi ya umma wa wananchi? Yaani kuna watu mnaimbishwa kama kasuku. Ukiona kwenye katiba wamesema nchi itaenda kwa misingi ya ujamaa ndio hii kudhibiti sekta binafsi wawekezaji na wafanyabiashara ili uchumi uwe unakua kwa wote... kwa faida ya umma.
 
Samia anasema anajenga uchumi.

Nani msimamizi wake mkuu?

Majaliwa? Au Mpango?

Tofauti ya awamu ya tano na sita kiuchumi ni ipi?

Centralisation ni moja ya mambo yalioua uchumi why decentralisation haifanyiki?

Why mawaziri bado wanaimarisha centralisation?

Mashirika yanaendeshwa na Utumishi.

Na Mawaziri wakurugenzi wote ni Rubber stamps.

Makusanyo yote serikali kuu.

Halafu wanapangiwa bajeti ambayo haitoshi.

Kwanini decentralisation haifanyiki kwa haraka? Tunaua uchumi huku bado tunasema tunafufua uchumi?
Majaliwa ni one of the hopeless PM this Country has ever had in history..
Toka siku ile alivyotutumka msikitini kudai JPM ni mzima na yupo ofc anachapa kazi wakati kiukweli kuna uwezekano jamaa alishapotea mazima nilimtoa maana.
 
Katiba mpya haibadilisha tabia zetu. Katiba ya sasa inavunjwa lakini mamlaka hazichuki hatua.
Sababu katiba ya sasa haina vipengele vikali vya kuwawajibisha hao wanaokiuka katiba yenyewe, na hapo ndo umuhimu wa kuipitia upya katiba ya sasa ....
 
Mambo ya janja janja huwa hayaishi, lakini mkiwa na taasisi imara na independent na zimewezeshwa kwa kila kitu kama vile Scorpion' na Hawks za huku RSA, mnaweza kabisa punguza changamoto na kupata mafanikio ktk issue unazozungumzia za corruption malpractice zinazotokea kati ya sekta binafsi na serikali na sio kama Takukuru ambayo mara nyingi inakuwa sio independent au toothless ktk kudeal na changamoto unazosema.......
Kwa vile umeoongezea nyama hoja sasa nimeelewa. Mwanzoni nilifikiri decentralization kwa maana ya taasisi a serikali (hasa zile zinazokusanya pesa) kujikusanyia hela, kujipangia matumizi na kutoa tu report huko juu tu kwamba tumekusanya hiki na tumetumia hivi.

Kwa muktadha wa unachokizungumzia nadhani ni jambo linaloeleweka. Sina ubishi nalo hata kidogo. Ifahamike tu kwamba ile centralization ya Magufuli ilikuwa ni ad hoc reaction kutokana na kile alichokishuhudia kwenye awamu iliyomtangulia. Ni kama mtu aliyekuwa ndani ya sytem huku moyoni akijiwazia kuwa akiwa Rais atatupilia mbali mambo aliyohisi ni ya ovyo. Kumbe akaja kuwa. Katika kutupa mambo ya ovyo akatupa beseni na mwana aliyekuwemo ndani yake.

Kuna baadhi ya mambo ya kurekebisha ili private sector irejeea na kuoperate bila kuleta ukakasi. Miongoni mwa ukakasi huo ni pale private sector inapokosa uaminifu na uadilifu katika mashirikiano yake na serikali. Inapotokea kwa mfano habari ikaleak kwamba taasisi fulani ya serikaili imeingia mkataba fulani wa kifisadi na kampuni fulani binafsi, wapo watu kibao dizaini za Magufuli ambao hawatafurahishwa na miendendo hiyo.

Mjadala uwe ni je ni namna gani bora ya kuejesha sekta binafsi itakayodili na serikali bila janja janja?

Sometimes nafikiri kwamba the onus is on the private sector kujiprove kwamba wanastahili, wanaweza na wanaaminika. Hawahitaji janja kuishi mjini.
 
Samia anasema anajenga uchumi.

Nani msimamizi wake mkuu?

Majaliwa? Au Mpango?

Tofauti ya awamu ya tano na sita kiuchumi ni ipi?

Centralisation ni moja ya mambo yalioua uchumi why decentralisation haifanyiki?

Why mawaziri bado wanaimarisha centralisation?

Mashirika yanaendeshwa na Utumishi.

Na Mawaziri wakurugenzi wote ni Rubber stamps.

Makusanyo yote serikali kuu.

Halafu wanapangiwa bajeti ambayo haitoshi.

Kwanini decentralisation haifanyiki kwa haraka? Tunaua uchumi huku bado tunasema tunafufua uchumi?
Juzi niliona Rais akipokelewa na jopo la viongozi wote wakuu ngazi ya juu akitokea Rwanda.

Nilijiuliza sana mantiki ya viongozi wote hao kuchoma mafuta kwa lengo la kumpokea mwenyeji kazi ambayo, ingeweza kufanywa na kamati ya usalama ya mkoa.🤔
 
Decentralisation ndio una maana gani? Au unategemea serikali ya ccm iondoe regulation?.. Yaani udhibiti wa uchumi? Hiyo ndio silaya yake iloyobaki kuhakikisha haki na usawa kwenye uchumi. Unataka wawekezaji na wafanyabiashara wafanye watakavyo dhidi ya umma wa wansnchi? Yaani kuna watu mnaimbishwa kama kasuku. Ukiona kwenye katiba wamesema mchi itaenda kwa misingi ya ujamaa ndio hii kudhibiti sekta binafsi wawekezaji na wafanyabiashara ili uchumi uwe unakua kwa wote... kwa faida ya umma.

Soma post zote
Watu wamefafanua zaidi
 
Kwa vile umeoongezea nyama hoja sasa nimeelewa. Mwanzoni nilifikiri decentralization kwa maana ya taasisi a serikali (hasa zile zinazokusanya pesa) kujikusanyia hela, kujipangia matumizi na kutoa tu report huko juu tu kwamba tumekusanya hiki na tumetumia hivi.

Kwa muktadha wa unachokizungumzia nadhani ni jambo linaloeleweka. Sina ubishi nalo hata kidogo. Ifahamike tu kwamba ile centralization ya Magufuli ilikuwa ni ad hoc reaction kutokana na kile alichokishuhudia kwenye awamu iliyomtangulia. Ni kama mtu aliyekuwa ndani ya sytem huku moyoni akijiwazia kuwa akiwa Rais atatupilia mbali mambo aliyohisi ni ya ovyo. Kumbe akaja kuwa. Katika kutupa mambo ya ovyo akatupa beseni na mwana aliyekuwemo ndani yake.

Kuna baadhi ya mambo ya kurekebisha ili private sector irejeea na kuoperate bila kuleta ukakasi. Miongoni mwa ukakasi huo ni pale private sector inapokosa uaminifu na uadilifu katika mashirikiano yake na serikali. Inapotokea kwa mfano habari ikaleak kwamba taasisi fulani ya serikaili imeingia mkataba fulani wa kifisadi na kampuni fulani binafsi, wapo watu kibao dizaini za Magufuli ambao hawatafurahishwa na miendendo hiyo.

Mjadala uwe ni je ni namna gani bora ya kuejesha sekta binafsi itakayodili na serikali bila janja janja?

Sometimes nafikiri kwamba the onus is on the private sector kujiprove kwamba wanastahili, wanaweza na wanaaminika. Hawahitaji janja kuishi mjini.

Private sector janja janja lazima zitakuwepo
Kinachotakiwa ni udhibiti tu
Mfano Ile kulazimisha kampuni za simu ziende kuwa listed DSE ni njia ya kudhibiti janja janja..
Wakiwa listed wanakuwa transparency .
Hawawezi sema hawajapata faida
 
Unachosema kina mantiki kubwa sana...Infact hizi serikali mbili ya local na central ni replication na hazijajitofautisha katika roles zake kama ilivyopaswa; kisha ina weak link ndiyo maana ile ya central iliyotakiwa iweze kushughulika na policies pekee the Dejure ime nyang'anya roles za ile ya local ambayo ilitakiwa kuwa defacto i.e operational yaani tendaji at production level...

Matokeo yake kuna power struggle na inefficient allocation of resources and utilization....The total sum ni mkwamo kwenye economic growth...Tunakuwa kwakua hakuna jinsi huwezi kukua kwakua growth ni natural lakini haipo programmed wala strategized...

Yaani huu mkwamo ndo shida kuu ya uchumi kwa sasa .
Taasis nyingi hazijui clear policy ikoje..
Watu wanaamua Tu kukubali yaishe
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Yaani bado utumishi ina endesha mashirika.

Bado kila mtumishi atibiwe na NIHF.

Bado makusanyo yote hazina.

Ma MD wote kama picha..yet wanalipwa milions.

Kila kitu bado kiko kwenye centrelisation.

Na inazidi kuimarishwa..
Bwana yule aliyetangulia ndo aliua halmashauri, wengine ni mwendo wa kudemka na ngoma waliyoikuta....
 
Lakini wewe unaongeza chumvi kidogo hivi la utumishi kuajiri linakosa gani?
Taasisi now zinataka kuajiri watu 300 mfano
Kibali kinatoka watu 20..

Mradi Utumishi ndo anasimamia haifai
Bora taasisi zijisimamie zenyewe
 
Back
Top Bottom