zimmerman
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 1,644
- 3,176
Ishu kubwa hapa si centralization wala decentralization. Tena kwa watanzania decentralization ni leseni ya vitaasisi huku chini kujitafunia hela ya umma wanavyotaka.
Mi siyo muumini wa mzunguko wa pesa unaotegemea loopholes na uzembe wa serikali katika matumizi ya pesa ya umma.
Tutafute vyanzo halisi vinavyokwamisha au vitakavyoboost mzunguko wa pesa na kukuza uchumi.
Kama ningeulizwa ningesema uimara wa sekta binafsi (private businesses, etc) ndio siri ya kukua kwa uchumi.
Tukizipalilia hizi sekta binafsi (kodi rafiki, n.k) tunaweza kupata matokeo tofauti.
Mi siyo muumini wa mzunguko wa pesa unaotegemea loopholes na uzembe wa serikali katika matumizi ya pesa ya umma.
Tutafute vyanzo halisi vinavyokwamisha au vitakavyoboost mzunguko wa pesa na kukuza uchumi.
Kama ningeulizwa ningesema uimara wa sekta binafsi (private businesses, etc) ndio siri ya kukua kwa uchumi.
Tukizipalilia hizi sekta binafsi (kodi rafiki, n.k) tunaweza kupata matokeo tofauti.