Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anasimamia nini?

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anasimamia nini?

Ishu kubwa hapa si centralization wala decentralization. Tena kwa watanzania decentralization ni leseni ya vitaasisi huku chini kujitafunia hela ya umma wanavyotaka.

Mi siyo muumini wa mzunguko wa pesa unaotegemea loopholes na uzembe wa serikali katika matumizi ya pesa ya umma.

Tutafute vyanzo halisi vinavyokwamisha au vitakavyoboost mzunguko wa pesa na kukuza uchumi.

Kama ningeulizwa ningesema uimara wa sekta binafsi (private businesses, etc) ndio siri ya kukua kwa uchumi.

Tukizipalilia hizi sekta binafsi (kodi rafiki, n.k) tunaweza kupata matokeo tofauti.
 
Hoja yangu wala sio kufukuza mtu
Hoja yangu hapa Nani anaesimamia hiyo kujenga uchumi??
Na kama moja ya mambo yalioumiza uchumi ni centralisation ..why centralisation inaendelea?Nani anaetakiwa kusimamia decentralisation?
Binafsi ninamsamehe mzee Mwanakijiji, nahisi uzee umemshikiria vibaya, huyu mzee ni moja ya watu walionifanya nijiunge JF but since awamu 5 imeingia madarakani hadi sasa hivi, kabadirika sana
 
Suala la Ajira zote za serikali kupelekwa UTUMISHI nadhani ipikuwa ni maboresho na kupunguza malalamiko ya upendeleo

Bado uko kwenye maana yangu ile ile. Serikali bado inaamini inaweza kuendesha njia kuu za uchumi na kuanzisha vitega uchumi.

Ndio maana hata taasisi nyingi ulizozitaja hazikuanza wakati wa Magu, alizikuta na zinafanya kazi.

Issue iliyopo kutoendesha soko kwa ushindani, ambao kidogo huwa unapelekea ubora wa huduma na kupumua kwa sekta binafsi.

Na suala hili mara zote limekuwa linategemea utashi binafsi wa Rais, ndio maana licha ya mashirika hayo kuwepo tangu zamani lakini sekta binafsi zilikuwa zinapewa kazi

Naona hunielewi kabisa..
Unaposema toka zamani zamani ipi?
Policy ya Nyerere ilikuwa kila kitu serikali
Hakuna private sector kabisa wakati wa Nyerere..
Private sector yote imejengwa na Mwinyi, Mkapa na JK..

Sasa kama Magufuli kuna mambo alijaribu kurudisha kama ya Nyerere now hayupo
Lazima serikali iwe very clear .. policy ni ipi??

Serikali sio muajiri mkuu..unataka private sector waajiri lazima wasibaniwe..wapewe hiyo nguvu...
Huwezi sema taasisi zote za serikali walinzi watoke Suma JKT halafu unasema unajali private security firms..
Huo ni mfano Tu mmoja..

Huwezi sema NHC wajenge wenyewe kila kitu
Hadi kujifanyia auditing wenyewe halafu useme eti mnapiga hatua..
Client na company ni the same
Pesa inazunguka humo humo uje useme unakuza uchumi
 
Samia anasema anajenga uchumi..
Nani msimamizi wake mkuu?
Majaliwa?Au Mpango?..

Tofauti ya awamu ya tano na sita kiuchumi ni ipi??
Centralisation ni moja ya mambo yalioua uchumi..why decentralisation haifanyiki?

Why mawaziri bado wanaimarisha centralisation?..

Mashirika yanaendeshwa na Utumishi..
Na Mawaziri ...wakurugenzi wote ni Rubber stamps...
Makusanyo yote serikali kuu..
Halafu wanapangiwa bajeti ambayo haitoshi....

Kwanini decentralisation haifanyiki kwa haraka?..tunaua uchumi huku bado tunasema tunafufua uchumi???
Kazi iendelee acha kulalamika
 
Samia anasema anajenga uchumi..
Nani msimamizi wake mkuu?
Majaliwa?Au Mpango?..

Tofauti ya awamu ya tano na sita kiuchumi ni ipi??
Centralisation ni moja ya mambo yalioua uchumi..why decentralisation haifanyiki?

Why mawaziri bado wanaimarisha centralisation?..

Mashirika yanaendeshwa na Utumishi..
Na Mawaziri ...wakurugenzi wote ni Rubber stamps...
Makusanyo yote serikali kuu..
Halafu wanapangiwa bajeti ambayo haitoshi....

Kwanini decentralisation haifanyiki kwa haraka?..tunaua uchumi huku bado tunasema tunafufua uchumi???
Kwani kwa uzoefu wako wewe ni lini ccm waliwahi kufanya jambo la kimaendeleo likafanikiwa?
 
Samia anasema anajenga uchumi..
Nani msimamizi wake mkuu?
Majaliwa?Au Mpango?..

Tofauti ya awamu ya tano na sita kiuchumi ni ipi??
Centralisation ni moja ya mambo yalioua uchumi..why decentralisation haifanyiki?

Why mawaziri bado wanaimarisha centralisation?..

Mashirika yanaendeshwa na Utumishi..
Na Mawaziri ...wakurugenzi wote ni Rubber stamps...
Makusanyo yote serikali kuu..
Halafu wanapangiwa bajeti ambayo haitoshi....

Kwanini decentralisation haifanyiki kwa haraka?..tunaua uchumi huku bado tunasema tunafufua uchumi???
Nchi inaongozwa na watu wasio na vision mkuu. Na siku zote sifa kubwa kuu ya kiongozi bora sio vyeti ni vision. Kama hana maono ni ubatili mtupu.
 
Naona hunielewi kabisa..
Unaposema toka zamani zamani ipi?
Policy ya Nyerere ilikuwa kila kitu serikali
Hakuna private sector kabisa wakati wa Nyerere..
Private sector yote imejengwa na Mwinyi, Mkapa na JK..

Sasa kama Magufuli kuna mambo alijaribu kurudisha kama ya Nyerere now hayupo
Lazima serikali iwe very clear .. policy ni ipi??

Serikali sio muajiri mkuu..unataka private sector waajiri lazima wasibaniwe..wapewe hiyo nguvu...
Huwezi sema taasisi zote za serikali walinzi watoke Suma JKT halafu unasema unajali private security firms..
Huo ni mfano Tu mmoja..

Huwezi sema NHC wajenge wenyewe kila kitu
Hadi kujifanyia auditing wenyewe halafu useme eti mnapiga hatua..
Client na company ni the same
Pesa inazunguka humo humo uje useme unakuza uchumi
Sera ya ujamaa ya CCM mpaka sasa ni ipi ?

Mashiruka ya umma kama NHIF, TBA, TASAC, NASACO, NHC, SUMA JKT yameanzawaka gani ?

Na je wakati hayo mashirika yakianzishwa na kufanya kazi hali ya sekta binafsi ilikuwaje ?
 
Ishu kubwa hapa si centralization wala decentralization. Tena kwa watanzania decentralization ni leseni ya vitaasisi huku chini kujitafunia hela ya umma wanavyotaka.

Mi siyo muumini wa mzunguko wa pesa unaotegemea loopholes na uzembe wa serikali katika matumizi ya pesa ya umma.

Tutafute vyanzo halisi vinavyokwamisha au vitakavyoboost mzunguko wa pesa na kukuza uchumi.

Kama ningeulizwa ningesema uimara wa sekta binafsi (private businesses, etc) ndio siri ya kukua kwa uchumi.

Tukizipalilia hizi sekta binafsi (kodi rafiki, n.k) tunaweza kupata matokeo tofauti.
Sasa mbona unajipinga mwenyewe?
Private sector anaanzisha kampuni ya ulinzi
Anakuta kampuni zote za Umma zimepigwa marufuku kutumia kampuni ya ulinzi ya private sector. ..wanatakiwa wote watumie
Suma JKT....
Private sector wanaanzisha kampuni za Bima
Wanakuta marufuku watumishi wa umma kutumia kampuni binafsi za BIMA
Wote wako NHIF ..
Private sector Wana kampuni ya ujenzi
Wanakuta taasisi na makampuni wanajengewa na TBA mara JKT mara kile
Private sector hata garage Tu zipitie sijui TAMESA n.k..mradi kila sehemu serikali inabana bana inafanya yenyewe biashara
Biashara imebaki kwa serikali kwa serikali

Hapo Una boost vipi private sector?

Hata makampuni Tu ya kusimamia kuajiri watu ...hayatakiwi..
Serikali inasimamia yenyewe kupitia Utumishi..
 
Ipi tofauti ya Naibu Rais na Makamu waRais ?.

Makamu na Naibu hawafukuzwi na Rais
Chama au bunge..
Ila naibu anafanya kazi za waziri mkuu
Hivyo waziri mkuu hahitajiki
Kwetu Makamu ni kama President in Waiting
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Labda rejea nafasi ya Waziri Mkuu na Makamu wa Rais. Hizi mbili haziko ngazi moja hata kidogo. Makamu wa Rais ni cheo kikubwa sana kuliko Waziri Mkuu. Samia anaweza kumfukuza Majaliwa lakini hawezi kumfukua Mpango kwa neno lake tu.

Hivyo, msimamizi wa mawaziri wengine wote ni Waziri Mkuu chini ya Rais na ndio muwakilishi wa Rais Bungeni (anazungumzia serikali yote). Hata hivyo, maamuzi yote ya executive branchi yanafanywa na Rais na by extension na Makamu Wake.
Mkuu na wewe umekuwaje tena? mbona unacheza nje ya chaki?hebu msome vizuri the Boss kisha uje tena
 
Centralisation ni moja ya mambo yalioua uchumi why decentralisation haifanyiki?
centralisation ni mfumo wa kidikteta uliotumika karne za 18 hadi 19 - yaani mapato yote ya nchi yanakusanywa sehemu moja then ni mtu mmoja tu ndiyo anayefanya allocation na ndiyo anayekuwa kauli ya mwisho.

Huu mfumo katu hauwezi kuisogeza nchi mbele.
 
Hapana unless hauko informed
Ntakupeleka mfano
Zamani wakati wa Mkapa na JK
Mashirika mfano NHIF walikuwa
Wana ajiri
Wanachagua suppliers wenyewe
Wana kusanya hela ..
Wanafanya manunuzi
Wanaweka motisha kwa wafanyakazi wao..
Wanatengeneza vision za makampuni
Kupitia board zao wanajiendesha ingawa yalikuwa makampuni ya umma..

Alipokuja Magufuli akafanya centrelisation.
Hanunui chochote Hadi waziri aseme
Makusanyo yote yanapelekwa hazina.
Hawaruhusiwi kutoa tender lolote hasa kampuni binafsi..
Wakitaka ujenzi TBA
Ukitaka bima NHIF
Sijui ulinzi .Suma JKT..
Kuajiri . Utumishi..

Matokeo yake ndo uchumi kuyumba
Sekta binafsi kufa...n.k..

Sasa kaja Samia kasema anafufua..
Cha kushangaza centrelisation inaendelea
Lakini wewe unaongeza chumvi kidogo hivi la utumishi kuajiri linakosa gani?
 
KATIBA MPYA ndio suluhishi ya yote haya.

Bila kupigania katiba mpya tutaimba hayo maswali mpaka mwisho wa dahari.!
 
Hapana unless hauko informed
Ntakupeleka mfano
Zamani wakati wa Mkapa na JK
Mashirika mfano NHIF walikuwa
Wana ajiri
Wanachagua suppliers wenyewe
Wana kusanya hela ..
Wanafanya manunuzi
Wanaweka motisha kwa wafanyakazi wao..
Wanatengeneza vision za makampuni
Kupitia board zao wanajiendesha ingawa yalikuwa makampuni ya umma..

Alipokuja Magufuli akafanya centrelisation.
Hanunui chochote Hadi waziri aseme
Makusanyo yote yanapelekwa hazina.
Hawaruhusiwi kutoa tender lolote hasa kampuni binafsi..
Wakitaka ujenzi TBA
Ukitaka bima NHIF
Sijui ulinzi .Suma JKT..
Kuajiri . Utumishi..

Matokeo yake ndo uchumi kuyumba
Sekta binafsi kufa...n.k..

Sasa kaja Samia kasema anafufua..
Cha kushangaza centrelisation inaendelea
Uchumi haukui kwasababu ya wizi,uvivu, udokozi na ufisadi ndani ya serikali. Hizo nyingine ni sababu shirikishi tu.
 
Sasa mbona unajipinga mwenyewe?
Private sector anaanzisha kampuni ya ulinzi
Anakuta kampuni zote za Umma zimepigwa marufuku kutumia kampuni ya ulinzi ya private sector. ..wanatakiwa wote watumie
Suma JKT....
Private sector wanaanzisha kampuni za Bima
Wanakuta marufuku watumishi wa umma kutumia kampuni binafsi za BIMA
Wote wako NHIF ..
Private sector Wana kampuni ya ujenzi
Wanakuta taasisi na makampuni wanajengewa na TBA mara JKT mara kile
Private sector hata garage Tu zipitie sijui TAMESA n.k..mradi kila sehemu serikali inabana bana inafanya yenyewe biashara
Biashara imebaki kwa serikali kwa serikali

Hapo Una boost vipi private sector?

Hata makampuni Tu ya kusimamia kuajiri watu ...hayatakiwi..
Serikali inasimamia yenyewe kupitia Utumishi..
Kwa vile umeoongezea nyama hoja sasa nimeelewa. Mwanzoni nilifikiri decentralization kwa maana ya taasisi a serikali (hasa zile zinazokusanya pesa) kujikusanyia hela, kujipangia matumizi na kutoa tu report huko juu tu kwamba tumekusanya hiki na tumetumia hivi.

Kwa muktadha wa unachokizungumzia nadhani ni jambo linaloeleweka. Sina ubishi nalo hata kidogo. Ifahamike tu kwamba ile centralization ya Magufuli ilikuwa ni ad hoc reaction kutokana na kile alichokishuhudia kwenye awamu iliyomtangulia. Ni kama mtu aliyekuwa ndani ya sytem huku moyoni akijiwazia kuwa akiwa Rais atatupilia mbali mambo aliyohisi ni ya ovyo. Kumbe akaja kuwa. Katika kutupa mambo ya ovyo akatupa beseni na mwana aliyekuwemo ndani yake.

Kuna baadhi ya mambo ya kurekebisha ili private sector irejeea na kuoperate bila kuleta ukakasi. Miongoni mwa ukakasi huo ni pale private sector inapokosa uaminifu na uadilifu katika mashirikiano yake na serikali. Inapotokea kwa mfano habari ikaleak kwamba taasisi fulani ya serikaili imeingia mkataba fulani wa kifisadi na kampuni fulani binafsi, wapo watu kibao dizaini za Magufuli ambao hawatafurahishwa na miendendo hiyo.

Mjadala uwe ni je ni namna gani bora ya kuejesha sekta binafsi itakayodili na serikali bila janja janja?

Sometimes nafikiri kwamba the onus is on the private sector kujiprove kwamba wanastahili, wanaweza na wanaaminika. Hawahitaji janja kuishi mjini.
 
Samia anasema anajenga uchumi.

Nani msimamizi wake mkuu?

Majaliwa? Au Mpango?

Tofauti ya awamu ya tano na sita kiuchumi ni ipi?

Centralisation ni moja ya mambo yalioua uchumi why decentralisation haifanyiki?

Why mawaziri bado wanaimarisha centralisation?

Mashirika yanaendeshwa na Utumishi.

Na Mawaziri wakurugenzi wote ni Rubber stamps.

Makusanyo yote serikali kuu.

Halafu wanapangiwa bajeti ambayo haitoshi.

Kwanini decentralisation haifanyiki kwa haraka? Tunaua uchumi huku bado tunasema tunafufua uchumi?
Nchi hii kama una akili timamu na ukiacha ushabiki wa kisiasa basi ukiwaza Sana unaweza kulia.Ni kama nchi Haina dira na viongozi wapo kwa ajili ya kujinufaisha wao tu.
 
Naona hunielewi kabisa..
Unaposema toka zamani zamani ipi?
Policy ya Nyerere ilikuwa kila kitu serikali
Hakuna private sector kabisa wakati wa Nyerere..
Private sector yote imejengwa na Mwinyi, Mkapa na JK..

Sasa kama Magufuli kuna mambo alijaribu kurudisha kama ya Nyerere now hayupo
Lazima serikali iwe very clear .. policy ni ipi??

Serikali sio muajiri mkuu..unataka private sector waajiri lazima wasibaniwe..wapewe hiyo nguvu...
Huwezi sema taasisi zote za serikali walinzi watoke Suma JKT halafu unasema unajali private security firms..
Huo ni mfano Tu mmoja..

Huwezi sema NHC wajenge wenyewe kila kitu
Hadi kujifanyia auditing wenyewe halafu useme eti mnapiga hatua..
Client na company ni the same
Pesa inazunguka humo humo uje useme unakuza uchumi
Mkuu hoja yako Ina mantiki sana.

Halafu hapo hapo wanataka kodi za ajabu ajabu kutoka kwa kampuni binafsi...!
 
Hoja yangu wala sio kufukuza mtu.

Hoja yangu hapa Nani anaesimamia hiyo kujenga uchumi?

Na kama moja ya mambo yalioumiza uchumi ni centralisation why centralisation inaendelea?Nani anaetakiwa kusimamia decentralisation?
Unachosema kina mantiki kubwa sana...Infact hizi serikali mbili ya local na central ni replication na hazijajitofautisha katika roles zake kama ilivyopaswa; kisha ina weak link ndiyo maana ile ya central iliyotakiwa iweze kushughulika na policies pekee the Dejure ime nyang'anya roles za ile ya local ambayo ilitakiwa kuwa defacto i.e operational yaani tendaji at production level...

Matokeo yake kuna power struggle na inefficient allocation of resources and utilization....The total sum ni mkwamo kwenye economic growth...Tunakuwa kwakua hakuna jinsi huwezi kukua kwakua growth ni natural lakini haipo programmed wala strategized...
 
Back
Top Bottom