Binafsi ninamsamehe mzee Mwanakijiji, nahisi uzee umemshikiria vibaya, huyu mzee ni moja ya watu walionifanya nijiunge JF but since awamu 5 imeingia madarakani hadi sasa hivi, kabadirika sanaHoja yangu wala sio kufukuza mtu
Hoja yangu hapa Nani anaesimamia hiyo kujenga uchumi??
Na kama moja ya mambo yalioumiza uchumi ni centralisation ..why centralisation inaendelea?Nani anaetakiwa kusimamia decentralisation?
Suala la Ajira zote za serikali kupelekwa UTUMISHI nadhani ipikuwa ni maboresho na kupunguza malalamiko ya upendeleo
Bado uko kwenye maana yangu ile ile. Serikali bado inaamini inaweza kuendesha njia kuu za uchumi na kuanzisha vitega uchumi.
Ndio maana hata taasisi nyingi ulizozitaja hazikuanza wakati wa Magu, alizikuta na zinafanya kazi.
Issue iliyopo kutoendesha soko kwa ushindani, ambao kidogo huwa unapelekea ubora wa huduma na kupumua kwa sekta binafsi.
Na suala hili mara zote limekuwa linategemea utashi binafsi wa Rais, ndio maana licha ya mashirika hayo kuwepo tangu zamani lakini sekta binafsi zilikuwa zinapewa kazi
Kazi iendelee acha kulalamikaSamia anasema anajenga uchumi..
Nani msimamizi wake mkuu?
Majaliwa?Au Mpango?..
Tofauti ya awamu ya tano na sita kiuchumi ni ipi??
Centralisation ni moja ya mambo yalioua uchumi..why decentralisation haifanyiki?
Why mawaziri bado wanaimarisha centralisation?..
Mashirika yanaendeshwa na Utumishi..
Na Mawaziri ...wakurugenzi wote ni Rubber stamps...
Makusanyo yote serikali kuu..
Halafu wanapangiwa bajeti ambayo haitoshi....
Kwanini decentralisation haifanyiki kwa haraka?..tunaua uchumi huku bado tunasema tunafufua uchumi???
Kwani kwa uzoefu wako wewe ni lini ccm waliwahi kufanya jambo la kimaendeleo likafanikiwa?Samia anasema anajenga uchumi..
Nani msimamizi wake mkuu?
Majaliwa?Au Mpango?..
Tofauti ya awamu ya tano na sita kiuchumi ni ipi??
Centralisation ni moja ya mambo yalioua uchumi..why decentralisation haifanyiki?
Why mawaziri bado wanaimarisha centralisation?..
Mashirika yanaendeshwa na Utumishi..
Na Mawaziri ...wakurugenzi wote ni Rubber stamps...
Makusanyo yote serikali kuu..
Halafu wanapangiwa bajeti ambayo haitoshi....
Kwanini decentralisation haifanyiki kwa haraka?..tunaua uchumi huku bado tunasema tunafufua uchumi???
Nchi inaongozwa na watu wasio na vision mkuu. Na siku zote sifa kubwa kuu ya kiongozi bora sio vyeti ni vision. Kama hana maono ni ubatili mtupu.Samia anasema anajenga uchumi..
Nani msimamizi wake mkuu?
Majaliwa?Au Mpango?..
Tofauti ya awamu ya tano na sita kiuchumi ni ipi??
Centralisation ni moja ya mambo yalioua uchumi..why decentralisation haifanyiki?
Why mawaziri bado wanaimarisha centralisation?..
Mashirika yanaendeshwa na Utumishi..
Na Mawaziri ...wakurugenzi wote ni Rubber stamps...
Makusanyo yote serikali kuu..
Halafu wanapangiwa bajeti ambayo haitoshi....
Kwanini decentralisation haifanyiki kwa haraka?..tunaua uchumi huku bado tunasema tunafufua uchumi???
Sera ya ujamaa ya CCM mpaka sasa ni ipi ?Naona hunielewi kabisa..
Unaposema toka zamani zamani ipi?
Policy ya Nyerere ilikuwa kila kitu serikali
Hakuna private sector kabisa wakati wa Nyerere..
Private sector yote imejengwa na Mwinyi, Mkapa na JK..
Sasa kama Magufuli kuna mambo alijaribu kurudisha kama ya Nyerere now hayupo
Lazima serikali iwe very clear .. policy ni ipi??
Serikali sio muajiri mkuu..unataka private sector waajiri lazima wasibaniwe..wapewe hiyo nguvu...
Huwezi sema taasisi zote za serikali walinzi watoke Suma JKT halafu unasema unajali private security firms..
Huo ni mfano Tu mmoja..
Huwezi sema NHC wajenge wenyewe kila kitu
Hadi kujifanyia auditing wenyewe halafu useme eti mnapiga hatua..
Client na company ni the same
Pesa inazunguka humo humo uje useme unakuza uchumi
Sasa mbona unajipinga mwenyewe?Ishu kubwa hapa si centralization wala decentralization. Tena kwa watanzania decentralization ni leseni ya vitaasisi huku chini kujitafunia hela ya umma wanavyotaka.
Mi siyo muumini wa mzunguko wa pesa unaotegemea loopholes na uzembe wa serikali katika matumizi ya pesa ya umma.
Tutafute vyanzo halisi vinavyokwamisha au vitakavyoboost mzunguko wa pesa na kukuza uchumi.
Kama ningeulizwa ningesema uimara wa sekta binafsi (private businesses, etc) ndio siri ya kukua kwa uchumi.
Tukizipalilia hizi sekta binafsi (kodi rafiki, n.k) tunaweza kupata matokeo tofauti.
Mkuu na wewe umekuwaje tena? mbona unacheza nje ya chaki?hebu msome vizuri the Boss kisha uje tenaLabda rejea nafasi ya Waziri Mkuu na Makamu wa Rais. Hizi mbili haziko ngazi moja hata kidogo. Makamu wa Rais ni cheo kikubwa sana kuliko Waziri Mkuu. Samia anaweza kumfukuza Majaliwa lakini hawezi kumfukua Mpango kwa neno lake tu.
Hivyo, msimamizi wa mawaziri wengine wote ni Waziri Mkuu chini ya Rais na ndio muwakilishi wa Rais Bungeni (anazungumzia serikali yote). Hata hivyo, maamuzi yote ya executive branchi yanafanywa na Rais na by extension na Makamu Wake.
centralisation ni mfumo wa kidikteta uliotumika karne za 18 hadi 19 - yaani mapato yote ya nchi yanakusanywa sehemu moja then ni mtu mmoja tu ndiyo anayefanya allocation na ndiyo anayekuwa kauli ya mwisho.Centralisation ni moja ya mambo yalioua uchumi why decentralisation haifanyiki?
Lakini wewe unaongeza chumvi kidogo hivi la utumishi kuajiri linakosa gani?Hapana unless hauko informed
Ntakupeleka mfano
Zamani wakati wa Mkapa na JK
Mashirika mfano NHIF walikuwa
Wana ajiri
Wanachagua suppliers wenyewe
Wana kusanya hela ..
Wanafanya manunuzi
Wanaweka motisha kwa wafanyakazi wao..
Wanatengeneza vision za makampuni
Kupitia board zao wanajiendesha ingawa yalikuwa makampuni ya umma..
Alipokuja Magufuli akafanya centrelisation.
Hanunui chochote Hadi waziri aseme
Makusanyo yote yanapelekwa hazina.
Hawaruhusiwi kutoa tender lolote hasa kampuni binafsi..
Wakitaka ujenzi TBA
Ukitaka bima NHIF
Sijui ulinzi .Suma JKT..
Kuajiri . Utumishi..
Matokeo yake ndo uchumi kuyumba
Sekta binafsi kufa...n.k..
Sasa kaja Samia kasema anafufua..
Cha kushangaza centrelisation inaendelea
Uchumi haukui kwasababu ya wizi,uvivu, udokozi na ufisadi ndani ya serikali. Hizo nyingine ni sababu shirikishi tu.Hapana unless hauko informed
Ntakupeleka mfano
Zamani wakati wa Mkapa na JK
Mashirika mfano NHIF walikuwa
Wana ajiri
Wanachagua suppliers wenyewe
Wana kusanya hela ..
Wanafanya manunuzi
Wanaweka motisha kwa wafanyakazi wao..
Wanatengeneza vision za makampuni
Kupitia board zao wanajiendesha ingawa yalikuwa makampuni ya umma..
Alipokuja Magufuli akafanya centrelisation.
Hanunui chochote Hadi waziri aseme
Makusanyo yote yanapelekwa hazina.
Hawaruhusiwi kutoa tender lolote hasa kampuni binafsi..
Wakitaka ujenzi TBA
Ukitaka bima NHIF
Sijui ulinzi .Suma JKT..
Kuajiri . Utumishi..
Matokeo yake ndo uchumi kuyumba
Sekta binafsi kufa...n.k..
Sasa kaja Samia kasema anafufua..
Cha kushangaza centrelisation inaendelea
Katiba mpya haibadilisha tabia zetu. Katiba ya sasa inavunjwa lakini mamlaka hazichuki hatua.KATIBA MPYA ndio suluhishi ya yote haya.
Bila kupigania katiba mpya tutaimba hayo maswali mpaka mwisho wa dahari.!
Kwa vile umeoongezea nyama hoja sasa nimeelewa. Mwanzoni nilifikiri decentralization kwa maana ya taasisi a serikali (hasa zile zinazokusanya pesa) kujikusanyia hela, kujipangia matumizi na kutoa tu report huko juu tu kwamba tumekusanya hiki na tumetumia hivi.Sasa mbona unajipinga mwenyewe?
Private sector anaanzisha kampuni ya ulinzi
Anakuta kampuni zote za Umma zimepigwa marufuku kutumia kampuni ya ulinzi ya private sector. ..wanatakiwa wote watumie
Suma JKT....
Private sector wanaanzisha kampuni za Bima
Wanakuta marufuku watumishi wa umma kutumia kampuni binafsi za BIMA
Wote wako NHIF ..
Private sector Wana kampuni ya ujenzi
Wanakuta taasisi na makampuni wanajengewa na TBA mara JKT mara kile
Private sector hata garage Tu zipitie sijui TAMESA n.k..mradi kila sehemu serikali inabana bana inafanya yenyewe biashara
Biashara imebaki kwa serikali kwa serikali
Hapo Una boost vipi private sector?
Hata makampuni Tu ya kusimamia kuajiri watu ...hayatakiwi..
Serikali inasimamia yenyewe kupitia Utumishi..
Nchi hii kama una akili timamu na ukiacha ushabiki wa kisiasa basi ukiwaza Sana unaweza kulia.Ni kama nchi Haina dira na viongozi wapo kwa ajili ya kujinufaisha wao tu.Samia anasema anajenga uchumi.
Nani msimamizi wake mkuu?
Majaliwa? Au Mpango?
Tofauti ya awamu ya tano na sita kiuchumi ni ipi?
Centralisation ni moja ya mambo yalioua uchumi why decentralisation haifanyiki?
Why mawaziri bado wanaimarisha centralisation?
Mashirika yanaendeshwa na Utumishi.
Na Mawaziri wakurugenzi wote ni Rubber stamps.
Makusanyo yote serikali kuu.
Halafu wanapangiwa bajeti ambayo haitoshi.
Kwanini decentralisation haifanyiki kwa haraka? Tunaua uchumi huku bado tunasema tunafufua uchumi?
Mkuu hoja yako Ina mantiki sana.Naona hunielewi kabisa..
Unaposema toka zamani zamani ipi?
Policy ya Nyerere ilikuwa kila kitu serikali
Hakuna private sector kabisa wakati wa Nyerere..
Private sector yote imejengwa na Mwinyi, Mkapa na JK..
Sasa kama Magufuli kuna mambo alijaribu kurudisha kama ya Nyerere now hayupo
Lazima serikali iwe very clear .. policy ni ipi??
Serikali sio muajiri mkuu..unataka private sector waajiri lazima wasibaniwe..wapewe hiyo nguvu...
Huwezi sema taasisi zote za serikali walinzi watoke Suma JKT halafu unasema unajali private security firms..
Huo ni mfano Tu mmoja..
Huwezi sema NHC wajenge wenyewe kila kitu
Hadi kujifanyia auditing wenyewe halafu useme eti mnapiga hatua..
Client na company ni the same
Pesa inazunguka humo humo uje useme unakuza uchumi
Unachosema kina mantiki kubwa sana...Infact hizi serikali mbili ya local na central ni replication na hazijajitofautisha katika roles zake kama ilivyopaswa; kisha ina weak link ndiyo maana ile ya central iliyotakiwa iweze kushughulika na policies pekee the Dejure ime nyang'anya roles za ile ya local ambayo ilitakiwa kuwa defacto i.e operational yaani tendaji at production level...Hoja yangu wala sio kufukuza mtu.
Hoja yangu hapa Nani anaesimamia hiyo kujenga uchumi?
Na kama moja ya mambo yalioumiza uchumi ni centralisation why centralisation inaendelea?Nani anaetakiwa kusimamia decentralisation?