Animal Farm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 234
- 281
Afrika tuna majinga sana! Mfano m7!Suala la kujiuzulu kwa viongozi wa Afrika ni gumu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afrika tuna majinga sana! Mfano m7!Suala la kujiuzulu kwa viongozi wa Afrika ni gumu sana.
Sio tu kugombana bali pia kutekana na kuuwana ,hivyo limekufa na hata matarajio yakufufuka hamna.Taifa lenye vijana wanao gombana kutokana na tofauti za vyamavyao vya siasa ni Taifa lililo kufa, kwasababu huo ndio mtaji kwa viongozi wasio wajibika.
"Black people are good for nothing apart from indulging in sex and having so many wives."Kijana wa miaka 25 anakufa bila kuugua Tena kwa uzembe wa kutookolewa
Nimeona jumbe za watu waliopo kwenye vifusi nimelia Sana
Mimi ni mwanaume lakini ukweli nimejaribu kuvaa viatu vya kijana mwenye miaka 25 ana mke na mtoto kamuacha nyumbani au kwa dada mwenye miaka 23 ana mme kamuacha
Unakufa ukiwa unaona inauma Sana
Bora wanaougua tunawauguza na wanakufa
Toka aondoke baba wa Taifa nchi hii haijawai kuwa serious kwenye majanga na vita
Nyerere alituvusha Vita ya kagera na janga la njaa Kali kuwai kutokea
Unajiuliza je kwa sasa nchi ikivamiwa itakuwaje? Uliona tu kashikashi za Mtwara watu walivyokufa!!
Mabomu ya Mbagala, mabomu ya Gongo la mboto watu walivyokufa kama inzi.
Tetemeko la ardhi bukoba, kuanguka kwa ndege bukoba watu walivyokufa kizembe.
Sasa ni mwendelezo huo huo hakuna utawala unajali kuhusu uhai wa raia
Vaa viatu vya kijana anayekufa akiwa na miaka 25 au 28 bila hata kufanya chochote hapa duniani Tena kwa uzembe tu wa watu
Hivi gorofa la 20×20 linafukuliwa kwa zaidi ya masaa 24 na bado linafukuliwa ?
Waziri mkuu hii ni Mara ya ngapi unazengua ?
Waziri mkuu must go pia na Rais lazima aondoke 2025
Hatuwezi kuendelea kuwa na watu ambao hawajui kesho itakuwaje hawana plan zozote za maisha ya watu wao
Ukweli majanga ya Tanzania ni madogo Sana Sana je tungekuwa Kama Japan Hali ingekuwaje?
Mwanaume unaliaje kizembe zembe hivyo acha ujingaTANZANIA YANGU.
JANA NIMELIA MNO, NIMELIA SANA.
Ili kuokoa uhai wa waathirika wa kuangukiwa na ghorofa hapo Kariakoo ni bora kutumia mbinu zinazotumika na Hamas, Hezbollah au Israel kuchimba mtaro kama handaki kuanzia mita kama mia hivi kuelekea kwenye jengo kisha unachomoa wote kupitia tundu la chini badala ya kufukua vifusi wasingetumia zaidi ya saa 24.Kijana wa miaka 25 anakufa bila kuugua Tena kwa uzembe wa kutookolewa
Nimeona jumbe za watu waliopo kwenye vifusi nimelia Sana
Mimi ni mwanaume lakini ukweli nimejaribu kuvaa viatu vya kijana mwenye miaka 25 ana mke na mtoto kamuacha nyumbani au kwa dada mwenye miaka 23 ana mme kamuacha
Unakufa ukiwa unaona inauma Sana
Bora wanaougua tunawauguza na wanakufa
Toka aondoke baba wa Taifa nchi hii haijawai kuwa serious kwenye majanga na vita
Nyerere alituvusha Vita ya kagera na janga la njaa Kali kuwai kutokea
Unajiuliza je kwa sasa nchi ikivamiwa itakuwaje? Uliona tu kashikashi za Mtwara watu walivyokufa!!
Mabomu ya Mbagala, mabomu ya Gongo la mboto watu walivyokufa kama inzi.
Tetemeko la ardhi bukoba, kuanguka kwa ndege bukoba watu walivyokufa kizembe.
Sasa ni mwendelezo huo huo hakuna utawala unajali kuhusu uhai wa raia
Vaa viatu vya kijana anayekufa akiwa na miaka 25 au 28 bila hata kufanya chochote hapa duniani Tena kwa uzembe tu wa watu
Hivi gorofa la 20×20 linafukuliwa kwa zaidi ya masaa 24 na bado linafukuliwa?
Waziri mkuu hii ni Mara ya ngapi unazengua?
Waziri mkuu must go pia na Rais lazima aondoke 2025
Hatuwezi kuendelea kuwa na watu ambao hawajui kesho itakuwaje hawana plan zozote za maisha ya watu wao
Ukweli majanga ya Tanzania ni madogo Sana Sana je tungekuwa Kama Japan Hali ingekuwaje?
Waziri mkuu wa Tanzania hii au nyingine? Wa JMT huwa hasikii neno/ushauri na si mwajibikaji.Kijana wa miaka 25 anakufa bila kuugua Tena kwa uzembe wa kutookolewa
Nimeona jumbe za watu waliopo kwenye vifusi nimelia Sana
Mimi ni mwanaume lakini ukweli nimejaribu kuvaa viatu vya kijana mwenye miaka 25 ana mke na mtoto kamuacha nyumbani au kwa dada mwenye miaka 23 ana mme kamuacha
Unakufa ukiwa unaona inauma Sana
Bora wanaougua tunawauguza na wanakufa
Toka aondoke baba wa Taifa nchi hii haijawai kuwa serious kwenye majanga na vita
Nyerere alituvusha Vita ya kagera na janga la njaa Kali kuwai kutokea
Unajiuliza je kwa sasa nchi ikivamiwa itakuwaje? Uliona tu kashikashi za Mtwara watu walivyokufa!!
Mabomu ya Mbagala, mabomu ya Gongo la mboto watu walivyokufa kama inzi.
Tetemeko la ardhi bukoba, kuanguka kwa ndege bukoba watu walivyokufa kizembe.
Sasa ni mwendelezo huo huo hakuna utawala unajali kuhusu uhai wa raia
Vaa viatu vya kijana anayekufa akiwa na miaka 25 au 28 bila hata kufanya chochote hapa duniani Tena kwa uzembe tu wa watu
Hivi gorofa la 20×20 linafukuliwa kwa zaidi ya masaa 24 na bado linafukuliwa?
Waziri mkuu hii ni Mara ya ngapi unazengua?
Waziri mkuu must go pia na Rais lazima aondoke 2025
Hatuwezi kuendelea kuwa na watu ambao hawajui kesho itakuwaje hawana plan zozote za maisha ya watu wao
Ukweli majanga ya Tanzania ni madogo Sana Sana je tungekuwa Kama Japan Hali ingekuwaje?