Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatakiwa kujiuzulu, kitengo cha majanga kimemshinda

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatakiwa kujiuzulu, kitengo cha majanga kimemshinda

Taifa lenye vijana wanao gombana kutokana na tofauti za vyamavyao vya siasa ni Taifa lililo kufa, kwasababu huo ndio mtaji kwa viongozi wasio wajibika.
Sio tu kugombana bali pia kutekana na kuuwana ,hivyo limekufa na hata matarajio yakufufuka hamna.
 
Kijana wa miaka 25 anakufa bila kuugua Tena kwa uzembe wa kutookolewa

Nimeona jumbe za watu waliopo kwenye vifusi nimelia Sana

Mimi ni mwanaume lakini ukweli nimejaribu kuvaa viatu vya kijana mwenye miaka 25 ana mke na mtoto kamuacha nyumbani au kwa dada mwenye miaka 23 ana mme kamuacha

Unakufa ukiwa unaona inauma Sana

Bora wanaougua tunawauguza na wanakufa

Toka aondoke baba wa Taifa nchi hii haijawai kuwa serious kwenye majanga na vita

Nyerere alituvusha Vita ya kagera na janga la njaa Kali kuwai kutokea

Unajiuliza je kwa sasa nchi ikivamiwa itakuwaje? Uliona tu kashikashi za Mtwara watu walivyokufa!!

Mabomu ya Mbagala, mabomu ya Gongo la mboto watu walivyokufa kama inzi.

Tetemeko la ardhi bukoba, kuanguka kwa ndege bukoba watu walivyokufa kizembe.

Sasa ni mwendelezo huo huo hakuna utawala unajali kuhusu uhai wa raia

Vaa viatu vya kijana anayekufa akiwa na miaka 25 au 28 bila hata kufanya chochote hapa duniani Tena kwa uzembe tu wa watu

Hivi gorofa la 20×20 linafukuliwa kwa zaidi ya masaa 24 na bado linafukuliwa ?

Waziri mkuu hii ni Mara ya ngapi unazengua ?

Waziri mkuu must go pia na Rais lazima aondoke 2025

Hatuwezi kuendelea kuwa na watu ambao hawajui kesho itakuwaje hawana plan zozote za maisha ya watu wao

Ukweli majanga ya Tanzania ni madogo Sana Sana je tungekuwa Kama Japan Hali ingekuwaje?
"Black people are good for nothing apart from indulging in sex and having so many wives."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the apartheid era.
 
Jamani siwezi kujiuzulu kutembea na Ving'ora na kuvaa tai nyeusi mixer kupigiwa saluti za hapa na pale ni maisha matamu sana niacheni jamani niacheni.
 
Nahisi changamoto tulio nayo ni kutokuwepo kwa ERP (EMERGENCY RESPONSE PLAN)

Hakuna set of protocols or procedures that guide people wht to do when a certain incident or accident has occured.
 
Kijana wa miaka 25 anakufa bila kuugua Tena kwa uzembe wa kutookolewa

Nimeona jumbe za watu waliopo kwenye vifusi nimelia Sana

Mimi ni mwanaume lakini ukweli nimejaribu kuvaa viatu vya kijana mwenye miaka 25 ana mke na mtoto kamuacha nyumbani au kwa dada mwenye miaka 23 ana mme kamuacha

Unakufa ukiwa unaona inauma Sana

Bora wanaougua tunawauguza na wanakufa

Toka aondoke baba wa Taifa nchi hii haijawai kuwa serious kwenye majanga na vita

Nyerere alituvusha Vita ya kagera na janga la njaa Kali kuwai kutokea

Unajiuliza je kwa sasa nchi ikivamiwa itakuwaje? Uliona tu kashikashi za Mtwara watu walivyokufa!!

Mabomu ya Mbagala, mabomu ya Gongo la mboto watu walivyokufa kama inzi.

Tetemeko la ardhi bukoba, kuanguka kwa ndege bukoba watu walivyokufa kizembe.

Sasa ni mwendelezo huo huo hakuna utawala unajali kuhusu uhai wa raia

Vaa viatu vya kijana anayekufa akiwa na miaka 25 au 28 bila hata kufanya chochote hapa duniani Tena kwa uzembe tu wa watu

Hivi gorofa la 20×20 linafukuliwa kwa zaidi ya masaa 24 na bado linafukuliwa?

Waziri mkuu hii ni Mara ya ngapi unazengua?

Waziri mkuu must go pia na Rais lazima aondoke 2025

Hatuwezi kuendelea kuwa na watu ambao hawajui kesho itakuwaje hawana plan zozote za maisha ya watu wao

Ukweli majanga ya Tanzania ni madogo Sana Sana je tungekuwa Kama Japan Hali ingekuwaje?
Ili kuokoa uhai wa waathirika wa kuangukiwa na ghorofa hapo Kariakoo ni bora kutumia mbinu zinazotumika na Hamas, Hezbollah au Israel kuchimba mtaro kama handaki kuanzia mita kama mia hivi kuelekea kwenye jengo kisha unachomoa wote kupitia tundu la chini badala ya kufukua vifusi wasingetumia zaidi ya saa 24.

Tanzania wana utaratibu mzuri wa majanga kimaandishi lakini matendo ni hasi (negative)
 

Attachments

Angalia Kwanza stacture ya Jengo husika, Ni Jengo la Ghorofa tatu kila Ghorofa ilikuwa na Frem zake na kila Frem ilikuwa na watu ndani yake wakati Wa Jengo kuanguka.. Sasa ukitoboa chini Sawa utafanikiwa kuokoa baadhi Je, walioko Frem Hadi Frem Kwa kuànzia Ghorofa ya Kwanza Hadi ya 3 unapata nao chini hukohuko? Kuna ambao walifanikiwa kutoka kwenye Frem zao na kukaa kimakundi katikati ya Floor... Msaada Wa haraka kwao ulipaswa kuwa ni Hewa ya oksijeni, glucose na maji wakati jitihada nyinginezo za kiusalama zikiendelea kupangwa taratibu.. Jengo lingekuwa kama ukumbi hivi au godown Sawa mbinu yako ingeweza kutumika...
 
Rescue Route from High Storey Building Basement is Significant for the Modern Residential and Business Construction Infrastructure



How basement is constructed with stability materials​

The top-down technique (top-down) consists of waterproofing step by step following excavation procedures and going down to the final construction.

An operation that therefore proceeds in the opposite way to the traditional bottom-up procedure.

With this technique, the basement floors are built progressively as the excavation is carried out.

The basement floors serve as a sealing system for the perimeter walls of the excavation.

The progressive casting of the slabs allows the excavation to proceed progressively.

The diaphragms make it possible to contain the ground around the excavation by preventing subsidence and provide monitoring of the surrounding water table.

In addition, the diaphragms form the outer walls of what is nothing more than a large (concrete) box in which the actual structure of the underground work will be built.

The top-down technique is often used for deep excavation projects in urban areas.​

In such situations, the designer must consider the needs of the people living and working in the vicinity of the construction site for the entire duration of the work, minimizing the risks of ground movement, dust production and noise.

Typical underground constructions built using the top-down technique are underground stations, tunnels, and underground garages.

The main processing steps of the top-down technique​

  • Creation of reinforced concrete structural diaphragms cast in situ.
  • Creation of the roof slab for the first basement floor
  • Implementation of the first excavation phase
  • Start of construction of the superstructure
  • Creation of the second basement floor slab and start of the second excavation phase.
  • Repeat the same procedure until the desired depth is reached.
  • Construction of the underground slab for the completion of the underground structure
  • The construction of the superstructure will be carried out progressively to the excavation phases.
Advantages of the Top-Down technique​

  • The construction of the superstructure may be carried out prior to the completion of construction. The structures above ground level can be conducted simultaneously with the underground structures. This allows construction time to be minimized.
  • The diaphragms fulfil the dual function of containing the soil surrounding the excavation (preventing subsidence) and monitoring the surrounding water table, in addition to the sealing function with resistance to the loads of the structure.
  • The intermediate floors function as a reinforcing element during excavation operations
  • Vibration-causing operations are excluded, reducing potential risks of ground movement and settlement.
  • Reduces the production of dust and noise and the inconvenience caused by the construction of a large excavation.
  • Impossibility of applying waterproof protection externally
  • Potential risk of infiltration and water penetration near the joints
  • Complicated management of connections between roof, slab, and slab
  • Limited accessibility during excavation operations and in the area where the slab will be built.
Is it possible to overcome these problems and waterproof, with certainty of result, even very deep works?

Yes it is possible, thanks to the use of technologies specifically designed to solve the ‘limits’ of top down, offering a watertightness on a par with a ‘Bottom Up’ intervention. Below is a list of the waterproofing intervention steps to be performed (by experienced and well-trained workers).Basically, the work is conducted in the same way as in a tunnel: the slabs are anchored to the lateral temporary works and become self-supporting without the need for the walls underneath. The rebars are prepared and then bent downwards for the subsequent casting of the walls. After the construction of each slab, the underlying verticals are excavated and cast, and the passages in the slabs themselves are prepared for concrete castings.

Rebars and rebound joints are handled in reverse to the usual way but must still ensure continuity of sealing and between structures.

The continuity of the waterproof surface must also be ensured by passing the waterproof membrane between the heads of the floors and the provisional work, also allowing the holes necessary for the suspension of the floors to be drilled with suitable punctual grouting of the irons.

At the top basement level, the waterproofing basin and the building with its slab foundations and any lift pits are closed. It is, of course, important to follow the fixing and overlapping instructions, using the appropriate tapes, to avoid by-passage of water and/or post-infiltration. On the sides, the waterproofing membrane is turned up and closed with the verticals laid down with the excavations. In the construction of the closing top slab, the drainage must in any case be maintained until the casting is cured, with the consequent need for the passage of the wells in the waterproof covering. Each emunction well must be designed and planned in order to make the work efficient without bringing risk to the site. The sealing of the well-point can be done simply with a bentonite curb laid directly on the waterproof membrane, closing it in on itself. Designing the sealing of these elements also means providing suitable ancillary materials to block water leaks around pipes and callouts. Details make all the difference when battling with capillary pressure.

Once the waterproof membrane has been laid, the reinforcement cages and final castings can also be made directly on the waterproof membrane without any special protection. The mechanical resistance of the membrane is in fact such that it can withstand heavy loads, even punctual ones, without being damaged. Since it is an active material, it is also able to deal independently with any damage and punctures, self-healing and self-sealing.

The difference between top down and bottom-up excavation

Top-down excavation and bottom-up excavation refer to two different approaches used in construction projects, particularly in urban environments or areas with limited space. These methods are employed based on the specific requirements and constraints of a project.

Top-down technology minimizes the depth of excavation at any given time, reducing the impact on the surrounding environment and it is often used in urban areas where space is limited, and construction needs to progress vertically while maintaining street-level access. In The bottom-up technique Excavation work starts at the lowest point of the project, and subsequent construction occurs upwards. This approach allows for the construction of below-ground structures before moving to above-ground levels and simplifies the coordination of below-ground utilities and structures. At the same time requires a robust shoring and support system to prevent soil collapse and maintain the stability of excavated areas.



How to rescue victims in a collapsed building

It is safer to reach entrapped victims from above, although considerations may be given to enter a collapsed area from below (for example: where a roof or floor may have fallen, a basement sidewalk entrance door may allow access to a cellar from which the rescuer can enter the building from the outside, then ascend the building up.

The safest place in a collapsing building

Lower floors may have more substantial structural elements, such as reinforced columns and beams, which can provide additional support during a collapse. Furthermore, being closer to the ground floor can facilitate a quicker evacuation, especially if exits are accessible.

Search and rescue operations.

  • Assessing the situation and determining a safe action plan
  • Locating victims and documenting their location
  • Procedures and methods required to get out the victims.
The main causes for building collapse are:

  • Natural disaster
  • Human caused factor is prevalent for the poor developing countries.
The five weakest links of a building are: windows, roofs, doors, exterior wall systems and HVAC system.

How to act if you are buried under rubble

  1. Remain calm and act in a well-considered way. ...
  2. Move slowly, to avoid disturbing any collapsed material.
  3. Slowly free your hands and legs from the rubble.
  4. If possible, breath through a cloth, to protect your respiratory tract against dust
Mitigation Measures​

  • Use quality materials: Inadequate quality building materials are a leading cause of building collapse.
  • Avoid major alterations: Altering the structure's interior or exterior arrangement can make it more susceptible to damage. For example, removing a supporting beam can be dangerous.
  • Build earthquake-proof: Earthquake-resistant construction can help prevent injuries and fatalities.
  • Perform soil tests: A soil test can help determine if the soil can support the structure.
  • Maintain the building: Regular maintenance can help prolong the life of a building.
  • Involve the government: The government can help prevent building collapse by identifying and prosecuting offenders, and publishing permits and safety testing documents.
  • Educate stakeholders: Emergency management agencies and professional bodies can help prevent building collapse by educating citizens and building developers have emergence escape tunnels.


If a building does collapse, you can try these steps to stay safe:​

  • Cover your head and nose and mouth to avoid inhaling dust through the respiratory duct that may harm your lungs and suppress oxygen supply
  • Conserve your energy
  • Avoid elevators and staircases
  • Call emergency services
  • Analyze the building and look for places people might be trapped
  • Search for survivable void space


NB: Typically, it is rare to find survivors after the fifth to seventh days whereas a man dies first in four or five days followed by a woman who may survive through seven to eight days.
 
Kijana wa miaka 25 anakufa bila kuugua Tena kwa uzembe wa kutookolewa

Nimeona jumbe za watu waliopo kwenye vifusi nimelia Sana

Mimi ni mwanaume lakini ukweli nimejaribu kuvaa viatu vya kijana mwenye miaka 25 ana mke na mtoto kamuacha nyumbani au kwa dada mwenye miaka 23 ana mme kamuacha

Unakufa ukiwa unaona inauma Sana

Bora wanaougua tunawauguza na wanakufa

Toka aondoke baba wa Taifa nchi hii haijawai kuwa serious kwenye majanga na vita

Nyerere alituvusha Vita ya kagera na janga la njaa Kali kuwai kutokea

Unajiuliza je kwa sasa nchi ikivamiwa itakuwaje? Uliona tu kashikashi za Mtwara watu walivyokufa!!

Mabomu ya Mbagala, mabomu ya Gongo la mboto watu walivyokufa kama inzi.

Tetemeko la ardhi bukoba, kuanguka kwa ndege bukoba watu walivyokufa kizembe.

Sasa ni mwendelezo huo huo hakuna utawala unajali kuhusu uhai wa raia

Vaa viatu vya kijana anayekufa akiwa na miaka 25 au 28 bila hata kufanya chochote hapa duniani Tena kwa uzembe tu wa watu

Hivi gorofa la 20×20 linafukuliwa kwa zaidi ya masaa 24 na bado linafukuliwa?

Waziri mkuu hii ni Mara ya ngapi unazengua?

Waziri mkuu must go pia na Rais lazima aondoke 2025

Hatuwezi kuendelea kuwa na watu ambao hawajui kesho itakuwaje hawana plan zozote za maisha ya watu wao

Ukweli majanga ya Tanzania ni madogo Sana Sana je tungekuwa Kama Japan Hali ingekuwaje?
Waziri mkuu wa Tanzania hii au nyingine? Wa JMT huwa hasikii neno/ushauri na si mwajibikaji.
 
Pesa tunazo awamu ya sita hii
Misaada kupitia mtu binafsi wivu tu wa watu jamani..

Nimeandika tu


mil1-tzmsaadatouturuki.jpg

to jamii forums.jpg
 
Back
Top Bottom