Waziri Mkuu Kassim Majaliwa avamia mwendokasi, ahoji mapato yalipo kama wanashindwa kununua mabasi. Mkurugenzi wa fedha atumbuliwa

Ndio mnasema mama aongoze hadi hadi 2035?
 
Kwahiyo hizo shida zimeibuka kipindi cha mwezi mmoja baada ya maghufuli kufa?
 
Hili gonjwa la utumbuaji Jiwe ametuachia janga baya sana.Kwani ni lazima kujipausha kisiasa kutumbua watu,kwanini utawala wa sheria usichukue mkondo wake?
Punda aendi bila mjeledi,ndio tulivyo watanzania kazi yetu majungu, udaku, wivu sio wa maendeleo, husda na maneno mengi utendaji zero.
 
Punda aendi bila mjeledi,ndio tulivyo watanzania kazi yetu majungu, udaku, wivu sio wa maendeleo, husda na maneno mengi utendaji zero.
Wewe unawasema wabunge wakiingizwa na sabufa na wakubwa serikalini wakiongozwa na Tecno kitochi. Sisi wengine hatuko hivyo
 
Sio sana kama hawa private sector lazima kwenye ku procure watakuletea low quality equipments.
Na wanaopitisha hizo low quality equipments ni public servants. Na unaweza kukuta anafanya hivyo kwa sababu faida yote wamechukua public servants wasio waaminifu.

Amandla...
 
Na wanaopitisha hizo low quality equipments ni public servants. Na unaweza kukuta anafanya hivyo kwa sababu faida yote wamechukua public servants wasio waaminifu.

Amandla...
Ila jua hawa private wamezidi
 
Nadhani hili jambo ni lazima tuwe serious serikali imewekeza zama kujenga miundombinu ya mwendokasi hawa wanaondesha lazima wapewe watu wenye nia ya dhati ya kuendesha hii biashara haya mambo ua kupeana wakati hawana weledi hata mtaji ni shida hata SGR leteni kampuni international iendeshe huu mradi msije kurogwa mkawapa walewale waliouwa shirika la reli hawana jipya watauwa na hili.

Hakuna ruzuku toka serikalini yaendeshwe kibiashara na kujitegemea. Hawa wanaagiza magari halafu hawana pesa ya kodi si ukichaa huu.
 
Hii yote ni kwa sababu hatuna mfumo maalumu wa kuendesha nchi,rejea Asskofu Gwajima bungeni last week.

Waziri mkuu anajaribu kufata nyayo za boss wake wa zamani ili kuonyesha watanzania bado wanafanya kazi.

Sikatai ni jambo jema lakini bado tupo nyuma sana sana kama mambo yenyewe ndiyo haya.

Nilitegemea Rais Samia aje na ajenda yake ya kiutendaji kuliko haya mambo ya kujaribu kokopi na kupesti ili kuridhisha wananchi
bado sana.

 
Wewe unawasema wabunge wakiingizwa na sabufa na wakubwa serikalini wakiongozwa na Tecno kitochi. Sisi wengine hatuko hivyo
Umeona sasa!

Ukipelekwa kusimamia UDART au shirika lolote unafikiri utaleta maajabu gani kazi kujadili watu na vitu.
 
Mapato yanakusanywa kama ya Daladala unatarajia Kupata Makusanyo
 
The buses were never and will repeat never imported by a World Bank loans please stop spinning the yarns
 
Umeona sasa!

Ukipelekwa kusimamia UDART au shirika lolote unafikiri utaleta maajabu gani kazi kujadili watu na vitu.
Sina shida ya kuongoza udart or any govt ofis.
Bajaji zangu ninazosimamia zinatosha.
 
Kesho nitapanda Mwendokasi.

Maana Kwa hii Kiki ya Majaliwa leo, lazima kesho watazuga zuga kujifanya wameboresha Huduma.[emoji1787][emoji1787]

Ila Mr. PM usijisahaulishe, bado tunasubiri ufafanuzi Wa maelezo yako uliyotoa kwenye nyumba ya Ibada kumhusu Magufuli huku ukijua fika kuwa hayana ukweli.

Sipendagi kudanganywa Mimi.[emoji1787][emoji1787]
 
Amefanya sahihi. Kuhojo hadharani ni sahihi kabisa ila wananchi wajue kinachoendelea.
Kutumbua ndio inapaswa kufuata taratibu za kiutumishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…