Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mtu muongo sana huyu....na anajua kujikausha kama sio yeye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taarifa iliyotolewa na zuhura ilisema hivyoHuo Mkutano unaosema aliahirisha ulimalizika Desemba 2, yeye akaondoka Desemba 4. Hapo ameahirisha kitu gani Kaka mkubwa?
Basi kafanya kusudiNdio ashindwe hata kutype
Ukiumwa koo kutoboa huwa ni kazi sanaWanasema anaumwa sana koo ila yuko poa
True vya chakula cha mpiraUkiumwa koo kutoboa huwa ni kazi sana
Yeye ndio msemaji wa serekali bungeni na nje ya bunge kwa jambo lolote lile lenye mtanziko hivyo ni jukumu lake kusema. Sio kwamba amejiamuliaHuyu PM naye boya Sana. Si akae kimya, eti yupo nje kimajukumu. Very stupid.
Waliokuwa wanamuombea mabaya yamewashuka sasa.Ukiumwa koo kutoboa huwa ni kazi sana