Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa: Makamu wa Rais, Philip Mpango yuko nje kwa majukumu
Hiyo taarifa katika webiste ni kweli ipo, lakini cha ajabu zaidi ni kwamba kwanini hapo waonyeshe mgeni rasmi ni makamu wa raisi wakati katika website yao hakuna sehemu yoyote mheshimiwa makamu wa raisi akionyeshwa ni mgeni rasmi?

Mbona hapaeleweki!
Nimeingia kwenye website ya TAWIR,taarifa ipo,ila jina la mgrni rasmi,hawajaweka.
 
Yaani huyu huyu alesema magu anachapa kazi yupo ofisini yu buheri wa afya na anatusalimia watz na kwamba rais siyo mtu wa kuzurula kariakoo? Hapa kuna kitu hakipo sawa mi ninachofahamu nikimuona Katelephone anatoa tangazo flani hasa linalohusu uwepo wa kiongozi basi huwa naanza jipanga kisaikolojia
 
Kasim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kuwa Makamu wa Rais Dkt Isdory Mpango ni mzima wa afya na yupo nje ya nchi kimajukumu.

Waziri Mkuu amesema kuwa watanzaia waachane na ule mtandao unaosema maneno ya ajabuajabu na wasiwe wasiwasi wowote Kwa kuwa Makamu wa Rais Dk. Mpango ni mzima na yupo nje ya nchi kimajukumu. Hata hivyo hajataja nchi ambako Makamu wa kaenda, na jukumu hilo linahisu nini.

Waziri Mkuu ameyasema hayo alipokuwa Dodoma akiongea na wadau waliohudhuria kwenye maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya watu wenye Ulemavu Duniani.

"Vilevile Makamu wa Rais Dk. Isdory Mpango ambaye pia naye yuko nje kimajuku, achana na ule mtandao unaosemasema mambo ya ajabu ajabu, yupo nje kimajukumu, anawatakiwa kila la kheri watu wote ambao mmeshiriki hapa leo kwenye haya maadhimisho ya kitaifa anawaombea sana, anawatakia kila la kheri".

Tuone kama atafungua huu Mkutano wa Tawiri au atawakilishwa.

View: https://twitter.com/TanzaniaDigest/status/1732090976682836013?t=6fWRhXY8psaWsD1gfxrWEQ&s=19
 
Kasim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kuwa Makamu wa Rais Dkt Isdory Mpango ni mzima wa afya na yupo nje ya nchi kimajukumu.

Waziri Mkuu amesema kuwa watanzaia waachane na ule mtandao unaosema maneno ya ajabuajabu na wasiwe wasiwasi wowote Kwa kuwa Makamu wa Rais Dk. Mpango ni mzima na yupo nje ya nchi kimajukumu. Hata hivyo hajataja nchi ambako Makamu wa kaenda, na jukumu hilo linahisu nini.

Waziri Mkuu ameyasema hayo alipokuwa Dodoma akiongea na wadau waliohudhuria kwenye maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya watu wenye Ulemavu Duniani.

"Vilevile Makamu wa Rais Dk. Isdory Mpango ambaye pia naye yuko nje kimajuku, achana na ule mtandao unaosemasema mambo ya ajabu ajabu, yupo nje kimajukumu, anawatakiwa kila la kheri watu wote ambao mmeshiriki hapa leo kwenye haya maadhimisho ya kitaifa anawaombea sana, anawatakia kila la kheri".

Pm angekuwa anakumbuka hili angemuachia msemaji wa serikali. Hata shingo haijakatika ya Magufuli alisema hayahaya tena msikitini, leo tena narudia hata kama nikweli asingsema yeye hataaminika
 
Back
Top Bottom