georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,118
- 1,875
Wajameni, Hiki kiswaswandu mtakiua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajameni, Hiki kiswaswandu mtakiua
Hata Jakaya ni mstaafu ila huwa hamalizi wiki bila kukatiza border to border 😂Mzee mwinyi si alishastaafu kaka....[emoji3][emoji3]
Asante mkuu.......Una ufala mwingi Kama pacome
Nimeingia kwenye website ya TAWIR,taarifa ipo,ila jina la mgrni rasmi,hawajaweka.Hiyo taarifa katika webiste ni kweli ipo, lakini cha ajabu zaidi ni kwamba kwanini hapo waonyeshe mgeni rasmi ni makamu wa raisi wakati katika website yao hakuna sehemu yoyote mheshimiwa makamu wa raisi akionyeshwa ni mgeni rasmi?
Mbona hapaeleweki!
Maybe asking about him.Tujifunze kiingereza kidogo (wala usichukie ni kujifunza).
Hivi huwa ni Every one is asking him or Every one is asking for him?
Ndio kitu kinanichanganya na mimi.Nimeingia kwenye website ya TAWIR,taarifa ipo,ila jina la mgrni rasmi,hawajaweka.
Wala msichanganyikiwe. VP yupo na hana tatizo lolote. Jana nilikuwa naye Ritz Carlton hotel New York, tukila kivunde kwa migebuka ya kuchoma.Ndio kitu kinanichanganya na mimi.
Tuone kama atafungua huu Mkutano wa Tawiri au atawakilishwa.Kasim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kuwa Makamu wa Rais Dkt Isdory Mpango ni mzima wa afya na yupo nje ya nchi kimajukumu.
Waziri Mkuu amesema kuwa watanzaia waachane na ule mtandao unaosema maneno ya ajabuajabu na wasiwe wasiwasi wowote Kwa kuwa Makamu wa Rais Dk. Mpango ni mzima na yupo nje ya nchi kimajukumu. Hata hivyo hajataja nchi ambako Makamu wa kaenda, na jukumu hilo linahisu nini.
Waziri Mkuu ameyasema hayo alipokuwa Dodoma akiongea na wadau waliohudhuria kwenye maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya watu wenye Ulemavu Duniani.
"Vilevile Makamu wa Rais Dk. Isdory Mpango ambaye pia naye yuko nje kimajuku, achana na ule mtandao unaosemasema mambo ya ajabu ajabu, yupo nje kimajukumu, anawatakiwa kila la kheri watu wote ambao mmeshiriki hapa leo kwenye haya maadhimisho ya kitaifa anawaombea sana, anawatakia kila la kheri".
Wote mnaonisikiliza ni Mambuzi,..😂😂😂Kuumwa nalo ni jambo la kuficha? Huyu PM wenu nadhani mnamkumbuka Yale ya Mwendazake.
Si ajabu huyu ni wale Viongozi mambuzi 😂😂
View attachment 2832694
Hata vidole havifanani mkuuKaacha amana, Mwananyamala hospital, Mbagala Hospital anaenda huko nje? Sisi tunaotibiwa nchini wanatuonaje?
Pm angekuwa anakumbuka hili angemuachia msemaji wa serikali. Hata shingo haijakatika ya Magufuli alisema hayahaya tena msikitini, leo tena narudia hata kama nikweli asingsema yeye hataaminikaKasim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kuwa Makamu wa Rais Dkt Isdory Mpango ni mzima wa afya na yupo nje ya nchi kimajukumu.
Waziri Mkuu amesema kuwa watanzaia waachane na ule mtandao unaosema maneno ya ajabuajabu na wasiwe wasiwasi wowote Kwa kuwa Makamu wa Rais Dk. Mpango ni mzima na yupo nje ya nchi kimajukumu. Hata hivyo hajataja nchi ambako Makamu wa kaenda, na jukumu hilo linahisu nini.
Waziri Mkuu ameyasema hayo alipokuwa Dodoma akiongea na wadau waliohudhuria kwenye maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya watu wenye Ulemavu Duniani.
"Vilevile Makamu wa Rais Dk. Isdory Mpango ambaye pia naye yuko nje kimajuku, achana na ule mtandao unaosemasema mambo ya ajabu ajabu, yupo nje kimajukumu, anawatakiwa kila la kheri watu wote ambao mmeshiriki hapa leo kwenye haya maadhimisho ya kitaifa anawaombea sana, anawatakia kila la kheri".