Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

Unajitoa ufahamu siyo? Rais ni mgonjwa. Ameponea chupuchupu. Japo yuko Dar lakini bado hali yake haijawa nzuri. Wanavuta muda ili akiwa vizuri ndiyo ajitokeze. Masuala ya kupelekwa Nairobi na India ilikuwa geresha ili story yote ya kusema Magufuli ni mgonjwa ionekane ni uzushi. Najua unajua lakini unajitoa ufahamu.
Hilo zee siku hizi limekuwa tahira kabisa
 
Raisi John Joseph Pombe Magufuli piga kazi kuwaletea na kuwajengea misingi imara ya kimaendeleo Watanzania nilichogundua Watanzania wanampenda sana raisi wao kiasi cha kutokumuona wala kumsikia ndani ya wiki kila mmoja amekuwa hana raha kwa kuwa wameshazoea kumsikia akiwapa maagizo wateule wake na kutatua kero za wananchi.

Kwa dalili hizi ni kipimo cha mapenzi kilichopitiliza najua wenye account fake wakiwa peke yao au kwenye vikao vyao wanazungumzia muziki mnene wa mtetezi wa wanyonge.

Tuendelee kumuombea kwa Mungu raisi wetu azidi kuwa na afya njema na amuepushe na wenye husuda na roho mbaya ili aweze kutekeleza yale yote aliyo ahidi kipindi cha kampeni kupitia ilani ya Chama cha Mapinduzi.

Raisi wetu wananchi wamekumiss na wanakupenda sana muda utakaonekana ama hakika watashangilia kama kumefungwa goli uwanja wa taifa!

Hapa kazi tu, tusisahau kufuata muongozo wa wataalamu wa afya covid ipo!
Leo kwa mara ya kwanza nimeupenda mchango wako,jitahidi zaidi,you are on the right track
 
Akiongea na wasafi mkuu wa mkoa wa mbeya Albert chalamila amewatoa hofu wana mbeya kuwa mh. Rais yupo poa name anaendelea kupiga kazi kama kawaida na kuwata wana mbeya kuuza habari za waongo na wachawi.

'unavumisha msiba wa rais wewe utakuwa huna akili sawasawa na una roho ya kichawi' amesema mkuu wa mkoa wa mbeya

My take

Kuna watu watakimbia mitandao Leo.


USSR
 
Unajitoa ufahamu siyo? Rais ni mgonjwa. Ameponea chupuchupu. Japo yuko Dar lakini bado hali yake haijawa nzuri. Wanavuta muda ili akiwa vizuri ndiyo ajitokeze. Masuala ya kupelekwa Nairobi na India ilikuwa geresha ili story yote ya kusema Magufuli ni mgonjwa ionekane ni uzushi. Najua unajua lakini unajitoa ufahamu.
Sasa ni kwanini Lissu aingizwe Choo cha kike na Makachero?
 
Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa, amewataka watanzania wawapuuze Wapotoshaji wa mitandaoni wanaotaka kuleta taharuki juu ya Afya ya Rais Magufuli "Rais ana shughuli nyingi, Wanataka atoke aende wapi, Kariakoo au Magomeni tangu lini?".....
Anasalimu kutoka Ghambosh ama wapi?
 
Nimeshangaa tu eti Shekhe wa Mkoa ndiye anaulizwa kuwa uchumi umepanda.

Hawa Viongozi wetu wanashindwa kutumia mimbari ya kisiasa wahutumie Taifa wajibu na maswali ya waandishi wanakimbilia kwenye dini.
 
Kwani wewe hapo unafanya nini wewe zwizwi wa Ufipa!??? Tulia kama mate yamekuisha, sawa!??? Uongo wenu lazima sasa muumeze wenyewe.
Kwani ni lazima niwe 'ufipa' kutumia akili zangu.

Hili ndilo linalokufanya uwe kama kituko kwa kushabikia matukio kwa kujiona upo huko CCM au kumshabikia mtu mpaka unapoteza fahamu kabisa?
 
Hao DW mmeacha kuwaita mabeberu?

By the way wewe ndio utakua na matakataka kichwani maana Mnasema watu waache uzushi halafu toilet paper za Musiba ndio zinaandikwa uzushi! Bure kabisa nyinyi
 
Kuna mzingira ya kufanya hivyo,ila mazingira ya sasa ndiyo yamelazimisha kinachofanyika sasa kifanyike,kwa kweli sitaweza kuvumilia kumuona Rais wetu akidhalikishwa kwa dhalili ya Heshima kama aliyofanyiwa waziri Mpango.

Sitakubali japo naweza nikawa kimya, sitamani kumwona rais magufuli akiwa mbele ya makamera huku anatetemeka na kushindwa kuongea vyema,wakiamua kumleta mbele ya kamera basi waje naye akiwa kama alivyoondoka,akiwa na afya kamili na si just uhai, mheshimiwa mpango alinifikirisha sana siku ile, alidhalilishwa kiheshima.
 
Nimesikia anasema anaendelea vinzuri, alikuwa anaumwa?

Hata mie nimeichezesha sana / rewind clip ya video kuanzia dakika 1":28 mpaka Dakika 1" :38 kusikia maneno hayo na ishara ya mkono wa waziri Mkuu akionesha kuwa anaendelea vizuri ingawa mimi lugha hiyo ya alama ya waziri Mkuu ni kama anasema "anatembea vizuri" au "anajisukuma vizuri" n.k

Hapo baada ya kuchezesha eneo hilo la clip ya video nimeshindwa kuelewa na kuona kuendelea vizuri ni alikuwa "anaumwa" sasa anatembea , kujikongoja vizuri n.k

Nadhani na wengine pia watakuwa wameelewa hivyo maneno na lugha ya alama / coded ya Waziri Mkuu.
 
Sasa ni kwanini Lissu aingizwe Choo cha kike na Makachero?
Ndiyo. Ametumika Lissu ili habari iaminiwe na watu wengi. Na hata Gazeti la Daily Nation limetumiwa ili kuipa habari ''credibility''. Lengo kubwa likiwa ni ku-netralize habari ya ukweli ya Magufuli kuugua. Kuna wanao-suggest kuwa hii ilikuwa security operation ya kutaka kuwatambua wanaovujishi siri za ndani za Ikulu. Hili zilikubali.
 
Back
Top Bottom