Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Hata mimi nawaza hivi, siku mkiambiwa chuma kinaumwa mjue chuma kimeshang'oka.Angempigia Hapo hapo kumjulia hali. Mbona kwenye kampeni walikuwa wakiongea mubashara.
Kauli ya leo imetoa taarifa Rais anaumwa. Siku wakija kusema anaumwa tujue kuwa atakuwa amefariki.