Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

Angempigia Hapo hapo kumjulia hali. Mbona kwenye kampeni walikuwa wakiongea mubashara.
Kauli ya leo imetoa taarifa Rais anaumwa. Siku wakija kusema anaumwa tujue kuwa atakuwa amefariki.
Hata mimi nawaza hivi, siku mkiambiwa chuma kinaumwa mjue chuma kimeshang'oka.
 
Irresponsible tu,huu uvumi ulipaswa jibiwa toka ulipoanza,mpaka DGIS Mstaafu kaanzisha huko 🇳🇦 ndio wengine wamefata,tena leo.,na wamejibu leo wakijua kuna siku 2 za kuby time,kesho na kesho kutwa,jumatatu linaandaliwa MOVIE Jingine
Yaani Kama wote wamepigwa ganzi,ndipo mtu unapata maswali meeeengi Kama NCHI INAONGOZWA NA NANI SASA??
 
Kafa mfalme wa wazuru seuze superman
Ana nyota ya maiti ipo siku mkeka utatiki.
 
Mjomba wangu ni afisa kipenyo mwandamizi kuna jambo zito kaniambia.

Waziri mkuu kama anabisha amwambie Magufuli anyooshe kidole juu ama afanye kama anajikuna halafu apigwe picha.
Heee Bhwanaah!
Waziri Mkuu hawezi kufanya hivyo kwa sababu hana ujasiri wa kufanya hivyo!
 
Unajitoa ufahamu siyo? Rais ni mgonjwa. Ameponea chupuchupu. Japo yuko Dar lakini bado hali yake haijawa nzuri. Wanavuta muda ili akiwa vizuri ndiyo ajitokeze. Masuala ya kupelekwa Nairobi na India ilikuwa geresha ili story yote ya kusema Magufuli ni mgonjwa ionekane ni uzushi. Najua unajua lakini unajitoa ufahamu.
 
Watue wenye nia ovu, husuda, chuki binafsi, tamaa ya madaraka


Hata hivyo hilo genge lao limenasa vizuri na kwa sasa washughulikiwe popote walipo haijalishi wako wapi maana matendo waliyotenda ni sawa na uhaini. This time around we are confidently stringent action will be fully exrcised according to the laws.

Mmenasika kwenye mtego kiulaini bila hata ya kutumia nguvu zozote za misuli kama nyumbu wanavyojipeleka kwenye hatari wenyewe. bila kutumi akili ya kishushushu halisi. [You have been web trapped, whereby every provocative touts with ghost ID, the true identity has been entirely exposed the traitors and mercenaries shall regret to abyss for escalating the none existent rumoured event]

Do not ever proud yourself that you have someone prominent with access to state administration confidently hoping whatever is shared to you is credible, reliable and authoritative to come out public spewing disgrace provocations without being intelligently cautious citing unsubstantiated information. You have lost dignity, credit and moral ethics to be trusted by the community today and forever.

Poor haters are now main figuring out how to slip out of the blame.
 
Mimi hata siangalii hili jambo kama la kusutana.

Ninaliangalia hivi.

1. Katiba ya Tanzania inasema wananchi wana haki ya kupewa habari za muhimu kuhusu maendeleo ya nchi....
Hii Serikali ya mafisi wa Lumumba ni shidaaaa..!!!

Sijui kinachofichwa ni nini!! Tatixo kubwa lililopo ni kwamba huu Utawala wa Jiwe haungalii Katiba wala Sheria. Jiiwe ndo amekuwa kila kitu: Katiba ni yeye, Serikali ni yeye, Mahakama ni yeye na Bunge ni yeye.....!!!?He's a very funny president ever!!
 
Ila kwa uhalisia kama Rais angekuwa katika hali kama hiyo inayosemwa ni dhahiri kungekuwa na taharuki na isingewezekana kamwe kwa waziri Mkuu kuendelea na ziara kama hizo.

I BET THE PRESIDENT IS FULLY FIT AND FINE
Kabisa mkuu,ile habari niliipuuza mapema asubuhi tu,kwanza mtu yupo ulaya halafu anasema rais wa tanzania haonekani,ki vipi? Pumbavu kabisa lissu
 
Uvumi umeuanzisha wewe halafu unataka Rais aache majukumu yake aje ayakanushe? Wewe ni bure na robo ^tar-two¡^
Unahangaika mno!

Hivi hata hujistukii kuwa unageuka kuwa zwazwa?

Tulia sasa, Waziri Mkuu shakuonyesha alipo Rais, nini kinakutia kiherehere mpaka usitulie?
 
Back
Top Bottom