Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

Hilo zee siku hizi limekuwa tahira kabisa
 
Leo kwa mara ya kwanza nimeupenda mchango wako,jitahidi zaidi,you are on the right track
 
Akiongea na wasafi mkuu wa mkoa wa mbeya Albert chalamila amewatoa hofu wana mbeya kuwa mh. Rais yupo poa name anaendelea kupiga kazi kama kawaida na kuwata wana mbeya kuuza habari za waongo na wachawi.

'unavumisha msiba wa rais wewe utakuwa huna akili sawasawa na una roho ya kichawi' amesema mkuu wa mkoa wa mbeya

My take

Kuna watu watakimbia mitandao Leo.


USSR
 
Sasa ni kwanini Lissu aingizwe Choo cha kike na Makachero?
 
Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa, amewataka watanzania wawapuuze Wapotoshaji wa mitandaoni wanaotaka kuleta taharuki juu ya Afya ya Rais Magufuli "Rais ana shughuli nyingi, Wanataka atoke aende wapi, Kariakoo au Magomeni tangu lini?".....
Anasalimu kutoka Ghambosh ama wapi?
 
Nimeshangaa tu eti Shekhe wa Mkoa ndiye anaulizwa kuwa uchumi umepanda.

Hawa Viongozi wetu wanashindwa kutumia mimbari ya kisiasa wahutumie Taifa wajibu na maswali ya waandishi wanakimbilia kwenye dini.
 
Kwani wewe hapo unafanya nini wewe zwizwi wa Ufipa!??? Tulia kama mate yamekuisha, sawa!??? Uongo wenu lazima sasa muumeze wenyewe.
Kwani ni lazima niwe 'ufipa' kutumia akili zangu.

Hili ndilo linalokufanya uwe kama kituko kwa kushabikia matukio kwa kujiona upo huko CCM au kumshabikia mtu mpaka unapoteza fahamu kabisa?
 
Hao DW mmeacha kuwaita mabeberu?

By the way wewe ndio utakua na matakataka kichwani maana Mnasema watu waache uzushi halafu toilet paper za Musiba ndio zinaandikwa uzushi! Bure kabisa nyinyi
 
Kuna mzingira ya kufanya hivyo,ila mazingira ya sasa ndiyo yamelazimisha kinachofanyika sasa kifanyike,kwa kweli sitaweza kuvumilia kumuona Rais wetu akidhalikishwa kwa dhalili ya Heshima kama aliyofanyiwa waziri Mpango.

Sitakubali japo naweza nikawa kimya, sitamani kumwona rais magufuli akiwa mbele ya makamera huku anatetemeka na kushindwa kuongea vyema,wakiamua kumleta mbele ya kamera basi waje naye akiwa kama alivyoondoka,akiwa na afya kamili na si just uhai, mheshimiwa mpango alinifikirisha sana siku ile, alidhalilishwa kiheshima.
 
Nimesikia anasema anaendelea vinzuri, alikuwa anaumwa?

Hata mie nimeichezesha sana / rewind clip ya video kuanzia dakika 1":28 mpaka Dakika 1" :38 kusikia maneno hayo na ishara ya mkono wa waziri Mkuu akionesha kuwa anaendelea vizuri ingawa mimi lugha hiyo ya alama ya waziri Mkuu ni kama anasema "anatembea vizuri" au "anajisukuma vizuri" n.k

Hapo baada ya kuchezesha eneo hilo la clip ya video nimeshindwa kuelewa na kuona kuendelea vizuri ni alikuwa "anaumwa" sasa anatembea , kujikongoja vizuri n.k

Nadhani na wengine pia watakuwa wameelewa hivyo maneno na lugha ya alama / coded ya Waziri Mkuu.
 
Sasa ni kwanini Lissu aingizwe Choo cha kike na Makachero?
Ndiyo. Ametumika Lissu ili habari iaminiwe na watu wengi. Na hata Gazeti la Daily Nation limetumiwa ili kuipa habari ''credibility''. Lengo kubwa likiwa ni ku-netralize habari ya ukweli ya Magufuli kuugua. Kuna wanao-suggest kuwa hii ilikuwa security operation ya kutaka kuwatambua wanaovujishi siri za ndani za Ikulu. Hili zilikubali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…