Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

Hata kama majaliwa alitaka kutuondolea hofu. but thatkind of lie was too much. Haya Sasa rumors has it he has passed away. How is going to stand before us? Does he have any expectations that people will believe anything coming from his mouth again?
Ni uongo tu.
 
Hata kama majaliwa alitaka kutuondolea hofu. but thatkind of lie was too much. Haya Sasa rumors has it he has passed away. How is going to stand before us? Does he have any expectations that people will believe anything coming from his mouth again?
Unawaza kama Mimi, yaani hili likitokea kweli PM atakuwa katika nafasi gani?
Siombei yatokee lakini PM kajiweka kwenye nafasi mbaya sana, labda kama ni kinyume chake.
 
For sure I don't understand what is wrong in this government
Imagine DC chalamilla made the same statement, few hours later Ambassador Kipilimba and later Majaliwa
What were they trying to prove to us?

Why telling lies at first place. they could have kept quite as they were.
Off course.
 
Mabibi na mabwana hakuna kilichokuwa bora kuliko ukweli. Pia ni sahihi kuwa hakuna kilichokuwa fyongo kama uongo.

Kama mtu mzima haipendezi hata kidogo kuwa mwongo kama isivyopendeza kudanganywa.

Tufike mahali kila mtu na awajibishwe sawia na kauli zake bila ya kujali wala kuangalia makunyanzi yake.

Haipo sababu yoyote nzuri ya kuwa mwongo. Uongo hauna nafasi popote pale.

Hatuwezi kuendelea kuwa watu wa kudanganyana au kupotoshana kama watoto wadogo hadi Yesu Kristo atakapo rudi.

Hivi ile miiko ya kuwa: "nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko" aliondoka nayo Mwalimu (rip).

Tuwe tayari kumwajibisha yeyote kwa uongo wake siku yoyote huo ukibainika.

Miiko huzingatiwa.

Ninawasilisha
Jana nimeshangaa waziri mkuu anajiuliza kwanini watu wamtakie mtu kifo anasahau kwamba boss wake ni master kwenye field ya kutaka wengine wafe.
 
Unawaza kama Mimi, yaani hili likitokea kweli PM atakuwa katika nafasi gani?
Siombei yatokee lakini PM kajiweka kwenye nafasi mbaya sana, labda kama ni kinyume chake.
[emoji16][emoji16][emoji16]nyie watu mmeoza vichwa.

wa kuwa kwenye hali mbaya jpm tena!!!sio nyinyi wazushi??
mwenzako mletamada kinachomuuma ni hicho,kwamba sasa itakuwaje kama ni mzima wa afya??
 
[emoji16][emoji16][emoji16]nyie watu mmeoza vichwa.

wa kuwa kwenye hali mbaya jpm tena!!!sio nyinyi wazushi??
mwenzako mletamada kinachomuuma ni hicho,kwamba sasa itakuwaje kama ni mzima wa afya??
Sawa wewe mwenye kichwa kizima, lakini nakwambia dhahiri shahiri, Mungu hadhihakiwi.
 
For sure I don't understand what is wrong in this government
Imagine DC chalamilla made the same statement, few hours later Ambassador Kipilimba and later Majaliwa
What were they trying to prove to us?

Why telling lies at first place. they could have kept quite as they were.
Teacher ni wewe?
Uliadimika jaman
 
kumzushia mtu kifo sio dhihaka tu kwa Mungu,ni kukataa kabisa uwepo wake.
Mimi siko kwenye kuzusha, na kamwe sijawahi kumuombea yeyote mabaya. Hata mlipompiga risasi LISSU nilikuwa wa kwanza kuwakemea maana nilijua mnapanda mbegu mbaya sana nchini. Ninachosema na bado nakisimamia kuna vitu vya kuweka siri na visivyopaswa kuwekwa siri maana likija tofauti linakuwa na madhara makubwa kwa mficha siri.
 
Mimi siko kwenye kuzusha, na kamwe sijawahi kumuombea yeyote mabaya. Hata mlipompiga risasi LISSU nilikuwa wa kwanza kuwakemea maana nilijua mnapanda mbegu mbaya sana nchini. Ninachosema na bado nakisimamia kuna vitu vya kuweka siri na visivyopaswa kuwekwa siri maana likija tofauti linakuwa na madhara makubwa kwa mficha siri.
uzushi pia ni jambo baya sana,hudhalilisha watu na kuwakosea wengine uaminifu.

kama umekuwa mtulivu,leo wanazusha amefia dsm wakati walisema amepelekwa india.

all in all Mungu ndiye anaona ulicho nacho moyoni.
 
uzushi pia ni jambo baya sana,hudhalilisha watu na kuwakosea wengine uaminifu.

kama umekuwa mtulivu,leo wanazusha amefia dsm wakati walisema amepelekwa india.

all in all Mungu ndiye anaona ulicho nacho moyoni.
Nimekuwa nikisema mara kwa mara, upande unaotawala unaigawa nchi. Na bado nitasimama ni hoja yengu, Haki isiposimama katika nchi chuki hutamalaki. Huwezi kujenga nchi huku wananchi wamegawanywa kiasi hiki na uhasama ndio ibada yao.
 
Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa, amewataka watanzania wawapuuze Wapotoshaji wa mitandaoni wanaotaka kuleta taharuki juu ya Afya ya Rais Magufuli "Rais ana shughuli nyingi, Wanataka atoke aende wapi, Kariakoo au Magomeni tangu lini?"

Leo asubuhi wakati nakuja huku nimeongea nae kwa simu na ameniagiza niwaambie wana Njombe kuwa anawapenda sana na anawashukuru sana kwa kura nyingi mlizompigia

Kuna wenzetu hawaishi hapa nchini, wao kazi yao ni kutuombea mabaya tu, kupandikiza chuki tu. Sasa unamuombea mwenzako kufa hiyo ni akili kweli?. Nawatoa hofu watanzania, Rais wenu yuko imara anafanya kazi zake kama kawaida za ofisini

Tuhakikishe tunamuabudu Mungu, tunamuomba Mungu katika kila jambo, tunamtegemea Mungu katika kila jambo, hata asubuhi nilivyokuwa natoka Dodoma nimempigia kumjulisha ratiba yangu, hata juzi alikuwa anajua ninakuja akanituma, wasalimie wana Njombe na nilitoa Salam.

Naomba nirudie, kwa salam alizotupa leo kweli wana Njombe, mheshimiwa Rais anawasalimia sana wana Njombe, mheshimiwa Rais anawashukuru wana Njombe.

Rais angetoka tu ofisini kwake kwa break ya dakika 5 tumuone ili tumalize hizi rumours. Kwani akitoka nje dakika tano tu za pumziko kutoka kazi itagharimu kiasi gani?
 
Back
Top Bottom