Amen 🙏Kifo unachomuombea mwenzio chaweza kukurudia mwenyewe
Maendeleo hayana vyama
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Rais wetu John Pombe Joseph Magufuli [emoji173][emoji1241][emoji106][emoji111][emoji120]
Achana na Rais wetu hangaika na Rais wako wa Kenya Uhuru.Magufuli ni mzima, ia anaumwa. Ingekuwa busara Wananchi wafahamishwe. Haya yote yasingetokea.
Achana na Rais wetu hangaika na Rais wako wa Kenya Uhuru.
Wewe ni mgeni hapa Tanzania, wakati Kabudi anamfananisha na Mungu na yeye hakukemea hio hukuwepo,bila kusahau Lugola akimuita Yesu je?muendelezo wa hallucination zako.
kwamba amekuwa Mungu tena.
Who alleges must prove ...Thibitisha kuwa hayupo kitandani
Na atakuwa na anafaaZamani nilidhani anafaa kuwa ni mbadala lakini ameprove mwenyewe kuwa hafai mara nyingi sana.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Itakuwa another big mistake.Na atakuwa na anafaa
Angeanza na Shangazi zake siyo neno dogo lile lazima lipo moyoni muda utajibuUngejua usivyopendwa na huyo unayemsemea hungenyanyua mdomo. Uliponea kwenye tundu la sindano kutumbuliwa ujue!
[emoji16][emoji16]Kesho aje Dodoma amalizie kiporo chake cha tar 8/3 sie wajeda tunataka nyota zetu.
Atambe [emoji16][emoji16][emoji16]
Simba ni mkali sana kama ana mtoto mdogo (ndama ukipenda !!)Kilichonishangaza ni kwamba Watu wote waliokanusha wanatumia Nguvu nyingi, wanafoka mno na kuwa Wakali na Vitisho juu hali ambayo inatufanya wenye Akili tuamini kuwa hali ni mbaya kwa Mpendwa wetu.
Una uhakika?..tuhakikishie ukiwa kama msomiApige kazi [emoji16][emoji16][emoji16]labda akapige kazi kuzimu huko na malaika wenzake
Tangu waziri mkuu aliposema neno kuhusu hizi tetesi, Lissu kimyaa utafikiri hazungumzagi, kulikoni??Lissu hajaingizwa chaka Mzee, Lissu kahoji yu wapi jiwe?
Kwamba hajaonekana 2 weeks. Na leo ni wiki ya tatu.
AJe wewe umemuona Rais?id!