Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

FB_IMG_15880164558714603.jpg
 
Binafsi sikumuelewa Majaaliwa wa jana, sura matendo na kauli zake hazikuwa na ushirikiano ila inawezekana hali hiyo ilisababishwa na kujibizana na mitandao, tusubiri tuipe muda nafasi.
 
Kama ni mzima asitoke aongee tu? Shida nini? Huwa mnasema Maghu ni Raisi wa wanyonge, sasa wanyonge wakitaka kujua kipenzi chao kiko wapi, mnajisikia vibaya, hii ajabu sana, kama jitu limezidiwa semeni tu!
 
Hivi wewe unaelewa mjadala unahusu nini? Rais kupotea kwa wiki mbili ni jambo la kawaida? Tumia common sense hata kama ni ushabiki. Kitendo cha rais kutoonekana kwa wiki mbili hata kama ni mzima na anafanya kazi kinaonyesha utawala huu ulivyojaa watu wa hovyo
Kiduku alipotea miezi tisa, umesahau!??? People wakasema -- kama kawaida yao -- his sister ndiye yuko in charge. But where!???
 
Back
Top Bottom