Mwamba 777
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 2,055
- 3,535
Aliwachukulia mlivyo kwasababu waTZ wanaelewa uongo kuliko ukweli.Ila Kassim alituchukuliaje Watz?
Una akili za kishamba sana..Rais wa Chad aliuwawa kwenye vita na waasi na muda huohuo wakatangazakama unaakili vizuri hebu tueleze ni nchi gani kiongozi wao akiwa madarakani alishawahi kufariki dakika mbili wakatangaza? juwa yule ni kiongozi wa nchi siyo kiongozi wa kundi la wavuta bange anaongoza watu wa aina tofauti tofauti we huoni ilivyotangazwa chadema wakaanza kufanya sherehe? ila sasa hivi wanalia kuliko hata angekuwepo
halafu kaongopa kwenye nyumba ya Mungu, kanyooka na kanzu nyeupe na barakhashia ndefuHivi nchi hii kuna kiongozi muongo zaidi ya Ndugu Kasimu ?
Pole sana mkuuAsante Mungu mtukufu, serikali imeshasema sasa endeleeni kuongea upuuzi wenu, watu wanaoliombea mabaya taifa letu Mungu awasamehe
Huyu waziri ametudanganya sana na bado anaendeleaBinafsi, anayesema Rais anaumwa na anayesema Rais ni mzima, Kwa kipindi hiki na kipindi chochote, kama hatumwoni hadharani, hawana tofauti ... wote wanazusha tu...
Ingekuwa BAKWATA ni Imara huyu angepigwa marufuku kukanyaga msikiti wowote Tanzaniahalafu kaongopa kwenye nyumba ya Mungu, kanyooka na kanzu nyeupe na barakhashia ndefu
nini kilimtuma akatoe makaripio ya kufeki msikitini, of all the places ?????
Hawezi fanya hivyo huyo. Lakini tunaishukuru teknolojia haya maneno yake yataendelea kuwepo kama kumbukumbu kwa vizazi vijavyo ikiwemo na wajukuu na vitukuu vyake mwenyewe waje wajonee aina ya viongozi tumewahi kuwa nao kutoka CCM.Hivi huyu jamaa aliwahi kuomba radhi kwa uongo wake huu ?
Duh!Mjomba wangu ni afisa kipenyo mwandamizi kuna jambo zito kaniambia.
Waziri mkuu kama anabisha amwambie Magufuli anyooshe kidole juu ama afanye kama anajikuna halafu apigwe picha.
AMEENAsante Mungu mtukufu, serikali imeshasema sasa endeleeni kuongea upuuzi wenu, watu wanaoliombea mabaya taifa letu Mungu awasamehe