Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,129
- 7,321
Taarifa hizi zilinipumbaza nikadhani zilikuwa sahihi; na hivyo nikawa namuombea JPM (RIP) kwa kiwango cha kawaida tu kama ambavyo nilikuwa namuombea siku zote.
Ningepata taarifa sahihi, ningepiga maombi katika namna ambayo sina uhakika sana kama JPM asingekuwepo leo!
Brain yangu ilishindwa kabisa kurekodi kwenye registry yake, tukio la msiba huu!
Ningepata taarifa sahihi, ningepiga maombi katika namna ambayo sina uhakika sana kama JPM asingekuwepo leo!
Brain yangu ilishindwa kabisa kurekodi kwenye registry yake, tukio la msiba huu!