Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

Labda ilikuwa ni ule mpango wa kumtuma makamu Tanga asijue jamaa karibu anakata kamba wamuweke ''mtu''wao, kabla General Mabeyo kuutibua.
 
Wakati PM Majaliwa amayasema haya,kumbe Mzee wa watu alikuwa tayari amekwisha 。。。!Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?
Aliyenijulisha tarehe hii ni kijana wao mwenyewe na hapa kijana huyo akathibitisha Silent Hero Huyu ni Mzalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Ndie Aliyefanya Katiba Ifuatwe Mama Akawa!. Apewe Maua Yake!... Stahiki ni kuwa DGIS in Future!
P
 
Wakati PM Majaliwa amayasema haya,kumbe Mzee wa watu alikuwa tayari amekwisha 。。。!。
P
Kwa maelezo ya rais Samia, alilazwa trh 6, saba akatoka hosp. Kisha trh 14 akazidiwa na kupelekwa hos. Hadi mauti trh 17

Kumbe nyie wazee wa bawa la tai mlikuwa mnajua kila kitu afu mkaacha sisi tunadanganywa?
 
Mjomba wangu ni afisa kipenyo mwandamizi kuna jambo zito kaniambia.

Waziri mkuu kama anabisha amwambie Magufuli anyooshe kidole juu ama afanye kama anajikuna halafu apigwe picha.
Hii comment yako siku tano baadae ndio umma ukatangaziwa...aiseee
 
Kwa maelezo ya rais Samia, alilazwa trh 6, saba akatoka hosp. Kisha trh 14 akazidiwa na kupelekwa hos. Hadi mauti trh 17
Sa100 mwenyewe alidanganywa!
Kumbe nyie wazee wa bawa la tai mlikuwa mnajua kila kitu afu mkaacha sisi tunadanganywa?
kijana wao ndio aliirusha youtube usikuwa saa 7 usiku !。haikuwahi kukanushwa na hapa ameeleza mwenyewe Silent Hero Huyu ni Mzalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Ndie Aliyefanya Katiba Ifuatwe Mama Akawa!. Apewe Maua Yake!... Stahiki ni kuwa DGIS in Future!
P
 
Ameen
 
Uzi unatimiza miaka minne kesho🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…