Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

Juzi alikuwa Njombe, siku hiyo hiyo akaenda Dodoma.
Jana akarejea Njombe, mara leo safarini Dodoma tena ilihali alitakiwa awe bandari ya Manda ambako Wamanda walikuwa wamemuandalia hadi ngoma ya "mganda" kumkaribisha. Wamanda wamesikitika sana wanajiuliza kulikoni tena kaka mkubwa?
 
Juzi alikuwa Njombe, siku hiyo hiyo akaenda Dodoma.
Jana akarejea Njombe, mara leo safarini Dodoma tena ilihali alitakiwa awe bandari ya Manda ambako Wamanda walikuwa wamemuandalia hadi ngoma ya "mganda" kumkaribisha. Wamanda wamesikitika sana wanajiuliza kulikoni tena kaka mkubwa?
Zamani nilidhani anafaa kuwa ni mbadala lakini ameprove mwenyewe kuwa hafai mara nyingi sana.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom