Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila naona kama umejaa uchungu Sana, na mahubiri yako hayaonyeshi hata chembe ya neema na upendo! Nikuulize: Je huwa unamwombea Rais wetu Magufuli kama maandiko yanavyotutaka? Maandiko yanasema usihukumu usije ukahukumiwa!
Mbaya zaidi ni kwamba hizo tuhuma unazomtuhumu ni za kusikia mitaani na wala huna ushahidi wake! Matokeo yake umeathirika moyoni na kujaa uchungu ni haitakuwa afya kwako! Ushauri wangu kwako: Usiamini maneno usiyoweza kuyathibitisha.
Acha unafiki.Ila naona kama umejaa uchungu Sana, na mahubiri yako hayaonyeshi hata chembe ya neema na upendo! Nikuulize: Je huwa unamwombea Rais wetu Magufuli kama maandiko yanavyotutaka? Maandiko yanasema usihukumu usije ukahukumiwa!
Mbaya zaidi ni kwamba hizo tuhuma unazomtuhumu ni za kusikia mitaani na wala huna ushahidi wake! Matokeo yake umeathirika moyoni na kujaa uchungu ni haitakuwa afya kwako! Ushauri wangu kwako: Usiamini maneno usiyoweza kuyathibitisha.
Namshangaa mtu ambaye shangazi zake waliponea chupuchupu kushikishwa adabu leo anamtetea muumiza shangazi zake. Hii siyo akili nzuri. Ila anachoongea na anavyoonekana ni kama vinapishana.Angeanza na Shangazi zake siyo neno dogo lile lazima lipo moyoni muda utajibu
Yawezekana mshamba ni wewe unayedhani wananchi wote wana hofu kwa kuwa tu wewe na viazi wenzako mna hofu.Unajua Yesu alipouawa na wayahudi kisha baadae akafufuka wayahudi hawakuamini kabisa akiwemo Thoma, ilibidi sasa Yesu yeye mwenyewe baada ya kufufuka alitoka hadharani anawaita watu waliokua nae karibu akiwepo Thomasi akamwambia njoo karibu nishike na vazi langu uamini kwamba nipo hai kwa sasa.
Ninashangaa aina ya utawala wetu wa Afrika, huu ni ushamba au nini? Kwanza ni dhambi kiongozi kukaa kimya ikiwa watu ambao wamemchagua wamejawa hofu kujua yupo wapo. Kuendelea kukaa kimya ndiyo hofu kubwa zaidi kuliko kuzungumza. Na hii inauliza kwa sababu watu walizoea huko nyuma ikiwa kiongozi wa wa nchi ana tatizo, kurugenzi za mawasiliano zilikua zikitoa ufafanuzi.
Msigwa kukaa kimya ikiwa ndio idara yake ina mamlaka ya kusema kusema kuhusu kiongozi wa nchi si sawa, kama mtu ni mzima Msigwa amekaa nini kimya mpaka Waziri mkuu aseme? Waziri mkuu kusemea mskitini ni official? Anataka kugundua kitu gani?
Tumeachwa mbali sana na wanaoitwa Mabeberu kwa sababu ya ushamba wetu, kitu kidogo tu tunajifanya kizamani sana. Kusema officially mtu yupo wapi kuna ubaya gani kiwa waliomchagua wanahitaji kujua? Ukaaji kimya itatusaidia kugundua kipi chini ya jua?
Kweli mkuu hii habari ilishawahi kuja hapa JF:Maagano ya kishirikina yapo hata ndani ya serikali na tena hata katiba huyatambua kama mila na desturi za Watanzania. Ambayo ni watawala ambao ni wacha Mungu wa kweli ambao hawako vuguvugu kwa kufungamana na imani za kidini na zile za kisangoma ndio wenye kuweza kuzishinda nguvu za kuzimu.
Suala la matambiko ya tausi viungani mwa ikulu na mbio za mwenge ni mojawapo ya nguvu za kuzimu ambazo ziliwekwa ili kukilinda chama tawala na taasisi ya urais. Chaguo ni moja tu kwa utawala wa awamu hii, ama kutubu kwa dhati ili kuuondoa uovu huu, ama kuzidi kufangamana na maagano ya kishetani yaliyokwisha kufanyika.
Wewe ulimpigia kura Magufuli?Unajua Yesu alipouawa na wayahudi kisha baadae akafufuka wayahudi hawakuamini kabisa akiwemo Thoma, ilibidi sasa Yesu yeye mwenyewe baada ya kufufuka alitoka hadharani anawaita watu waliokua nae karibu akiwepo Thomasi akamwambia njoo karibu nishike na vazi langu uamini kwamba nipo hai kwa sasa.
Ninashangaa aina ya utawala wetu wa Afrika, huu ni ushamba au nini? Kwanza ni dhambi kiongozi kukaa kimya ikiwa watu ambao wamemchagua wamejawa hofu kujua yupo wapo. Kuendelea kukaa kimya ndiyo hofu kubwa zaidi kuliko kuzungumza. Na hii inauliza kwa sababu watu walizoea huko nyuma ikiwa kiongozi wa wa nchi ana tatizo, kurugenzi za mawasiliano zilikua zikitoa ufafanuzi.
Msigwa kukaa kimya ikiwa ndio idara yake ina mamlaka ya kusema kusema kuhusu kiongozi wa nchi si sawa, kama mtu ni mzima Msigwa amekaa nini kimya mpaka Waziri mkuu aseme? Waziri mkuu kusemea mskitini ni official? Anataka kugundua kitu gani?
Tumeachwa mbali sana na wanaoitwa Mabeberu kwa sababu ya ushamba wetu, kitu kidogo tu tunajifanya kizamani sana. Kusema officially mtu yupo wapi kuna ubaya gani kiwa waliomchagua wanahitaji kujua? Ukaaji kimya itatusaidia kugundua kipi chini ya jua?
Umeongea kama msigwa GersonRais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Yupo Anachapa Kazi, Tuwe Watulivua.
Muda Utaongea Yaani Rais Atakapooneka
Mtasema Nini Tena?
Muda Wa Kusifu Na KuabuduUmeongea kama msigwa Gerson
Unafikiri ni kwa niniIla kwa uhalisia kama Rais angekuwa katika hali kama hiyo inayosemwa ni dhahiri kungekuwa na taharuki na isingewezekana kamwe kwa waziri Mkuu kuendelea na ziara kama hizo.
I BET THE PRESIDENT IS FULLY FIT AND FINE
Ajabu zaidi ni kwa nini mheshimiwa, anashindwa hata kupost clip kwa tv na mtandaoni kukanusha kuwa anaumwa. Ok yuko busy basi hata clip ya dakika 2 ya kukata mzizi wa fitna inamshinda?Binafsi, anayesema Rais anaumwa na anayesema Rais ni mzima, Kwa kipindi hiki na kipindi chochote, kama hatumwoni hadharani, hawana tofauti ... wote wanazusha tu...
Yeah taarifa iliyochukua zaidi ya wiki kutolewa? Ok kuna protocols, lakini wiki nzima? Acheni kutudanganya!Safi sana kwa taarifa nzuri. Kuna watu watakimbia humu