Waziri Mkuu kuelekea Japan!

Waziri Mkuu kuelekea Japan!

Ukisikia kupatwa kwa Tanzania ndiyo huku sasa! Rais alikuwa Uingereza kumzika Malkia! Alipotoka huko akaunganisha Msumbiji!! Wakati huo huo Makamu naye akapaa kwenda kwa Joe Biden kuhudhuria mkutano wa UNGA gani sijui!

Wakati hao viongozi wawili wajuu wakiwa bado wapo nje ya nchi, na PM naye anataka kupaa!! Muda si mrefu na Spika naye atatafuta kamtoko kake!! Yaani mambo ni bam bam kwa sasa.
Acha viongozi wetu watutafutie fursa za kiuchumi na kibiashara watanzania kupitia uwekezaji itakayosaidia kuzalisha ajira nyingi kwetu vijana, Sasa wewe unataka wajifungie humuhumu nchini? Unazani hao wawekezaji watakuja kirahisi tu Kama ndege wa porini?
 
Sio kwamba hakuna anayesikiliza kilio cha wananchi, bali huo ndio uwezo wao..yaani "think tank" ya chama na serikali ndio imefikia "limit", hakuna tena mawazo mbadala katika hili.
 
Labda kama wamerudi kimya kimya!

Kiukweli, nawaza nini kinaendelea kwenye hii nchi! Ni kama mwili usio na kichwa, imebaki tu kiwiliwili.
Aisee!
Ukitaka kufeli nchi hii jaribu kuwa serious (mwana FA)
 
Nchi yetu Ni salama na IPO katika mikono salama wakati wote, Tanzania chini ya serikali ya CCM Ni salama na ndio maana wananchi wameendelea kuwa na Imani na CCM na kuweka matumaini katika chama hiki kimbilio la wanyonge,
Wananchi wangapi wameendelea kuwa na imani na serikali weweeee???? Unapo ongelea jambo jaribu kuliongelea kwa upande wako sio kuropoka ujinga huu hapa..."eti wananchi wana imani na ccm"...ulizunguka mitaani kukusanya maoni ya kila mwananchi???? Bila shaka wewe ni mlamba Asali... [emoji35][emoji35][emoji35][emoji1784]Shitsss!!!!!
 
Wananchi wangapi wameendelea kuwa na imani na serikali weweeee???? Unapo ongelea jambo jaribu kuliongelea kwa upande wako sio kuropoka ujinga huu hapa..."eti wananchi wana imani na ccm"...ulizunguka mitaani kukusanya maoni ya kila mwananchi???? Bila shaka wewe ni mlamba Asali... [emoji35][emoji35][emoji35][emoji1784]Shitsss!!!!!
Ndio nipo mtaani na naona namna CCM inavyoendelea kuungwa mkono na mamillion ya watanzania,
 
Ndio nipo mtaani na naona namna CCM inavyoendelea kuungwa mkono na mamillion ya watanzania,
Toa ujinga hapa ..kadanganye watoto wa chekechea....[emoji35][emoji35][emoji35]mkisha shiba na kuvimbiwa ndio mnaropoka ujinga[emoji1784][emoji1784]
 
Nchi yetu siyo kisiwa, Hivyo Ni lazima ishirikiane na nchi nyingine kidiplomasia na Ni katika ushirikiano huo tunapopata wawekezaji na watalii mbalimbali Kuja hapa kwetu nchini, ukisikia wawekezaji wameongezeka au Tanzania imeongeza uuzaji wa bidhàa nje ya nchi Basi ufahamu kuwa Ni matunda ya safari za viongozi wetu wanazofanya huko waendako kazi ya kujenga mahusiano mazuri na wenzetu

Ili Tuendelee tunahitaji kuongeza na kuvutia wawekezaji ambao watasaidia kuongeza wigo wa Kodi na kutoa ajira kwetu vijana, Kodi zitakazo saidia kuboresha huduma mbalimbali za kijamii na kutatua kero mbalimbali
Pasina shaka we ni mlamba asali
 
Back
Top Bottom