startergear
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 1,148
- 1,478
Tena wewe ndo ubandike bakuli lako.Hawezi kuingiza jeshi lake Lebanon anajua kinacho mgojea hiyo fake victory ya Israel kwa kusaidiwa na majasusi wake ni ya temporary tu. Kwanza hilo boom.mnalo lisifia MK84 wala halikufika alipo kuwa Nasurlah, sababu nwili wake kuna mawili ama ni mshtuko wa yale maboom walio piga ton 80 au kuna chemical walitumia ndio kafa Nasurlah.
Umeuona huo mwili au umesikia?Hawezi kuingiza jeshi lake Lebanon anajua kinacho mgojea hiyo fake victory ya Israel kwa kusaidiwa na majasusi wake ni ya temporary tu. Kwanza hilo boom.mnalo lisifia MK84 wala halikufika alipo kuwa Nasurlah, sababu nwili wake kuna mawili ama ni mshtuko wa yale maboom walio piga ton 80 au kuna chemical walitumia ndio kafa Nasurlah.
Sa mimi nakuliza swali huko Gaza vita vimeisha au bado? Sa nilicho ongea ni sawa Israel alisema atawamaliza Hamasi mda wa week tatu tu leo wako mwaka mzima sa uwongo wangu uko wapi?.Tena wewe ndo ubandike bakuli lako.
Gaza ulisemaje? Ulisema wataishia hewani hawatapeleka jeshi la ardhini kilichotokea je? Mda mwingine kukaa kimya siyo ujinga
Kasimamishwa yeye sasa!Hivi mnaelewa kizungu nyie? Wapi Hezbullah kakubali jeshi la Lebanon liende huko, point ya Hezbullah iko wazi ceasefire ni kule Gaza kabla ya Nasrullah kufa alisema vile vile ceasefire ndio tunasimamisha vita.
Sa jipya liko wapi Israel kushinda hi vita ni ndoto 💯
Nimeuona ndio hana hata alama ya damu kulicho muwa ni vitu viwili ama moshi kakosa oxygen au chemical au mshtuko akapata heart attack. Hizo silaha za US hata meter 3 hazijafika ndio zikabomoe bunker za Hezbullah 😄Umeuona huo mwili au umesikia?
Suala ni kwamba bomu limepigwa akafa. Mengine ni faraja tu.
Basi sawa hajafa kwa bomu
Umeandika nini sasa shekhe?Hawezi kuingiza jeshi lake Lebanon anajua kinacho mgojea hiyo fake victory ya Israel kwa kusaidiwa na majasusi wake ni ya temporary tu. Kwanza hilo boom.mnalo lisifia MK84 wala halikufika alipo kuwa Nasurlah, sababu nwili wake kuna mawili ama ni mshtuko wa yale maboom walio piga ton 80 au kuna chemical walitumia ndio kafa Nasurlah.
Sawa wacha waingie tuone kama hawakukimbia, hio ya kusema limited ground operation ni uwongo mtupu, ili wakifurushwa huko waseme target yao ilikuwa limited operation 😄#BREAKING Israel has told Washington it is planning a limited ground operation in Lebanon that could start imminently - WaPo — Reuters
Hizo ni propoganda tupu wao wenyewe Israel wanasema vingine wanasema kuna jasusi alimuamkia Nasurlah kama dakika mbili tu tukamuwahi kumuwa. Mara tulikuwa tuna infomation kabla ya week hawana lolote hao. Ukweli kuna jasusi wamemtumia wa ki Iran na Mlebanon kutimiza agenda zao na wengine wanasema Iran walifanya deal na uS.Umeandika nini sasa shekhe?
Kila mtu anajua bomu la Israel ndio limemuwahisha kwa mabikra na mito ya pombe huyo gaidi.
Nmeona sehemu wanasema kwamba Israel ilianza kuwafuatalia hao jamaa toka kitambo. Na walitumia njia nyingi ikiwemo mic zilizosetiwa kwenye rimoti za TV.
Na ilikuwa auliwe mwaka jana ila walipoitaarifu Marekani ikawaambia wasuburi.
Allah kafeli vibaya mno.
🇮🇱🇱🇧The Financial Times reports how Israeli intelligence spent years gathering information to identify Hezbollah fighters, their locations and hierarchy.
For surveillance, military intelligence "AMAN" used spy satellites, drones, cyber hacking, surveillance cameras, as well as microphones from TV remotes and relatives' phones.
When a fighter was identified, his movements were entered into a database. Obituaries and funerals also helped identify his circle of acquaintances and senior commanders.
According to the publication, last year Israel was already ready to kill the movement's leader Nasrallah, but abandoned its plans due to US intervention.
🏴☠️⚡️ Israeli media: The mayor of Metula is calling its residents, urging them to evacuate immediately.Hezbollah hata wasipokubali watalazimishwa tu. Wewe bado unawaamini hao Ayotollahs? 🤔
Swala ni kwamba amekufa na kufuata mabikra 72 wa akhera wenye macho kama mayai, hayo mengine kwa sasa hayana maana yoyote.Hawezi kuingiza jeshi lake Lebanon anajua kinacho mgojea hiyo fake victory ya Israel kwa kusaidiwa na majasusi wake ni ya temporary tu. Kwanza hilo boom.mnalo lisifia MK84 wala halikufika alipo kuwa Nasurlah, sababu nwili wake kuna mawili ama ni mshtuko wa yale maboom walio piga ton 80 au kuna chemical walitumia ndio kafa Nasurlah.
Watu sampuli yenu ndio wale ambao bado watadai gaidi Nasrallah hajafa na kwamba anawalia waisraeli gepu.🤣🤣🤣Hata kule Gaza kumbe IDF hawakuthubutu kuingiza jeshi, mpaka leo bado lipo mpakana lakini vyombo vya habari vinadanganya kuwa Israel wapo Gaza
Moja ya vitu vinakanganya kwenye hii vita ni jinsi haya makundi yanavyo jiingiza kwenye mapigano wakati mahala pabkujificha ni kwenye majumba ya watu, na vita visivyo na adabu sasa raia wasio na misi.amo wowote wanatolewa kafara ya kulipuliwa. Ina umiza sanaSasa kumbe Nchi Ina jeshi, kwanini wakawacha wahuni wajitwalie tu kama wanavyotaka.
Hezbollah wanawalinda Washia na kufanya kazi za IranKundi la Wanamgambo wa Hezbollah pia livunjwe na baadhi ya Askari wake waingizwe kwenye Jeshi la Nchi ya Lebanon
😁😁😁Hata mimi nimeisikia hii Imam akitwambia wakati wa mawaidha msikitini.
Waivunje hiyo Armed Wing wabakize Hezbola Party ambayo iko Bungeni halafu hao vijana wao waingizwe kwenye Jeshi la Nchi ya Lebanon ili walinde mipaka ya Nchi yao bila kumpigania Allah.Hezbollah wanawalinda Washia na kufanya kazi za Iran