Waziri Mkuu Majaliwa aahidi kuwasomesha Watoto wa Abdulaziz Ahmeid, Mwandishi wa Habari wa Channel Ten aliyefariki

Kwanini hao pekeyake?Watoto wa Daud Mwangosi vipi,nani atawasomesha?
Daudi ni kafiri ...sisi tuna somesha maustadhi ... kama wewe siyo muisiharamu pita [emoji117] kule
 

Tuliyasikia pia kwa mdogo wake Aquiline. Lakini kusiwepo utaratibu wa kuwasomesha watu usiokuwa huu wa upendeleo na kujuana kama hivi? Nani wa kuwapiga jeki hawa kwenye hali kama hizi?
 

Attachments

  • 1678457579035.jpg
    38.4 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…