Waziri Mkuu Majaliwa anafanya kazi nzuri sana. Sasa Wakuu wa Mikoa na Wilaya wanafanyaga kazi gani?

Waziri Mkuu Majaliwa anafanya kazi nzuri sana. Sasa Wakuu wa Mikoa na Wilaya wanafanyaga kazi gani?

Anatimiza majukumu yake kama mkuu wa shughuli za kila siku za Serikali, mambo mengine hayapendezi kuyaongea. #Mwacheni PM atimize wajibu wake na Rais achape kazi kwa vipindi vyake[emoji120][emoji120][emoji120]
Kwa hiyo yeye kazi yake ni kusafiri tu kwenda ulaya kuombaomba?Anatakiwa na yeye aje kuwahudumia watz waliomrithisha madaraka.
 
Kwa hiyo yeye kazi yake ni kusafiri tu kwenda ulaya kuombaomba?Anatakiwa na yeye aje kuwahudumia watz waliomrithisha madaraka.
Serikali ni team ndugu yangu. Kila mmoja ana nafasi yake. Hata anayoyaibua PM kuna watu chini wameifanya hiyo kazi# Tuheshimu kazi za mkuu wa nchi na za viongozi wengine.🙏🙏🙏
 
Serikali ni team ndugu yangu. Kila mmoja ana nafasi yake. Hata anayoyaibua PM kuna watu chini wameifanya hiyo kazi# Tuheshimu kazi za mkuu wa nchi na za viongozi wengine.🙏🙏🙏
Kwa mfano yanayoitwa kuibuliwa na PM binafsi nayafahamu mda mrefu Wala haikuwa siri..

Unfortunately hao watu hakuna watakachofanywa kwa sababu Mkurugenzi wa Halmashauri Ni ndugu wa Magufuli na waliopata tenda za ujenzi wa Chuo waliletwa na Wizara Kama watu wa Mchongo..
 
Hii kazi anafanya Waziri Mkuu Majaliwa ya kudeal na wabadhirifu ni nzuri sana. Ingefanywa kwa ukubwa zaidi na ingekuwa endelevu ingetufaa sana.

Ila najiuliza, madudu yote hayo wakuu wa mikoa huwa wanakuwa wapi? Na wenyewe wanahusika na huo ubadhirifu au ni mamna gani? Wanafaida gani kama kuna madudu hivyo yanaendelea kwenye maeneo yao ya kazi?

Ni usaniii mtupu, Jiulize mifumo haifanyi kazi? Kama haifanyi kazi je zinahitajika trilion ngapi kuifanya ifanye kazi? So atazunguka nchi nzima kukagua?
 
Hilo Ulaya unajiita kuomba omba anawaombea Pesa kina Nani? Punguza upumbavu
Kwa rasilimali zote tulizonazo Tanzania hakuhitaji huyo kwenda ulaya kuomba omba.Anatudhalilisha sisi wazalendo na kama haoni pakuzipata pesa ajiuzulu ili tuingie wazalendo tunaojua kutumia rasilimali vizuri tulizobarikiwa na Mungu
 
Kwa rasilimali zote tulizonazo Tanzania hakuhitaji huyo kwenda ulaya kuomba omba.Anatudhalilisha sisi wazalendo na kama haoni pakuzipata pesa ajiuzulu ili tuingie wazalendo tunaojua kutumia rasilimali vizuri tulizobarikiwa na Mungu
Rasilimali za Tanzania zinasubiria Rais ndio zikufaidishe? Punguza upumbavu
 
Mimi naona kama wanapaka rangi upepo

Ova
 
Ni usaniii mtupu, Jiulize mifumo haifanyi kazi? Kama haifanyi kazi je zinahitajika trilion ngapi kuifanya ifanye kazi? So atazunguka nchi nzima kukagua?
Tatizo mfumo na uwajibikaji mkuu
Wengi ni wapigaji na wanajuana vizuri sana
Wamo kwenye system miaka kibao na wanajua waziri gani mpigaji na mtendaji gani mwizi na nani ana uchungu na mali

Ndio maana huoni anampigia simu waziri au katibu mkuu kuhoji

Wanapiga sana mkuu tena sio 10% bali 50 kwa sasa
Kazi wanajua ila pia hawana utu wengi wao
 
Hii kazi anafanya Waziri Mkuu Majaliwa ya kudeal na wabadhirifu ni nzuri sana. Ingefanywa kwa ukubwa zaidi na ingekuwa endelevu ingetufaa sana.

Ila najiuliza, madudu yote hayo wakuu wa mikoa huwa wanakuwa wapi? Na wenyewe wanahusika na huo ubadhirifu au ni mamna gani? Wanafaida gani kama kuna madudu hivyo yanaendelea kwenye maeneo yao ya kazi?


Hakuna kazi ya maana anafanya, Wizarani kuna uozo kupita kiasi sema kwa vile kule kuna Mawaziri na Makatibu wakuu wanakula nao ndiyo maana
 
Vyeo vya ukuu wa wilaya havitegemei taaluma au weledi wa mtu. Wateuliwa kiuchawa chawa tu. Hivyo maDC anashindwa kufanya chochote kwa wabadhirifu kwasabb hao hao ndiyo waliowapa connection ya uDC.

Au waweza kukuta kampuni inayojenga ni ya Samia, Mpango, Tulia, CDF, Waziri, n.k. Huyo DC unategemea atafanya nn ktk hali Kama hiyo?

Hata huyo PM anafoka foka tu mbele ya kamera lkn mwisho wa siku waliovurunda mradi hawafanywi kitu. Sana sana anaweza kumwangushia mnyonge yeoyote (DED, DC) zigo lkn mafisadi yakadunda tu.
99% kampuni ni za makada wa CCM
 
Bora majaliwa kuliko lissu n mbowe,huyu jamaa angegombea namchagua
 
Mimi kila siku nasema na nitaendelea kusema,wakuu wa mikoa na wilaya hawana kazi yeyote,kuna haja serikali kufanya mabadiriko sehemu huu kuachana na haya mambo
 
Hii kazi anafanya Waziri Mkuu Majaliwa ya kudeal na wabadhirifu ni nzuri sana. Ingefanywa kwa ukubwa zaidi na ingekuwa endelevu ingetufaa sana.

Ila najiuliza, madudu yote hayo wakuu wa mikoa huwa wanakuwa wapi? Na wenyewe wanahusika na huo ubadhirifu au ni mamna gani? Wanafaida gani kama kuna madudu hivyo yanaendelea kwenye maeneo yao ya kazi?


Umuhimu wao wakati wa uchaguzi tu
 
Back
Top Bottom