Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Dah unaweza kumind sana hasa kama Kuna nondo inakushukia taratibuSipati picha upo chini ya jabali halafu unasikia speech kama hiyoπ€π€π€
Dah Africa sijui tupoje nawaza kuandika kitabu kuwa sisi sio binadamu π€π€π€Dah unaweza kumind sana hasa kama Kuna nondo inakushukia taratibu
Hapana hii nadhani inaenda almost dunia nzima kizazi hiki kimekuwa kizito sana ku actDah Africa sijui tupoje nawaza kuandika kitabu kuwa sisi sio binadamu π€π€π€
Nipo eneo la tukio.Tumesitisha Kwa muda uokoaji ili kusikiliza hotuba ya mheshimiwa
Alooo...π³Nipo eneo la tukio.Tumesitisha Kwa muda uokoaji ili kusikiliza hotuba ya mheshimiwa
Nasemaga kila siku humu ni kima aliyechangamka...Dah Africa sijui tupoje nawaza kuandika kitabu kuwa sisi sio binadamu π€π€π€
Kabisa mkuu hata kama tunazidiana ni humu humu kama kima tuπ π π π πNasemaga kila siku humu ni kima aliyechangamka...
Acha masihara basiNipo eneo la tukio.Tumesitisha Kwa muda uokoaji ili kusikiliza hotuba ya mheshimiwa
Badala ya kununua magari na vifaa vya uokoaji wao wananunua magari ya washawasha kudhibiti wasiowapenda?Kariakoo, ofisi za fire ziko hatua 100 tu kutoka lilipoporomoka jengo,