min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Mambo ya ku take advantage tu mkuu🤔alienda kufanya nn , hovyokabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya ku take advantage tu mkuu🤔alienda kufanya nn , hovyokabisa
Ccm oyeeeeAcha masihara basi
Lazima tujue alivyoenda nn kimebadilika zaidi ya kuchulia waliochini ya vifusiMambo ya ku take advantage tu mkuu🤔
Oyeeeeee hakuna namna mamaee.Ccm oyeeee
Unakuwa unaonyesha dole la katiSipati picha upo chini ya jabali halafu unasikia speech kama hiyo🤔🤔🤔
SadHapana hii nadhani inaenda almost dunia nzima kizazi hiki kimekuwa kizito sana ku act
Unaona Yale maporomoko ya Valencia watu wameimind serikali tena kwa maandamano kuwa imekawia sana kutoa msaada
Hizi serikali za Sasa huwa zinakaribia kwa haraka sana kwenye
1.mpira
2.Mziki
3.tuzo
4.kufungia biashara
5.maandamano ya upinzani
AiseeWaziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewasili Kariakoo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujionea hali ya uokoaji inavyoendelea katika jengo la ghorofa liliporomoka leo Jumamosi Novemba 16, 2024 asubuhi.
View attachment 3153706
Soma, Pia:
• Ghorofa limeporomoka Kariakoo asubuhi ya leo Novemba 16
• Rais Samia atoa pole kwa waathirika Kariakoo. Aagiza kufanywa kila linalowezekana kufanikisha zoezi la uokoaji na tiba kwa majeruhi
kudadadeki tunakufa humu kifusini, mnaacha kutuokoa mnasikliza %##& wanajikosha sie twafa. Hatuna uongozi hapa Tz. Fukuza huyo, mje mniokoe kabla sijafa humuNipo eneo la tukio.Tumesitisha Kwa muda uokoaji ili kusikiliza hotuba ya mheshimiwa
Wewe huja muelewa vizuri ujumbe wake .UNASEMAJE WE MSNG?
YAANI MSITISHE UOKOAJI KISA MNATAKA MSIKILIZE NINI?
KMNN ZETU ALIYETUROGA NI MZAZI WETU WA KIKE
MNN ZAKE
Lazima . Lazima watafanyaje ili waonekane wapo karibu na wapiga kura. Kesho kutwa zitachapishwa tshirts kibao ili kuwapa walala hoi nao pasi na hiana watawachaguaccm nao wametinga ndani ya mavazi Yao pendwa
🤣 🤣 🤣Sipati picha upo chini ya jabali halafu unasikia speech kama hiyo🤔🤔🤔
Si ndo hapo sasa unakuta mtu yupo kimbelembele kutetea miarabu Gazza lakini miafrika mienzake hajali.Nasemaga kila siku humu ni kima aliyechangamka...