Waziri Mkuu Majaliwa: Corona imepungua Dar na Wagonjwa waliolazwa Wamepungua

Mgonjwa wangu kapelekwa icu jana kwa Corona. Looh hawa wanasiasa watatuangamiza
 
Lini tunaanza kuokota mizoga barabarani?
 
Lini tunaanza kuokota mizoga barabarani?
Kwa ninavyojua curve ya huu ugonjwa sisi Tanzania tutakuwa kwenye peak mwezi wa tisa. Nadhani nimeshakujibu swali lako. Na nikuonye kuwa peak yetu itakuwa kwenye critical condition upande wa vifo.
Hii ni Science na wasioelewa ndiyo watapata shida sana.
 
kwani ngosha wametumia vipimio vip si machine zenyewe ni mbovu
 
Nature ya huu ugonjwa, kusema mkoa mzima kuna mgonjwa mmoja ni kichekesho.
 
dah ni jambo la kushukuru
 

Sijaelewa hapo idadi ya wagonjwa imepungua kwa kupona au kufariki mbona wanapenda kuongea kimtegokimtego....
 
Inapendeza sana...

Though kwa sasa watu hata wakiugua hawaendi hospitali kwa hofu ya kupimwa Covid19 na kupotezewa muda wakati labda mtu ana homa ya Malaria.


Cc: mahondaw
 
UK na USA iliwachukua miezi mingapi kufika peak?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…