John Haramba
JF-Expert Member
- Feb 4, 2022
- 365
- 1,374
Picha: Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
Ameendelea kusema: “Nimekuja hapa kujadili namna ya kutatua changamoto, tunataka watu waishi na watekeleze majukumu yao. Ujio wangu sikuja na malori ya kuja kuwahamisha naomba sana katika kipindi hiki muwe makini, watu wananufaika. Serikali ipo makini na watendaji tupo makini tumeahidi kuwatumikia."
Pia soma
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aagiza Wabunge wote waelezwe kinachoendelea Ngorongoro