Midimay
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 3,036
- 5,039
Wamaasai hawajawahi kuwa tatizo. Huo ndio ukweli. Kama ni changamoto, tunaelezana halafu tunatatua. Sio kuvictimize jamii Innocent. Sasa wanaowatuma kina Kitenge na Balile, wanakosea sana approach.
Matatizo ya Ngorongoro yana vyanzo na sababu lukuki.
Matatizo ya Ngorongoro yana vyanzo na sababu lukuki.