Umemuelewa alichozungumza?Waandishi wamegeukwa futi mia moja
Utashangaa wale wabunge wote nao wanageuka na kuunga mkono hii kauliWalikuwa wanapima upepo!
Waandishi sasa mmebaki uchi na mkome kutumika.
Hata hivyo, nyie wamasai mkae mguu pande kwani bado wanaweza tu kuwageuka wakati wowote .
Wanasiasa sio watu wa kuwaamini hasa hawa walioshika madaraka kwani kesho anaweza kusema alinukuliwa vibaya au hakueleweka.
Probably wameahirisha tu na sio kufuta kabisa mpango wao.Tukumbuke kuna mpaka ratiba ya kuwaondoa hao wamasai inazunguka mitandaoni.
Sio waandishi tu bungeni wabunge zaidi ya 300 wameunga mkono wamasai kuondolewa ngorongoro. Sasa hivi wataunga mkono tena wasiondoleweWaandishi wamegeukwa futi mia moja
Umewaza kama mimi na watakuja na azimio la kuipongeza serikali.Utashangaa wale wabunge wote nao wanageuka na kuunga mkono hii kauli
Wameunga mkono waondolewe akili zimo vuchwani? Waziri mkuu yuko sahihi hao wabunge waliounga mkono kama ni kweli vichwa vyao vyeupe vichwani hamna kituSio waandishi tu bungeni wabunge zaidi ya 300 wameunga mkono wamasai kuondolewa ngorongoro. Sasa hivi wataunga mkono tena wasiondolewe
Endelea kujifariji. Hata kama ni kuondoka lakn sio kwa matakwa ya waandishi uchwara. Itakuwa ni kwa makubaliano yenye mwanga mbele. Itakuwa sio kwa kudhalilishana.Wamasai lazima waondoke Ngorongoro.
Wavamizi ruksa kuondolewaWamasai na Mifugo hawataondolewa wote bali wavamizi
Kabisa hamna ule mswada wa kutaka waandishi wawe na digrii na bodi sijui umeishia wapi Kiukweli Tanzania waandishi wa habari hatuna kabisaa sio siriTanzania hakuna waandishi bali wachumia tumbo!
Mwandishi anavaa Suspensor unategemea atakuwa na busara?Tanzania hakuna waandishi bali wachumia tumbo!
Hiki Chama Cha Mazezeta wewe unakipa dhamana???Sio waandishi tu bungeni wabunge zaidi ya 300 wameunga mkono wamasai kuondolewa ngorongoro. Sasa hivi wataunga mkono tena wasiondolewe
Mkataba wa Geneva uko wazi kuwa 'kunapotokea mgogoro kati ya uwepo wa wanyama na wanadamu sehemu moja,wanadamu wapewe kipaumbele'“Ngorongoro Mungu aliwapa uwezo wa kukaa na wanyama pamoja hili linavutia na huwezi kuzungumza utalii huu bila ya nyie kuwepo,nikiri mna mchango katika kuongeza pato la taifa kwa uwepo wenu na uhifadhi,” - Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wakazi wa Ngorongoro.
Ameendelea kusema: “Nimekuja hapa kujadili namna ya kutatua changamoto, tunataka watu waishi na watekeleze majukumu yao. Ujio wangu sikuja na malori ya kuja kuwahamisha naomba sana katika kipindi hiki muwe makini,watu wananufaika. Serikali ipo makini na watendaji tupo makini tumeahidi kuwatumikia."
Pia soma
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aagiza Wabunge wote waelezwe kinachoendelea Ngorongoro
Wanasiasa sio watu wa kuwaamini hasa hawa walioshika madaraka kwani kesho anaweza kusema alinukuliwa vibaya au hakueleweka.
Kabisa, maana SSH akiwa Naibu Rais alipigilia nyundo 27000/= kama gharama ya kuunganisha umeme. Baada yakukalia kiti, akasema "TULIDANGANYWA MAHALA[emoji38][emoji1787][emoji1784][emoji1784][emoji1784]"Walikuwa wanapima upepo!
Waandishi sasa mmebaki uchi na mkome kutumika.
Hata hivyo, nyie wamasai mkae mguu pande kwani bado wanaweza tu kuwageuka wakati wowote .
Wanasiasa sio watu wa kuwaamini hasa hawa walioshika madaraka kwani kesho anaweza kusema alinukuliwa vibaya au hakueleweka.
Probably wameahirisha tu na sio kufuta kabisa mpango wao. Tukumbuke kuna mpaka ratiba ya kuwaondoa hao wamasai inazunguka mitandaoni.
Na hawawezi kuona aibu wasivyo na akili.Waandishi wamegeukwa futi mia moja