Waziri Mkuu Majaliwa: Hakuna tatizo Wamasai kuishi na wanyama Ngorongoro

Nimemsikia mbunge mmoja hivi sijui bajaji yule anajiita alisema eti huwezi kuwaacha wanyama na binadamu pamoja. Akasema eti wabunge wanaotetea wakiambiwa wakaishi na familia zao Ngorongoro hawatakubali

Majaliwa ameshawavurugaaaaaa
 
HIVI Yule KIDOTI ANAJISIKIAJE MPAKA SAIZI??.

AFU yule Balile ni mhaya wahovyoo sana kuwahi kutokea uhayani.
 
Tangu awadanganye watanzania kwamba mwendazake anapitia mafaili kumbe alisha rest in peace,sio wa kuaminika tena
 
Nimemsikia mbunge mmoja hivi sijui bajaji yule anajiita alisema eti huwezi kuwaacha wanyama na binadamu pamoja. Akasema eti wabunge wanaotetea wakiambiwa wakaishi na familia zao Ngorongoro hawatakubali

Majaliwa ameshawavurugaaaaaa
Kibajaji mgogo hawezi jilinganisha na masai ,masai anaishi na wanyama wakali kama simba,chui,chatu nk bila woga mgogo akiona mjusi anaogopa anahama nyumba Dodoma kwenda kuwa omba omba Dar es salaam barabarani sembuse kupeleka familia ya mgogo kwenda kuishi ngorongoro
 
Hongera sana Kassim Ole-Majaliwa. Nduo maana mimi huwa namkubali sana PM.
Majaliwa hajapata ile nafasi bahati mbaya.
 
Moja ya makabila yanayosimamia maamuzi ni wamaasai... wakishaanza itana yeroooo yerooo ndiitoo hahaa huwezi jua yupi mvamizi wala yupi mwenyejii na hawatokuwa tayari kutajana

Hao hao wamo serikalini pia
 
Gia imebadilishwa angani kondomu balile na wenzake wamechutama uchi!!😂😂😂wapi kaniki kitenge!!
 

Baada ya miaka kadhaa tutazungumzia hii kauli
 
Sidhani kama Kauli yake hii imebadilisha lolote...

Hakuna Tatizo wamasai kuishi wala haijawahi kuwa tatizo kuishi na wanyama Ngorongoro...

Ila Tatizo ni numbers (Wamasai wangapi ?) kumi elfu, elfu 50, laki kadhaa au mamilioni ?; Kwahio huenda hii ikawa calmness before the storm
 
Kina kinachojificha nyuma ya pazia, sidhani PM ameongea yote kina kitu nyuma kinakuja. Kama kuna wavamizi ni vema wakaondolewa kama wafanyakazi wa mbuga za wanyama wao waondoke kwani sio Wamasai. Baada ya hapo then wakae watadhimini upya hali itakuwaje. Yule dada Bungeni ametapika mengi mabaya kuwahusu wamasai na chuki nyingi na kukingiwa kifua na Spika. Sasa kauli ya PM sijui kuna nini. Ila kwa wamasai hawajawatendea poa kabisa. Kila mtu ana kwao huko ni kwao Wasukuma waliharibu mazingira yao wameruhusiwa kutawanyika nchi nzima na kuendelea na uharibifu okay TZ ni yetu sote ila Serikali haijawaingilia Wasukuma Ardhi yao ya asili huko shinyanga, Mwanza, Geita, Simiyu. Kipi bora mbuga ya wanyama au wanadamu. Mbona sijasikia Serikali wakisema Wasukuma wanaharibu mazingira huko Ifakara, Lindi bonge la mtu rufiji, Sumbawanga na Kigoma? Tulitatue tatizo hili kwa umakili stahiki.
 
Kwani hizo numbers zimeanza leo?
Wakidhalilishwa ndio hawataongezeka?
Walioharibu na kuamsha hasira ya jamii hadi waliopo nje ya Ngorongoro ni udhalilishaji wa waandishi waliolipwa vipande thelathini vya fedha.
 
Fred Manongi ajiuzulu. A large section of GoT haikubaliani na proposals zake zilizojaa chuki, dharau, husda, tamaa, rushwa na mambo mengine kama hayo.
Hata PM nina uhakika hakubaliani na proposals za Manongi.
Uwepo wa gazeti la Jamhuri katika kushadadia hili swala unanitia wasi wasi sana na inaonyesha picha ya watu walioko nyuma ya hujuma hizi.
 
Wamasai na Mifugo hawataondolewa wote bali wavamizi
Hakuna kuondoa mtu au wanyama kwa nguvu acha waishi pamoja kama wanaweza, hao unaowaita wavamizi ni watanzania pia, acha simba na chui wawakimbize sio wanasiasa, na ni marufuku kuua mnyama
 
Sasa nalinganisha andiko hili na habari ya mambo yaliyotokea Ngorongoro na viongozi kukanusha kwa kupishana kauli.
 
Mwehu peke yake ndiye anaweza kuyaamini maneno ya kassim
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…