Waziri Mkuu Majaliwa huu ni mwezi wa nane SGR kipande cha Dar-Moro kinaanza kazi lini?

Waziri Mkuu Majaliwa huu ni mwezi wa nane SGR kipande cha Dar-Moro kinaanza kazi lini?

Kama uzi huu Safari za Treni ya Mwendokasi kuanza Agosti mwaka huu, 2021 unavyojionyesha, Waziri Mkuu alisema mwezi huu wa nane SGR kipande cha Dar-Moro kitaanza kazi. Je ni tarehe ngapi treni hiyo itaanza kazi? Badala ya serikali kujifichia kwenye kesi za kubambikiziana, watuonyeshe wanavyotekeleza ahadi za maendeleo.

Tunajua waziri Mkuu huna tabia ya kusema ukweli, mfano ulisema ww na IGP utatoa ripoti ya mtu aliyejiunganishia bomba la mafuta hapa mjini, lakini mpaka leo uko kimya! Ajali ya moto wa soko la kariakoo nayo ukaahidi utatoa ripoti ndani ya siku 7, tena baada ya kuunda kamati. Lakini inaonekana hela zimeliwa na hiyo kamati yako, na uko kimya! Ulifanya hivyo hivyo kwenye ajali ya moto wa lorry la mafuta huko Morogoro. Sasa tuambie SGR inaanza kazi tarehe ngapi mwezi huu?
Unauliza swali kwa mtu ambaye umeshasema huwa hasemi kweli.so maana yake hayuko credible,so unataka kutuambia tuwe tunachanganya na za kwetu? Ilizushwa pia aliaminisha watz kwamba yule hayati alikuwa mzima? Kule bandari hiv hakuna tume iliundwa kweli? kuhusu mwendo kasi je?
 
Mkuu sisemi uongo..
Last wk nimemenunua nyaya za 1.5mm na 2.5mmm (Euro cables) za fedha nyingi..Muuzaji akavuta efd mashine anataka kutoa risiti nikamwambia hapana sihitaji kabisa risiti..
Maana unaweza kuta hii kodi ingekatwa hapo ndio inalipa mshahara wa Siro..
Pumbavu zao kabisa watawala.

Ahaaaa ahaaaa, nimecheka kwa nguvu vibaya. Nimekuelewa boss.
 
Ila ingekuwa ni sifa na ingekuwa yake na sio ya wataalamu. Kila siku anazunguka na maVXR kwanini asiende kujiridhisha na ukweli anaoambiwa na hao wataalamu?
Kazi inayowahi Africa ni kuendesha MaVX kwa kasi wakiwa mabarabarani na kutoheshi mu sheria za barabara. Huko ofisini ni urasim,u mtupu
 
Tangu lini waziri mkuu muongo akasema ukweli

Kumbuka aliwahi kutudanganya Rais ni mzima kumbe yuko hoi hatujakaa sawa mtu kafa
 
Kabisa, mpaka yale mambo marahisi ya ajali kadhaa za moto alikuwa anatoa siku 7 atatoa ripoti huku akikaa kimya. Inaonekana yeye ni muongo wa hali ya juu. Kwa maneno marahisi hii ni serikali ya waongo.
Hahahahah jamaa yule huwa anasikia fahari kusema uongo

Yaaani mzee wa fix
 
..Kuhusu COVID siwezi kukubaliana na hoja hiyo. Kwanza, reli ya Dar to Moro ilitakiwa iwe imekamilika kabla ya mlipuko wa ugonjwa huo. Pili, ugonjwa huo haujatuathiri Watanzania, na nimesikia viongozi wa serikali wakisema uchumi wetu ilikuwa kuliko wa majirani zetu.
Una uhakika manufacturers wa vifaa kutoka nje hawakuathirika na Covid-19 au unaangalia Tanzania tu?
 
Mbaya zaidi wako 'wajinga" ndani ya Nchi hii wanadai eti MAJALIWA (PM) anasifa za kuwa rais.

Narudia tena ni wajinga hao kwani Waziri Mkuu MAJALIWA ni Muongo na hafai hata kwenye hii Nafasi alonayo !
Hii nchi itakuwa imelaaniwa huyo jamaa muongo awe rais
 
Hiko kipande bado hakijakamilika tu?!
 
Hiko kipande bado hakijakamilika tu?!
Niliwasikia wakitangaza kutandaza nyaya za umeme mkubwa............sina uhakika kama huu mradi utakamilika kwa ufanisi, maana WB wameshatuweka kwenye listi yao ya 'highly indebted poor countries' na sasa tutarudi kuishi kwa misaada, ingwaje tulishaambiwa sisi ni uchumi wa kati (dona kantre), bongo bahati mbaya...........​
 
Back
Top Bottom